-
WFP: Watu milioni kumi wakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula DRC
May 27, 2025 22:39Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema kuwa, watu milioni 28 sasa wanakabiliwa na njaa kali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Lavrov: Russia ni mshirika wa kuaminika kwa Afrika katika kuimarisha mamlaka
May 27, 2025 08:22Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema Moscow imebaki kuwa mshirika wa kweli na wa kuaminika kwa mataifa ya Afrika kwa kusaidia juhudi za kuimarisha mamlaka zao, ambazo zinatishiwa na aina za kisasa za ukoloni.
-
Ghana: Afrika ipo tayari kushirikiana na Russia kuunda mustakabali wa kimataifa
May 27, 2025 03:35Mbunge wa Ghana amesema Afrika iko tayari kuwa nguvu muhimu katika maendeleo ya kimataifa, akikaribisha uhusiano unaozidi kustawi wa bara hilo na Russia, alioutaja kama njia ya maendeleo endelevu.
-
Kenya yasimama na Morocco mgogoro wa Sahara Magharibi
May 27, 2025 03:03Kenya imesema inaunga mkono mpango wa Morocco wa kulipa eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi uhuru wa kujitawala chini ya mamlaka ya utawala wa kifalme wa nchi hiyo ya Afrika Kaskazini, ikiungana na idadi inayoongezeka ya nchi za Kiafrika, Kiarabu na Magharibi ambazo zimeelekeza uungaji mkono wao kwa Rabat katika mzozo huo wa miongo mitano.
-
Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila awasili Goma
May 26, 2025 23:25Joseph Kabila Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amewasili katika mji wa Goma wa mashariki mwa nchi hiyo licha ya kutuhumiwa kushirikiana na makundi ya waasi.
-
Afrika Kusini yaadhimisha Siku ya Afrika kwa mwito wa umoja na ushirikiano
May 26, 2025 06:52Afrika Kusini jana Jumapili iliadhimisha Siku ya Afrika kwa mwito wa kusisitizia umoja na ushirikiano wa kikanda na mshikamano wa kiutamaduni kwenye bara zima.
-
Rais wa Zambia atoa wito wa mshikamano na amani Afrika
May 26, 2025 03:43Rais Hakainde Hichilema wa Zambia, siku ya Jumapili alitoa wito wa mshikamano wa Kiafrika na maendeleo jumuishi wakati bara la Afrika likiadhimisha miaka 62 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), ambao sasa ni Umoja wa Afrika (AU).
-
Uganda yasimamisha ushirikiano wa kijeshi na Ujerumani
May 26, 2025 02:46Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) limetangaza kusitisha kwa muda ushirikiano wa kijeshi na wa kiulinzi na Ujerumani, kutokana na mwenendo usioridhisha wa balozi wa Ujerumani nchini humo.
-
Ethiopia yathibitisha kesi za kwanza za Ugonjwa wa Mpox katika mji unaopakana na Kenya na Somaliaa
May 26, 2025 02:37Ethiopia imethibitisha kesi zake za kwanza za ugonjwa wa mpox, zikihusisha mtoto mchanga wa siku 21 na mama yake, katika mji wa Moyale ulioko mpakani kusini mwa nchi, kwa mujibu wa taarifa ya mamlaka za afya iliyotolewa Jumapili.
-
Kwa nini Trump anasema uongo kuhusu mauaji ya watu weupe nchini Afrika Kusini?
May 26, 2025 02:31Senzo Mchunu, Waziri wa Polisi wa Afrika Kusini amefichua uongo wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu mauaji ya wakulima wa kizungu nchini Afrika Kusini, na kusema: "Katika robo ya kwanza ya mwaka huu, jumla ya mauaji sita yanayohusiana na ardhi yalitokea Afrika Kusini, ambapo watano kati yao walikuwa watu weusi."