-
Bwawa la Renaissance; tishio kwa amani au fursa ya maendeleo?
Sep 11, 2025 03:49Bwawa la Renaissance au an-Nahdha, mradi mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme barani Afrika, ulizinduliwa rasmi na serikali ya Ethiopia siku ya Jumanne.
-
Ushahidi dhidi ya Joseph Kony waanza kuwasilishwa ICC
Sep 10, 2025 23:46Waendesha mashtaka katika mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), wameanza kuwasilisha ushahidi dhidi ya kiongozi wa kundi la LRA Joseph Kony ambaye wapiganaji wake walisababisha mauaji makubwa na mateso kwa waakazi wa Kaskazini mwa Uganda.
-
HRW: Wanamgambo wamewaua zaidi ya watu 127 Niger
Sep 10, 2025 23:44Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, Wanamgambo wenye mfungamano na Kundi la kigaidi la Daesh wameua zaidi ya watu 127 nchini Niger.
-
Afrika Kusini yalaani vikali shambulizi la Israel dhidi ya mji mkuu wa Qatar
Sep 10, 2025 07:29Afrika Kusini, siku ya Jumatano, imetoa kauli kali ya kulaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israel katika mji mkuu wa Qatar, Doha, ikiyataja kuwa “haramu na ya kichokozi.”
-
Ethiopia yazindua bwawa kubwa zaidi la umeme barani Afrika, Misri yapinga mradi
Sep 10, 2025 07:27Ethiopia imezindua rasmi Bwawa la Grand Ethiopian Renaissance (GERD), mradi mkubwa zaidi wa umeme wa maji barani Afrika, huku mvutano ukiongezeka na mataifa ya chini ya Mto Nile ambayo ni Misri na Sudan.
-
Zaidi ya watu 50 wauawa kwa kupigwa mapanga na waasi wa ADF mashariki mwa DRC
Sep 09, 2025 22:59Zaidi ya watu 50 wameuawa mashAriki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya congo baada ya waasi wa kundi la ADF kuwashambulia kwa mapanga wakati wa mazishi.
-
Mahakama ya ICC yafungua kesi ya uhalifu wa kivita dhidi ya Joseph Kony
Sep 09, 2025 22:57Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) itafungua kesi dhidi ya mbabe wa kivita wa Uganda Joseph Kony, katika hatua ya kihistoria ya haki ya kimataifa karibu miongo miwili baada ya kutoa hati yake ya kwanza ya kukamatwa kwake.
-
Rais wa zamani Gbagbo na kiongozi mkuu wa upinzani wazuiwa kugombea urais wa Ivory Coast
Sep 09, 2025 06:58Kinyang'anyiro cha kuwania urais nchini Ivory Coast kimeshuhudia mabadiliko ya ghafla baada ya viongozi wawili wakuu wa upinzani kuzuiliwa kugombea katika uchaguzi huo utakaofanyika mwezi ujao wa Oktoba.
-
Mkutano wa pili wa hali ya hewa Afrika wazinduliwa Addis Ababa, Ethiopia
Sep 09, 2025 03:41Mkutano wa Pili wa Hali ya Hewa wa Afrika ulizinduliwa jana huko Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia huku viongozi wakitoa wito wa kuachana na utoaji matamshi pekee na kujikita katika uchukuaji hatua.
-
Jeshi la Mali lashambulia ngome za magaidi huko Kayes
Sep 09, 2025 03:31Jeshi la Mali limesema kuwa limefanya mashambulizi ya anga katika eneo la magharibi la Kayes lenye utajiri mkubwa wa dhahabu baada ya magaidi kuzuia kuingizwa mafuta katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bamako kutoka nje ya nchi hiyo.