-
Msafara wa misaada kutoka Afrika Kaskazini waingia Libya ukielekea Gaza iliyozingirwa na Israel
Jun 10, 2025 23:32Msafara mkubwa wa misaada unaoelekea Ukanda wa Gaza umepita ndani ya mipaka ya Libya Jumanne hii, katika juhudi za kuangazia mzingiro mkali wa Israel dhidi ya eneo hilo la Wapalestina, waandaaji wa msafara wamesema.
-
Sudan Kusini kuanza zoezi la kuwapokonya silaha raia
Jun 10, 2025 08:22Serikali ya Sudan Kusini imetangaza kuwa, inatarajia kuanza zozei la kuwapokonya silaha raia.
-
Ajali mbaya ya barabarani Kenya, watu 33 wafariki dunia na kujeruhiwa
Jun 10, 2025 04:09Watalii sita wamefariki dunia na wengine 27 wamejeruhiwa katika ajali iliyotokea kwenye barabara yenye magari mengi katikati mwa Kenya Jumatatu jioni. Hayo yamethibitishwa na afisa mmoja wa serikali wa eneo hilo.
-
UN yalaani ukiukaji wa makubaliano ya amani Libya
Jun 10, 2025 04:08Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya (UNSMIL) umelaani ukiukaji wa mapatano ya amani katika mji mkuu, Tripoli, ambapo mapigano yalizuka mapema jana Jumatatu kati ya makundi hasimu yenye silaha wakati wa sherehe za sikukuu ya Idul Adh'ha.
-
Kenya: Mwaka mmoja baada ya maandamano ya vijana kupinga mswada wa fedha
Jun 09, 2025 22:45Kenya inaadhimisha mwaka mmoja, baada ya kuzuka kwa maandamano ya vijana maarufu kama Gen Z, kupinga mswada wa fedha wa mwaka 2024, uliopendekeza nyongeza ya kodi.
-
Afisa wa Sudan: Ukraine inafanya ‘kazi chafu’ ya Wamagharibi Afrika
Jun 09, 2025 07:43Afisa mmoja wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan amesema Ukraine inatekeleza "kazi chafu" ya nchi za Magharibi kwa kuunga mkono makundi yenye silaha yanayohusika na mashambulizi ya kigaidi katika mataifa ya Afrika kama vile Libya, Somalia na Niger.
-
Mwanajeshi wa Uingereza aliyembaka mwanamke Kenya akamatwa
Jun 09, 2025 03:20Mwanajeshi wa Uingereza anayehudumu katika kambi ya mafunzo ya kijeshi nchini Kenya amekamatwa kwa tuhuma za kumbaka mwanamke.
-
Jeshi la Somalia laangamiza makamanda kadhaa wa al-Shabaab
Jun 08, 2025 23:20Makamanda watatu waandamizi wa kundi la kigaidi la al-Shabab walioendesha wimbi la mashambulizi mabaya nchini Somalia katika miezi ya karibuni wameuawa katika operesheni ya pamoja ya usalama.
-
Rwanda yajiondoa katika muungano wa Afrika ya Kati ikitoa lawama kwa DRC
Jun 08, 2025 09:01Rwanda imetangaza kujiondoa katika Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika ya Kati (ECCAS), ikimshutumu nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa "kutumia njama kushawishi nadharia ya" umoja huo.
-
Wananchi wa Morocco waandamana na kuchoma moto bendera ya Israel
Jun 08, 2025 09:01Maelfu ya wananchi wa Morocco wameandamana na katika miji mbalimbali ya nchi hiyo Rabat, mji mkuu wa nchi hiyo wakilaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza.