-
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yataka uchunguzi wa ukiukaji wa haki katika mji wa Goma
Feb 07, 2025 23:01Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo itawasilisha hoja katika Baraza la Haki za Binaadamu la Umoja wa Mataifa kutaka uchunguzi wa kile ilichokiita "ukiukwaji mkubwa" wa haki katika mji wa Goma.
-
Jeshi la Sudan laendelea kuyakomboa maeneo yanayoshikiliwa
Feb 07, 2025 22:57Jeshi la Sudan limeendeleza mikakati yake ya kulikomboa eneo la katikati la mji mkuu Khartoum baada ya wiki ya mapambano inayolenga kuyakomboa maeneo mengi yanayodhibitiwa na wanamgambo wa RSF.
-
Askari wengine 144 wa Kenya wapelekwa Haiti kusaidia kurejesha usalama na utulivu nchini humo
Feb 07, 2025 07:23Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya Kipchumba Murkomen, amesema jukumu la kudhamini usalama linalotekelezwa na kikosi cha usaidizi cha mataifa kadhaa (MSS) kikiongozwa na nchi hiyo huko Haiti linazidi kuimarishwa na kupata nguvu zaidi ikiwa ni uthibitisho wa namna taifa hilo la mashariki ya Afrika linavyotimiza ahadi yake kwa Jamii ya Kimataifa.
-
Afrika Kusini: Hatutakubali kuburuzwa na Marekani
Feb 07, 2025 04:25Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa, taifa hilo halitakubali kuburuzwa na kushinikizwa na maajinabi.
-
Nairobi, mwenyeji wa Mkutano wa Ustaarabu wa Iran A/Mashariki
Feb 07, 2025 04:25Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya jana Alkhamisi kilikuwa mwenyeji wa mkutano wa Ubalozi wa Iran wenye kaulimbiu inayosema "Kupekua Ushawishi wa Ustaarabu na Utamaduni wa Kiajemi kwa jamii za Afrika Mashariki."
-
Takriban watu 70 wauawa katika mapigano ya Puntland, Somalia
Feb 06, 2025 23:11Takribani watu 70 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mapigano ya saa 24 kati ya wapiganaji wa Islamic State na vikosi vya eneo la Somalia la Puntland.
-
UN: Hali ya kibinadamu huko Goma bado ni mbaya licha ya kusimamishwa mapigano
Feb 06, 2025 23:09Hospitali katika mji mkubwa wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Goma, zinatatizika kutibu mamia ya wagonjwa waliojeruhiwa, huku baadhi wakiripoti uhaba wa dawa siku chache baada ya kundi la waasi la M23 kutangaza kusitisha mapigano kwa upande mmoja.
-
Uganda yakanusha kuwatuma wanajeshi wa ziada mashariki ya DRC
Feb 06, 2025 23:08Jeshi la Uganda limekanusha rasmi madai kwamba limepeleka wanajeshi wake Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, ambapo vikosi vya Congo vinapigana na waasi wa M23.
-
Mahakama ya Kijeshi ya DRC yatoa hati ya kukamatwa Corneille Nangaa
Feb 06, 2025 07:47Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Corneille Nangaa, mkuu wa makundi ya waasi wa mashariki mwa nchi hiyo, ikimtuhumu kwa kushindwa kuzuia vitendo vya utesaji chini ya mamlaka yake.
-
UN: Hofu ya magonjwa ya miripuko yatanda katika mji wa Goma unaokaliwa kwa mabavu
Feb 06, 2025 03:24Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa katika mji wa Goma wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) unaokaliwa kwa mabavu, alisema jana Jumatano kuwa mji huo uko katika hali mbaya huku wasaidizi wa masuala ya kibinadamu wakipambana na hatari ya magonjwa ya mripuko.