-
Ramadhani imeanza na mgogoro wa vita unaendelea nchini Sudan
Mar 01, 2025 23:02Sambamba na kuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani, Jeshi la Sudan SAF limezidisha mashambulizi ya kuuteka kikamilifu mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum, kutoka mikononi mwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF). Hata hivyo kampeni hiyo inasababisha hasara kubwa hasa kwa watoto wa nchi hiyo. Mapigano hayo yamesambaratisha maisha ya vijana na kushadidisha njaa, mbali na janga la majeruhi, wajane na mayatima.
-
Kipindupindu chaua zaidi ya watu 200 nchini Angola
Mar 01, 2025 23:00Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mripuko wa hivi karibuni wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Angola imeongezeka na kupindukia 200.
-
UN yawashutumu viongozi wa Sudan Kusini kwa kuchochea ghasia, machafuko
Mar 01, 2025 09:01Umoja wa Mataifa umesema viongozi wa Sudan Kusini wanaendelea kuchochea ghasia na ukosefu wa amani nchini humo, huku mivutano ya kuwania madaraka, ufisadi na migawanyiko ya kikabila ikiendelea.
-
Zaidi ya wakimbizi 60,000 kutoka DRC wawasili Burundi, wengi ni wanawake na watoto
Mar 01, 2025 07:36zaidi ya watu 60,000 wamevuka mpaka na kuingia Burundi Katika muda wa wiki mbili tu, wakikimbia ghasia na machafuko makubwa yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
-
WFP yasimamisha usambazaji wa chakula Darfur Kaskazini, Sudan
Mar 01, 2025 03:44Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesitisha usambazaji wa chakula cha msaada katika kambi ya wakimbizi ya Zamzam nchini Sudan kutokana na kushtadi mapigano kati ya jeshi la serikali na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).
-
Imebainika: Ugonjwa "usiojulikana" ulioua makumi ya watu Congo DR ni malaria
Mar 01, 2025 00:18Imebainika kuwa vifo vya makumi ya watu na mamia ya visa vilivyozua hofu katika jimbo la Equateur nchini Congo DR vimehusishwa na ugonjwa wa malaria. Awali iliripotiwa kuwa vifo hivyo viimesababishwa na ugonjwa usiojulikana.
-
Uanachama wa Nchi za Afrika katika ECO: Fursa ya kuimarisha ushirikiano wa Kiuchumi
Feb 28, 2025 12:07Kuongeza ushirikiano na kupanua mahusiano katika nyanja mbalimbali za uchumi ni miongoni mwa malengo makuu ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi (ECO).
-
Umoja wa Mataifa: Dola bilioni 2.54 zinahitajika kwa ajili ya misaada ya kibinadamu DRC
Feb 28, 2025 09:37Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kunahitajika zaidi ya dola bilioni mbili kwa ajili ya kufanikisha zoezi la utoaji misaada ya kibinadamu katika Jamhuri yay Kidemokrasia ya Congo.
-
Mfumuko wa bei Kenya waongezeka kwa mwezi wa nne mtawalia
Feb 28, 2025 09:37Kenya inakabiliwa na mfumuko wa bei za bidhaa ambapo mfumuko huo umeripotiwa kuongezeka kwa mwezi wa nne mtawalia.
-
Mkutano wa G20 wafikia tamati bila mwafaka
Feb 28, 2025 09:36Mkutano wa G20 uliokuwa ukifanyika nchini Afrika Kusini umemalizika bila ya washiriki wake kufikia mwafaka.