Iran
  • Rais wa Iran amfuta kazi Makamu wake kwa 'safari ya ubadhirifu'

    Rais wa Iran amfuta kazi Makamu wake kwa 'safari ya ubadhirifu'

    Apr 05, 2025 06:07

    Rais Masoud Pezeshkian amempiga kalamu nyekundu Makamu wake katika Masuala ya Bunge kufuatia safari ya kibinafsi ya mwanasiasa huyo wakati wa sherehe za mwaka mpya wa Kiirani (Nowruz), iliyojaa ubadhirifu.

  • Abu Turabi Fard: Jamii ya Kiislamu inakabiliwa na mtihani mkubwa katika kulihami taifa la Palestina

    Abu Turabi Fard: Jamii ya Kiislamu inakabiliwa na mtihani mkubwa katika kulihami taifa la Palestina

    Apr 04, 2025 09:01

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema, Jamii ya Kiislamu inakabiliwa na mtihani mkubwa katika kulihami taifa adhimu la Palestina na kusimama imara kukabiliana na Uistikbari na mamluki wake yaani utawala wa niaba wa Wazayuni katika eneo hili.

  • Kuwa tayari Iran kuimarisha ushirikiano na nchi za eneo

    Kuwa tayari Iran kuimarisha ushirikiano na nchi za eneo

    Apr 04, 2025 06:57

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na wakuu wa baadhi ya nchi za eneo na kusisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na ushirikiano na nchi hizo katika nyanja mbalimbali kwa mujibu wa imani na itikadi za Kiislamu.

  • Pezeshkian: Ikiwa Waislamu wataungana, maadui hawawezi kuyadhulumu mataifa ya Kiislamu

    Pezeshkian: Ikiwa Waislamu wataungana, maadui hawawezi kuyadhulumu mataifa ya Kiislamu

    Apr 04, 2025 06:47

    Rais wa Iran amesema kuwa ikiwa Waislamu watakuwa na umoja na mshikamano, maadui hawatakuwa na uwezo wa kuyadhulumu mataifa ya Kiislamu.

  • Iran yalalamikia vikali azimio la Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Iran yalalamikia vikali azimio la Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Apr 04, 2025 06:45

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Geneva amekosoa vikali kupitishwa kwa azimio la kupinga Iran katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, akilitaja kuwa ni kitendo cha kibaguzi na kinachopunguza itibari wa baraza hilo.

  • Rais Pezeshkian: Iran haiko vitani na nchi yoyote

    Rais Pezeshkian: Iran haiko vitani na nchi yoyote

    Apr 04, 2025 03:35

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia na kusisitiza kwa kusema: "Nina imani kwamba kama nchi za Kiislamu zitafanya kazi kwa pamoja, zinaweza kuleta usalama na ustawi bora katika eneo hili."

  • Iran yalaani mashambulizi la Israel dhidi ya miundombinu ya raia na ulinzi ya Syria

    Iran yalaani mashambulizi la Israel dhidi ya miundombinu ya raia na ulinzi ya Syria

    Apr 04, 2025 03:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje amelaani vikali hujuma ya kijeshi ya anga na ardhini ya utawala wa wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria na uharibifu wa vituo vya utafiti vya kiraia na kisayansi, pamoja na mlolongo wa miundombinu ya ulinzi ya nchi hiyo katika majimbo ya Damascus, Hama, Homs na Daraa.

  • SEPAH: Muqawama utakomesha uwepo mchafu wa utawala wa Kizayuni

    SEPAH: Muqawama utakomesha uwepo mchafu wa utawala wa Kizayuni

    Apr 03, 2025 23:44

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la nchini Iran SEPAH limetoa taarifa na kutangaza kuwa: "Kambi ya Muqawama hususan wanamapambano shupavu na mashujaa wa Palestina hatimaye itamaliza na kuyakatisha maisha ya aibu ya wavamizi wa Palestina."

  • Onyo Kali la Iran kwa Marekani na Utawala wa Kizayuni

    Onyo Kali la Iran kwa Marekani na Utawala wa Kizayuni

    Apr 03, 2025 09:08

    Katika mazingira ya kuongezeka kwa vita vya kisaikolojia vinavyoendeshwa na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni, na vitisho vya mara kwa mara kutoka kwa Donald Trump na maafisa waandamizi wa usalama wa utawala wake huko Washington kuhusu uwezekano wa kushambulia Iran iwapo kutakosekana makubaliano kuhusu suala la nyuklia, Tehran imetoa onyo kali kwa Marekani na Israel kuhusu madhara makubwa ya hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran.