-
Iran: Mashtaka ya ICC dhidi ya Netanyahu yalipaswa kujumuisha 'mauaji ya kimbari'
Nov 23, 2024 07:58Iran imesema mashitaka ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) dhidi ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri wake wa zamani wa vita Yoav Gallant pia yalipaswa kujumuisha "mauaji ya kimbari" ya utawala huo ghasibu.
-
Balozi wa Iran UN: Tuhuma za Marekani na Uingereza hazina msingi wowote
Nov 23, 2024 03:51Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha tuhuma dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu zilizotolewa na Marekani na Uingereza za eti kuvuruga amani katika eneo la Asia Magharibi na kuhusika na mapigano yanayoendelea Ukraine; akisisitiza kuwa tuhuma zote hizo hazina msingi wowote.
-
Kamalvandi: Iran imeongeza uwezo wa kurutubisha urani ya nyuklia
Nov 22, 2024 23:52Behrouz Kamalvandi, msemaji na mkuu wa masuala ya kimataifa na kisheria katika Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amezungumzia azimio haribifu la Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya Iran na kusema: Tumeongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kurutubisha madini ya urani.
-
Rais Pezeshkian atoa salamu za rambirambi kwa Pakistan kutokana na shambulio la kigaidi
Nov 22, 2024 23:42Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametuma salamu za rambirambi kufuatia shambulizi la kigaidi lililotokea kaskazini magharibi mwa Pakistan.
-
Radiamali ya Iran kwa azimio la nchi tatu za Ulaya kwa Bodi ya IAEA
Nov 22, 2024 09:11Nchi tatu za Ulaya zimewasilisha mswada wa azimio kwa Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ambapo zimeituhumu Iran kuwa haiweki wazi shughuli zake za nyuklia.
-
Ayatullah Khatami: Uamuzi wa Bodi ya Magavana wa IAEA dhidi ya Iran umefuata matakwa ya Wazayuni
Nov 22, 2024 08:45Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amelichukulia azimio la Bodi ya Magavana wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki dhidi ya mpango wa amani wa nyuklia wa Iran kuwa linafuata matakwa ya utawala haramu wa Israel.
-
Salami: Tutalipa kisasi dhidi ya Israel na hilo halina shaka
Nov 22, 2024 08:40Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran SEPAH amesema kuwa, wananchi wa Iran lazima wawe na yakini kwamba tutalipiza kisasi kwa utawala ghasibu wa Israel.
-
Iran kuweka sentrifuji za kisasa kujibu hatua ya Bodi ya Magavana ya IAEA kupitisha azimio dhidi yake
Nov 22, 2024 03:35Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran ametoa amri ya kuchukuliwa hatua madhubuti ikiwa ni pamoja na kuwekwa majimui maalumu ya mashinepewa (centrifuges) mpya na za kisasa za aina tofauti kufuatia azimio lisilo na sababu lililopitishwa na Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA dhidi ya mpango wa amani wa nyuklia wa Iran.
-
Araghchi: Bodi ya Magavana ya IAEA inahitaji kupinga azimio la E3 dhidi ya Iran
Nov 21, 2024 23:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema wajumbe wa Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) wanapaswa kupinga jitihada za nchi tatu za Ulaya za kupitisha azimio dhidi ya Tehran.
-
Baqaei: Vitisho, vikwazo na mashinikizo ya maadui dhidi ya Iran hayafui dafu
Nov 21, 2024 23:02Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesisitiza kuwa, vitisho, vikwazo na mashinikizo ya maadui dhidi ya Iran hayana tija.