-
'Baba wa Taifa' wa Namibia aaga dunia akiwa na miaka 95
Feb 09, 2025 03:40Rais wa kwanza wa Namibia huru, Sam Nujoma, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95 katika mji mkuu wa nchi hiyo, Windhoek.
-
Jumuiya za SADC na EAC zataka kusitishwa mapigano Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Feb 08, 2025 23:55Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki na ile ya nchi za kusini mwa Afrika, SADC wametoa mwito wa kusitishwa mara moja mapigano mashariki mwa Jamhuuri ya Kidemokkrasia ya Congo.
-
UN: Mapigano yaendelea Kivu Kusini, watu wengi wahama makazi yao
Feb 08, 2025 22:56Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, wakati vita vikipungua katika mji wa Goma unaokaliwa kwa mabavu na waasi ambao UN inasema wanaungwa mkono na Rwanda, maafisa wake wa huduma za kibinadamu wamesema kuwa, mapigano yamepamba moto katika jimbo la Kivu Kusini na kusababisha watu wengi kuhama makazi yao.
-
Ushiriki wa Nigeria katika BRICS ni muhimu, kwa nini?
Feb 08, 2025 22:51Uanachama wa Nigeria katika shirika la BRICS, kama "nchi mshirika" na yenye uchumi mkubwa zaidi katika bara la Afrika, ni suala muhimu na lenye taathira kwa bara hilo na mataifa yanayoinukia kiuchumi.
-
Rais Samia awataka viongozi wa kikanda kuupatia ufumbuzi mgogoro wa DRC
Feb 08, 2025 09:40Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni mwenyeji wa mkutano wa kilele wa kikanda wa kutatua mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amewataka viongozi wa kikkanda kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo hharaka iwezekanavyo.
-
Wafanyabiashara watakiwa kutopandisha bei za bidhaa mwezi wa Ramadhan
Feb 08, 2025 08:51Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza wafanyabiashara kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kufanya biashara kwa uadilifu na kuwa na huruma kwa wananchi.
-
Afrika Kusini: Tunaendelea kushikamana na wananchi wa Palestina
Feb 08, 2025 04:25Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa nchi hiyo itaendelea kushikakama na kuwa pamoja na wananchi wa Palestina.
-
Maafisa wa SADC na EAC watilia mkazo kusitishwa mapigano mashariki mwa Kongo
Feb 08, 2025 04:19Maafisa wa ngazi ya juu kutoka mataifa ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika jana walitilia mkazo kusitishwa mara moja mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuzitaka pande zote husika kutoa kipaumbele kwa suala la kufanya mazungumzo ili kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo.
-
Kwa nini nchi za Kiafrika zinawafukuza wanajeshi wa Ufaransa?
Feb 08, 2025 02:11Domino ya kuwafukuza wanajeshi wa Ufaransa katika nchi za Kiafrika inaendelea, na katika wiki zijazo, vikosi vya jeshi la Ufaransa pia vitaondoka Ivory Coast.
-
Ivory Coast yatangaza tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Ufaransa nchini humo
Feb 07, 2025 23:28Serikali ya Ivory Coast imeainisha tarehe ya kuondoka wanajeshi 'vamizi' wa Ufaransa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.