-
Al-Qaeda yatangaza kuhusika na mashambulizi ya Burkina Faso, yasema imeua wanajeshi 60
May 15, 2025 07:26Kundi lenye mafungamano na al-Qaeda, JNIM, limetangaza kuhusika na shambulio lililofanyika katika eneo la kijeshi kwenye jimbo la Loroum kaskazini mwa Burkina Faso, likidai kuwaua wanajeshi 60.
-
Amnesty International: Wanajeshi wa Uganda wamekiuka vikwazo vya silaha dhidi ya Sudani Kusini
May 15, 2025 04:06Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International siku ya Jumatano limetoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuiwekea Sudani Kusini vikwazo vipya vya silaha, likisema kwamba, kuwepo hivi karibuni kwa wanajeshi wa Uganda ni "ukiukaji wa wazi" wa agizo hilo.
-
Goma: Mamia ya watu wakamatwa na M23 katika uvamizi uliozua utata
May 14, 2025 23:40Vuguvugu la AFC/M23 Katika mji wa Goma na vitongoji vyake, limekuwa likifanya uvamizi na na kuwakamata kwa siku kadhaa likidai kuwa watu hao wanahusika na mauaji, uporaji na utekaji nyara.
-
Mali yatengua vyama vyote vya siasa na 'mashirika'
May 14, 2025 08:00Serikali ya kijeshi nchini Mali inayoogozwa na Jenerali Assimi Goita imetangaza kusitisha shughuli za vyama vyote vya kisiasa na mashirika ya kiraia 'yenye muundo wa kisiasa' katika taifa hilo la Afrika Magharibi.
-
Amnesty International yaikosoa Rwanda kuwakubali waliofurushwa kutoka Marekani
May 14, 2025 07:48Uamuzi wa Rwanda wa kuwakubali waliofurushwa kutoka Marekani umekosolewa na Amnesty International, shirika hili likidai kuwa makubaliano hayo yanakiuka yanakiuka mkataba wa wakimbizi.
-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa: 84,000 wameathiriwa wa mafuriko Somalia
May 14, 2025 03:30Ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa jana Jumanne imefichua kuwa zaidi ya watu 84,000 nchini Somaliawameathiriwa na mafuriko ambayo yamesababisha vifo vya takriban watu 17 tangu katikati ya mwezi uliopita.
-
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya: Utulivu umerejea Tripoli
May 13, 2025 23:15Serikali ya Umoja wa Kitaifa yenye makao yake makuu mjini Tripoli (GNU) ilisema jana Jumanne kuwa "imehitimisha" operesheni ya kijeshi katika mji mkuu huo, kufuatia usiku wa mapigano yaliyosababishwa na kuripotiwa mauaji ya kamanda mkuu wa usalama.
-
Misri yafurahia kurejeshwa turathi nyingi zilizoibwa na Marekani
May 13, 2025 23:15Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza habari ya kurejeshwa nchini humo kutoka Marekani turathi 25 za kihistoria na za kisanii, zilizotwaliwa enzi za ustaarabu wa kale wa Misri.
-
Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro
May 13, 2025 23:11Wizara ya Ulinzi ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imetangaza kumalizika kwa mafanikio operesheni ya kijeshi huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Somalia yasajili wapiga kura baada ya miaka 56 ya kutokuwa na upigaji kura
May 13, 2025 08:55Zaidi ya miaka 56 tangu raia wa Somalia katika upigaji kura wa moja kwa moja, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Mipaka ya Somalia imeanzisha mchakato mkubwa wa kusajili wapiga kura.