-
Mfuasi wa zamani wa Mchungaji Mackenzie: Nilitoa tahadhari kuhusu mauaji ya Shakahola, sikusikilizwa
Nov 12, 2025 04:03Aliyekuwa mfuasi wa Mchungaji Paul Mackenzie, kiongozi wa Kanisa la Good News International (GNI) amefichua jinsi alivyotoa onya kuhusu mauaji ya Shakahola lakini hakusiikilizwa na vyombo husika.
-
Ethiopia kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi 2027
Nov 11, 2025 23:41Ethiopia imeishinda Nigeria na hivyo kutangazwa kuwa nchi mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya Tabianchi uliopangwa kufanyika mwaka 2027.
-
Zaidi ya asilimia 70 ya Wasudan wanaishi chini ya kiwango cha umaskini
Nov 11, 2025 23:01Umaskini nchini Sudan umeongezeka zaidi ya mara tatu tangu kuanza kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe mnamo Aprili 2023. Hayo ni kwa mujibu wa Waziri wa Ustawi wa Jamii, Mutasim Ahmed Saleh.
-
Rais wa Niger: Ufaransa inatekeleza njama za kuvuruga nchi yake
Nov 11, 2025 23:01Rais wa Niger, Abdourahamane Tchiani, ameishutumu vikali Ufaransa kwa kuhusika katika njama za kuichafua na kuidhoofisha nchi yake.
-
UN yazindua jukwaa la kidijitali ili kuongeza ushiriki wa vijana katika mazungumzo Libya
Nov 11, 2025 07:21Shirika la Misaada la Umoja wa Mataifa nchini Libya (UNSMIL) limezindua jukwaa la kidijitali kwa vijana wa Libya, kwa shabaha ya kuimarisha ushiriki wao katika mchakato wa mazungumzo ya kisiasa uliopangwa kufanyika nchini humo siku zijazo.
-
Wahamiaji wanaorejea Guinea waelezea magumu wanayokabiliana nayo
Nov 11, 2025 07:20Maelfu ya raia wa nchi za Afrika wamerejea katika nchi zao kwa msaada wa mpango wa hiari wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM na kuelezea matatizo makubwa waliyokumbana nayo wakiwa katika ukimbizi.
-
IOM: Hatua za haraka zinahitajika ili kuwanusuru mamilioni ya raia walioathiriwa na vita Sudan
Nov 11, 2025 04:21Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) limetaka kuchukuliwa hatua za haraka ili kuwasaidia mamilioni ya raia walioathiriwa na vita vya Sudan kati ya jeshi la nchi hiyo na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).
-
Amnesty International yaitaka Nigeria kuwaondoa hatiani wanaharakati tisa waliouawa miaka 30 iliyopita
Nov 11, 2025 02:45Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Nigeria kuwafutia kabisa hatia wanaharakati tisa wa mazingira waliouawa miaka 30 iliyopita, ambao walipigania kulinda eneo la Niger Delta kutokana na shughuli za kampuni kubwa ya mafuta ya Shell.
-
Mkurugenzi Mkuu wa WHO ataka kusitishwa umwagaji damu nchini Sudan
Nov 10, 2025 23:39Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametaka kusitishwa ghasia nchini Sudan baada ya kuuawa daktari katika mji ulioathiriwa na vita wa Al Fasher.
-
Kiongozi wa mapinduzi ya Guinea, Mamady Doumbouya aidhinishwa kuwania urais
Nov 10, 2025 23:35Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi wa Guinea Conakry, Mamady Doumbouya na wagombea wengine wanane wameidhinishwa kugombea katika uchaguzi wa rais mwezi ujao. Hii ni kwa mujibu wa orodha ya wagombea wa kiti cha urais iliyotolewa na Mahakama Kuu ya nchi hiyo.