-
Olmert: Walowezi haramu wanafanya 'uhalifu wa kivita' Ufukwe Magharibi kwa uungaji mkono wa utawala
Jul 13, 2025 14:03Waziri mkuu wa zamani wa utawala wa kizayuni Israel Ehud Olmert amekiri kuwa walowezi haramu wa kizayuni wamekuwa wakifanya "uhalifu wa kivita" kila leo dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huku wakilindwa na utawala wa Tel Aviv.
-
Hizbullah: Mauaji ya Sheikh Shahoud yanalenga kuvuruga umoja na mshikamano wa Syria
Jul 13, 2025 10:24Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali mauaji ya kiongozi maarufu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia, Sheikh Rasoul Shahoud, aliyeuawa katika shambulizi lililotokea katika mkoa wa Homs, Syria ya kati.
-
Netanyahu: Ni kweli tuliwaua kigaidi wanasayansi wa nyuklia wa Iran
Jul 13, 2025 03:27Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amekiri kwamba utawala huo wa Kizayuni uliwaua kwa utaratibu maalum wanasayansi wa nyuklia wa Iran.
-
Maafisa wa Syria na Israel wanatazamiwa kukutana Baku
Jul 13, 2025 02:18Maafisa wa Syria na Israel wanatazamiwa kukutana mjini Baku ili kujadili "uwepo wa hivi karibuni wa jeshi la Israel nchini Syria.
-
Jinai ya kutisha; Israel yaua shahidi Wapalestina 150 Gaza
Jul 13, 2025 02:02Wapalestina zaidi ya 150 wameuawa shahidi katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza, huku eneo hilo la pwani likishuhudia siku yake mbaya zaidi tangu mwezi Mei, wakati utawala wa Israel uliposhadidisha mauaji yake ya kimbari dhidi ya eneo hilo.
-
Tahadhari kuhusu joto na ukosefu wa maji ya kunywa Gaza
Jul 13, 2025 00:01Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa Ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetahadharisha kuhusu hali mbaya ya kiafya huko Gaza Palestina kutokana na ukosefu wa maji ya kunywa na usafi wa mazingira na matokeo ya joto.
-
Raia wa US apigwa hadi kufa na walowezi wa Kizayuni Ukingo wa Magharibi
Jul 12, 2025 09:41Walowezi wa Israel wamempiga hadi kufa kijana mmoja raia wa Marekani katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu, kwa mujibu wa familia yake na mashirika ya kutetea haki za binadamu.
-
Wapalestina zaidi ya 17 wauawa katika mashambulizi ya Israel Gaza leo alfajiri
Jul 12, 2025 04:02Kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari zikinukuu vyanzo vya kitabibu ndani ya Ukanda wa Gaza, Wapalestina wasiopungua 17 wameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Israel tangu alfajiri ya leo.
-
Lebanon: Hatuna azma ya kuufanya wa kawaida uhusiano wetu na Israel
Jul 11, 2025 12:56Rais Joseph Aoun wa Lebanon amesema nchi hiyo haina mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel kwa sasa.
-
Israel yaua mwandishi mwingine wa Kipalestina, idadi ya waliouawa yafika 229
Jul 11, 2025 04:10Ofisi ya serikali ya vyombo vya habari katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa mwandishi habari mwingine wa Kipalestina ameuawa katika shambulio la Israel katika eneo hilo lililozingirwa kinyume cha sheria, na kuongeza idadi ya wanahabari waliouawa imefika 229 tangu Oktoba 2023, wakati utawala dhalimu wa Israel ulipoanzisha mashambulizi ya kinyama dhidi ya Gaza.