-
WHO: Chanjo ya Ebola yaanza kutolewa kusini mwa DRC
Sep 15, 2025 07:18Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, utoaji chanjo kwa watu walio kwenye hatari ya kupata maambukizi ya ugonjwa wa Ebola umeanza kusini mwa jimbo la Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.
-
Waasi wa RSF washambulia maeneo muhimu ya kijeshi Sudan
Sep 15, 2025 00:31Afisa mmoja wa jeshi la Sudan ameziambia duru za habari kwamba droni kadhaa za wanamgambo wa RSF zimeshambulia vituo muhimu vya kijeshi na miundo mbinu ya raia nchini Sudan.
-
Uhaba wa mafuta Malawi wasababishaa foleni ndefu vituoni na kuathiri maisha ya watu
Sep 15, 2025 00:31Uhaba wa mafuta ya Petroli nchini Malawi uliodumu kwa muda mrefu umesababisha matatizo makubwa na kuwa na taathira hasi kwa maiasha ya wananchi wa nchi hiyo.
-
Serikali ya Sudan yaweka masharti ya kukubali juhudi za kimataifa za kusitisha mgogoro wa nchi hiyo
Sep 14, 2025 03:25Serikali ya Sudan siku ya Jumamosi ilitangaza masharti ya msingi kwa ajili ya kukubali juhudi za kimataifa za kusitisha mgogoro unaoendelea nchini humo, ikisisitiza kuwa mpango wowote lazima uheshimu mamlaka kamili ya taifa na uhalali wa taasisi zake za kiserikali.
-
Balozi: Burkina Faso inataka kuimarisha ushirikiano wa kisayansi na Iran
Sep 13, 2025 23:13Balozi wa Burkina Faso mjini Tehran, Mohammadi Kaboureh, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kisayansi na Iran, akieleza kuwa ni jambo la msingi kwa maendeleo endelevu ya taifa hilo la Afrika.
-
Misri yaionya Israel kuhusu njama za kuwaua viongozi wa Hamas ndani ya ardhi yake
Sep 13, 2025 08:27Misri imefichua njama za Israel za kuwaua viongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, walioko ndani ya ardhi yake, na kuionya Israel kuwa shambulio lolote la aina hiyo litachukuliwa kama “tamko la vita” na litajibiwa kwa nguvu.
-
Pendekezo la Saudi Arabia, UAE na Misri kuhusu 'Ramani ya Amani' ya Sudan
Sep 13, 2025 08:21Ijumaa Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Misri na pia Marekani zilitoa wito wa kusitishwa mapigano kwa muda wa miezi mitatu nchini Sudan sambamba na kufanyika mazungumzo ya makubaliano ya kudumu ya kusitisha vita.
-
Mabunge ya Kiarabu na Kiafrika yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa kwa jinai za utawala wa Kizayuni
Sep 13, 2025 03:51Mabunge ya Kiarabu na Kiafrika yamekosoa vikali kimya cha jamii ya kimataifa kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Upinzani Sudan Kusini wapuuzilia mbali mashtaka dhidi ya Machar
Sep 13, 2025 03:39Mrengo wa upinzani nchini Sudan Kusini umepuuzilia mbali mashtaka dhidi ya kiongozi wao ambaye pia ni makamu wa rais Riek Machar.
-
DRC: Ajali za boti zasababisha vifo vya zaidi ya watu 190
Sep 13, 2025 03:38Matukio mawili tofauti ya ajali wiki hii katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamesababisha vifo vya takriban watu 193. Makumi ya watu hawajulikani walipo huku kazi ya uokoaji ikiendelea.