-
Uwanja wa Ben Gurion wapigwa tena kombora la hypersonic
Jun 02, 2025 03:13Jeshi la Yemen limesema kuwa limeanzisha tena operesheni mpya za kulipiza kisasi dhidi ya maeneo yanayolengwa na Israel ndani kabisa ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ili kukabiliana na jinai na uchokozi unaoendelea dhidi ya Wapalestina wa Gaza.
-
Walowezi zaidi ya 12,000 wavamia msikiti wa al-Aqswa mwezi Mei pekee
Jun 01, 2025 22:48Zaidi ya walowezi 12,000 wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti mtakatifu wa al-Aqswa mwezi Mei pekee uliomalizika na kufanya vitendo vya kichochezi katika eneo hilo takatifu.
-
Hamas yapongeza uamuzi wa Baraza la Jiji la Barcelona kwa kuvunja uhusiano na Israel
Jun 01, 2025 22:48Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imepongeza uamuzi wa Baraza la Jiji la Barcelona la nchini Uhispania la kuvunja uhusiano wa kitaasisi na utawala wa Israel kutokana na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Wanachama wa genge moja la kigaidi watiwa mbaroni Iraq
Jun 01, 2025 22:38Idara ya Taifa ya Ujasusi ya Iraq imetangaza habari ya kutiwa mbaroni na kusambaritishwa mtandao wa uhalifu uliokuwa na nia ya kufanya operesheni za mauaji na kuvuruga usalama wa umma nchini humo.
-
Tiketi za ndege za kukimbia Israel zawa adimu
Jun 01, 2025 06:39Soko la usafiri wa anga kutoka maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na Wazayuni limekumbwa na mgogoro usio na kifani kutokana na kuendelea mashambulizi ya ndege zisizo na rubani na makombora ya jeshi la Yemen dhidi ya miundombinu muhimu ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Israel yaua Wapalestina 30 katika vituo vya misaada vya US, Gaza
Jun 01, 2025 03:45Vikosi vya utawala haramu wa Israel vimewamiminia risasi Wapalestina waliokuwa wamekusanyika katika vituo vya kusambaza misaada vinavyoendeshwa na kundi linaloungwa mkono na Marekani kusini na katikati mwa Gaza, na kuua shahidi takriban 30 miongoni mwao huko Rafah, huku Mpalestina mwingine akiuawa shahidi karibu na korido ya Netzarim.
-
Jolani azidi kujikomba kwa Wazayuni, adai Syria, Israel zina maadui wa pamoja!
Jun 01, 2025 03:38Abu Mohammed al-Jolani, Mkuu wa utawala wa Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) unaoongoza nchini Syria ameliambia gazeti linalohudumia jumuiya ya Wayahudi huko Damascus kwamba, "ukweli ni kwamba, tuna maadui wa pamoja - na tunaweza kuwa na jukumu kubwa katika usalama wa kikanda."
-
Je, Hamas inasisitiza vipaumbele vipi kabla ya kukubali usitishaji mapigano?
Jun 01, 2025 02:34Jihad Taha, Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema: "Tumemuomba mpatanishi wa Marekani atoe dhamana nzito na za kimaandishi kwa ajili ya kusimamisha vita vya utawala wa Israel dhidi ya Gaza."
-
Kwa nini Marekani inafuatilia sana kupanua uhusiano na utawala wa Julani?
May 31, 2025 22:57Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuamuru kuondolewa vikwazo dhidi ya Syria, makazi ya balozi wa Marekani mjini Damascus sasa yamefunguliwa tena baada ya miaka 13.
-
Brigedi za Shahid Muhammad Deif zaanzishwa rasmi Palestina
May 31, 2025 22:54Brigedi za Shahid Muhammad Deif zimetangaza kuanzishwa rasmi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni sambamba na kutangaza utiifu wake kwa damu toharifu ya mashahidi iliyomwagwa kwenye njia takatifu ya Muqawama na ukombozi wa Palestina.