-
Ripoti: Uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati ya Misri na Israel kuhusu "Somaliland"
Feb 19, 2026 08:38Vyombo vya habari vya utawala wa kibaguzi wa Israel vimeelezea wasiwasi kwamba, matukio katika eneo la Pembe ya Afrika mpaka Februari mwaka huu (2026) yanaonyesha ongezeko kubwa la mvutano kati ya Misri na Israel.
-
Wakenya zaidi ya 1,000 wanashiriki katika vita vya Russia na Ukraine
Feb 19, 2026 08:26Zaidi ya Wakenya 1,000 wamekwenda kupigana upande wa jeshi la Russia nchini Ukraine. Ripoti ya kijasusi iliyowasilishwa katika bunge la Kenya, imesema kuwa, wengi wa raia hao walidanganywa ili kusaini mikataba ya kijeshi.
-
Mjumbe wa UN: Mgawanyiko wa mahakama nchini Libya ni tishio kwa umoja wa taifa
Feb 19, 2026 04:15Mjumbe mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ameonya Jumatano kuwa kuongezeka kwa mgawanyiko ndani ya mfumo wa mahakama wa nchi hiyo, pamoja na kuzorota kwa hali ya uchumi, kunatishia umoja wa kitaifa na kunaweza kuyumbisha uthabiti wa eneo zima.
-
OCHA: Takribani raia 50 wameuawa katika mapigano mashariki mwa DRC
Feb 19, 2026 04:12Takribani raia 50 wameuawa wakati wa mapigano yaliyozuka mwezi Januari kati ya vikosi vinavyoiunga mkono serikali na waasi wenye silaha katika jimbo la Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Hayo ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa Jumatano na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA).
-
Mateso ya Ukoloni: Majaribio ya Nyuklia ya Ufaransa nchini Algeria, Uhalifu Ambao Hautasahaulika
Feb 18, 2026 23:54Wakati wa ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria, moja ya sura nyeusi na ya uhalifu mkubwa zaidi ilikuwa majaribio ya nyuklia katika ardhi ya nchi hiyo na kwa watu wake.
-
Nchi 24 zaonya kuhusu janga la watu nchini Sudan; UN yasema ina wasiwasi mkubwa
Feb 18, 2026 23:33Nchi 24 za Magharibi zimeelezea wasiwasi wao kuhusu mauaji yanayoendelea kufanywa dhidi ya raia, uharibifu wa miundombinu na mashambulizi dhidi ya taasisi za misaada ya kibinadamu nchini Sudan, zikitoa wito kwa jeshi la Sudan na wapiganaji wa kundi la waasi la Rapid Support Forces kusitisha mapigano.
-
Familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia yapuuza madai ya kuwekewa sumu Lungu
Feb 18, 2026 22:52Familia ya Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, ambaye alifariki dunia nchini Afrika Kusini mwezi Juni mwaka jana na bado hajazikwa, imekanusha madai kwamba Lungu aliwekewa sumu.
-
Gabon yapiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii, yasema inachochea migawanyiko
Feb 18, 2026 06:57Serikali ya Gabon imepiga marufuku kwa muda matumizi ya mitandao ya kijamii, ikisema kuwa inahusika na kuchochea migogoro na migawanyiko ndani ya jamii.
-
Balozi wa Iran aiasa Kenya kuchukua hatua 'sakata la chai'
Feb 18, 2026 03:53Mwanadiplomasia wa Iran imeiomba serikali ya Kenya kuchukua hatua na kulipatia ufumbuzi sakata la chai la thamani ya Shilingi bilioni 2.6 za nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Somalia kuanza kutoa pasipoti za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
Feb 17, 2026 07:51Somalia inatarajiwa kuanza kutoa hati ya kusafiria ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa raia wake; ikiungana na nchi nyingine wanachama katika kutumia hati ya kusafiria ya kikanda.