-
Rais Pezeshkian: Watetezi wa haki za binadamu wamekaa kimya kuhusu Gaza na Iran
Jul 26, 2025 08:18Rais Masoud Pezeshkian amekosoa mashirika ya haki za binadamu na vyombo vya habari vya Magharibi kwa kupuuza majanga ya kibinadamu huko Gaza na matukio ya hivi karibuni nchini Iran.
-
Iran yaonya kuhusu mpango wa Israel 'kuifuta' Palestina, yataka hatua za haraka zichukuliwe kukomesha mzingiro wa Gaza
Jul 26, 2025 04:42Waziri wa mambo ya nje wa Iran ameonya kuwa Israel inalenga “kuifuta” Palestina kama taifa na utambulisho, na ametaka hatua za haraka za jamii ya kimataifa zichukuliwe kuondoa mzingiro mkali wa Israel ambao umeisukuma Gaza katika hali ya maangamizi ya kibinadamu.
-
Mazungumzo ya 'dhati' ya Iran na nchi tatu za Ulaya yafanyika Istanbul
Jul 26, 2025 04:36Iran na nchi tatu za Ulaya ambazo ni Ufaransa, Uingereza na Ujerumani (zinazojulikana kama E3), wamekubaliana kuendelea na mashauriano kuhusu suala la vikwazo na mpango wa nyuklia wa Iran. Hayo ni kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi.
-
Kiongozi Mkuu atoa ujumbe kwa Taifa kwa mnasaba wa Arubaini ya Wairan waliouliwa shahidi na utawala khabithi wa kizayuni
Jul 26, 2025 00:17Kiongozi Muadhamu wa Mapnduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametoa ujumbe maalumu unaolihutubu Taifa la Iran kwa mnasaba wa Arubaini ya kuuliwa shahidi na utawala khabithi na mtendajinai wa kizayuni wananchi kadhaa raia wa kawaida, makamanda waliokomaa wa kijeshi na wanasayansi watajika wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wanafunzi wa Iran washinda medali tano katika Mashindano ya Kimataifa ya Fizikia 2025
Jul 25, 2025 23:01Timu ya wanafunzi wa shule za upili kutoka Iran imejinyakulia medali tano za fedha katika Mashindano ya 55 ya Kimataifa ya Fizikia (International Physics Olympiad - IPhO 2025) yaliyofanyika jijini Paris, Ufaransa.
-
Araghchi: Iran haitalegeza msimamo wake kuhusu mpango wa nyuklia wa amani
Jul 25, 2025 07:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesisitiza tena msimamo thabiti wa Tehran kuhusu haki yake ya kuendeleza mpango wake wa nishati ya nyuklia kwa matumizi ya amani, ikiwa ni pamoja na kurutubisha urani.
-
Satelaiti ya Iran, Nahid-2, yarushwa katika anga za mbali kwa mafanikio
Jul 25, 2025 07:27Satelaiti ya mawasiliano na utafiti wa anga ya Iran, Nahid-2, iliyotengenezwa kikamilifu ndani ya nchi, imerushwa kwa mafanikio kuelekea anga za mbali Ijumaa, Julai 25, kwa kutumia roketi ya Kirusi ya Soyuz.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa: Utawala wa Kizayuni umepata kipigo kikali kutoka Iran
Jul 25, 2025 07:26Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Tehran amesema kuwa utawala wa Kizayuni umepata kipigo kikali kufuatia mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran, na umebeba gharama nzito mno.
-
Iran yalaani hatua ya Wazayuni, yaonya juu ya kuangamizwa kabisa Palestina
Jul 24, 2025 23:50Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imelaani hatua ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel, Knesset, ya kuidhinisha muswada unaoweka udhibiti wa utawala huo ghasibu katika Ukingo wa Magharibi na Bonde la Jordan.
-
Ayatullah Hamedani amwandikia Papa Leo: Tunapaswa kuwa sauti ya watu wanaodhulumiwa wa Gaza
Jul 24, 2025 08:40Mmoja wa viongozi wa ngazi za juu kidini nchini Iran amemwandikia barua Papa Leo XIV akisema: "Mienendo ya kikatili na isiyo ya kibinadamu ya utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa ni pamoja na kuzuia kupelekwa chakula na mahitaji muhimu kwa watu wa Gaza ni ukiukaji wa wazi wa kanuni za kidini, kibinadamu, maadili na sheria za kimataifa."