-
Eslami: Iran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya kisiasa ya kiholela
Jun 09, 2025 22:47Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran, Mohammad Eslami amesisitiza ulazima wa kuendelea kurutubishwa Iran madini ya urani na kusema, "Watu milioni moja hutumia bidhaa zetu za dawa zenye mionzi kila mwaka.
-
Je, ni malengo gani yanafuatiliwa na Marekani na Troika ya Ulaya dhidi ya mpango wa nyuklia wa Iran?
Jun 09, 2025 22:44Licha ya malengo ya uhasama ya Marekani na Troika ya Ulaya, lakini Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendeleza mafanikio yake ya nyuklia katika nyanja mbalimbali.
-
Iran: Ni kwa manufaa ya US kulichukulia kwa uzito pendekezo letu
Jun 09, 2025 07:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amesema Tehran hivi karibuni itawasilisha pendekezo lake kuhusu makubaliano ya nyuklia kupitia Oman, akitoa wito kwa Washington kutopoteza fursa hii, na kulichukulia kwa uzito pendekezo la Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran: Nyaraka za siri tulizopata zina taarifa kuhusu vituo vya nyuklia vya Israel
Jun 09, 2025 03:49Esmail Khatib, Waziri wa Usalama wa Taifa wa Iran, amesema kuwa nyaraka za siri ambazo Iran imefanikiwa kuzipata kutoka Israel, zinahusiana moja kwa moja na taarifa nyeti kuhusu miundombinu ya nyuklia ya utawala huo ghasibu na zinaimarisha uwezo wa Iran kuhujumu.
-
Iran yaonya italipiza kisasi iwapo IAEA itapitisha azimio dhidi yake
Jun 09, 2025 03:34Iran imeonya kuwa itachukua hatua za kulipiza kisasi endapo Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) itapitisha azimio dhidi yake katika kikao chake cha leo Jumatatu.
-
Iran: Tuko tayari kuimarisha uhusiano na Ulaya lakini kwa kuheshimiana
Jun 08, 2025 23:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesema kuwa, Tehran iko tayari kupanua uhusiano na nchi za Ulaya hususan Italia lakini kwa sharti la kuheshimiana na kulindwa maslahi ya pamoja.
-
Iran: Vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC vinakirihisha
Jun 08, 2025 23:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuwawekea vikwazo majaji wanne wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutokana na uchunguzi wao juu ya uhalifu wa kivita uliofanywa na Israel huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Namna kujiunga Iran na Benki Mpya ya Maendeleo ya BRICS kunaweza kubadilisha maingiliano ya kifedha na kibenki
Jun 08, 2025 22:43Mohammad Reza Farzin, Gavana wa Benki Kuu ya Iran, amekutana na Dilma Rousseff, Rais wa Benki Mpya ya Maendeleo ya BRICS katika kikao cha magavana wa benki kuu na mawaziri wa uchumi wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai mjini Beijing na kujadiliana naye kuhusu kuimarishwa maingiliano ya kifedha na kibenki na nchi wanachama wa kundi hilo.
-
Machapisho yaliyochaguliwa ya watumiaji wa X; Kutoka salamu za ghera kwa mwanamke wa Kiirani hadi kukosoa ushirikiano wa Magharibi na utawala wa Kizayuni.
Jun 08, 2025 09:30Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wametoa radiamali zao kwa masuala mbalimbali ya kimataifa katika jumbe zao.
-
Baqaei: Vikwazo vipya vinaonyesha kina cha uadui wa Marekani dhidi ya wananchi wa Iran
Jun 08, 2025 09:04Esmaeil Baqaei, Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani vikali vikwazo vipya vya Wizara ya Hazina ya Marekani dhidi ya shakhsia na taasisi kadhaa za kisheria za Iran na zisizo za Iran kwa kisingizio cha kushirikiana na Iran katika nyanja za biashara na benki.