-
Upeo wa ukatili; Israel yaua Wapalestina zaidi ya 80 Gaza ndani ya saa 24
Jul 10, 2025 23:24Mashambulizi ya Israel katika maeneo mbali mbali huko Gaza yameua shahidi watu wasiopungua 82 tangu alfajiri ya jana, kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Gaza, wakati huu ambapo mazungumzo yanaendelea ya kusitisha mapigano hayo.
-
Ansarullah yaionya Israel: Haiyumkiniki kufungua bandari ya Eilat
Jul 10, 2025 17:19Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa, ni jambo lisilowezekana kufunguliwa tena kwa bandari ya Eilat (Umm al-Rashrash), akisisitiza msimamo thabiti wa Yemen wa kuendelea kutekeleza vikwazo vya baharini dhidi ya utawala ghasibu wa Israel katika Bahari Nyekundu, Ghuba ya Aden na Bahari ya Arabia.
-
Kwa nini shambulizi la kuvizia la Beit Hanoun ni kipigo kikubwa kwa Israel?
Jul 10, 2025 10:40Wanamapambano wa harakati ya Hamas wamefanya shambulizi la kuvizia la awamu nne huko Beit Hanoun na kuua wanajeshi watano wa Israel na kuwajeruhi wengine 14.
-
Yemen yautwanga tena kombora uwanja wa ndege wa Ben Gurion, Tel Aviv
Jul 10, 2025 10:10Vikosi vya Jeshi la Yemen vimeshambulia tena kwa kombora uwanja wa ndege wa Ben Gurion mjini Tel Aviv katika kuwaunga mkono Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza huku utawala wa kizayuni wa Israel ukiendeleza vita vya kinyama na mauaji ya kimbari dhidi ya eneo hilo uliloliwekea mzingiro.
-
Al-Qassam yamwangamiza askari wa Kizayuni baada ya kutofanikiwa kumkamata mateka
Jul 10, 2025 09:40Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS limetangaza kuwa limelazimika kumuangamiza mwanajeshi mmoja wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Khan Younis, kusini mwa Ukanda wa Ghaza baada ya mazingira kwenye medani ya mapambano kutoruhusu kumkamata mateka.
-
Kiongozi mkuu wa PKK, Abdullah Ocalan: Hatudai tena uhuru wa Kurdistan
Jul 10, 2025 09:15Abdullah Ocalan, Kiongozi aliyefungwa gerezani wa Chama cha Wafanyakazi wa Kurdistan (PKK) amewahutubia wafuasi wake kupitia ujumbe wa video kwa mara ya kwanza baada ya miongo kadhaa akiwaambia kwamba mapambano ya silaha dhidi ya Uturuki yamekwisha na kwamba sasa ni wakati wa kuhamia kwenye siasa za kidemokrasia.
-
HAMAS: Ghaza haitasalimu amri; Muqawama ndio utakaotoa masharti
Jul 10, 2025 04:05Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS Izzat al-Rishq amesema, Ghaza haitasalimu amri, na ni Muqawama ndio utakaotoa masharti, si utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Yemen yazamisha meli nyingine ikielekea Israel katika Bahari Nyekundu
Jul 09, 2025 14:38Yemen imeshambulia meli nyingine iliyokuwa inaelekea Israel, ili kuwaunga mkono Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
-
Ripoti: Riyadh inatathmini mazungumzo ya Syria, Israel kama utangulizi wa kuanzisha uhusiano na Tel Aviv
Jul 09, 2025 12:53Imedokezwa kuwa, Saudi Arabia inafuatilia mazungumzo yanayoongozwa na Marekani kati ya Israel na Syria kama hatua tarajiwa ya kufikia makubaliano ya baadaye ya kuanzisha uhusiano kati ya Riyadh na utawala wa Israel.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na Mrithi wa Ufalme wa Saudia, Bin Salman
Jul 09, 2025 11:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa ngazi ya juu wa Saudi Arabia ambapo mazungumzo hayo yalihusu masuala mbalimbali yakiwemo uimarishaji wa usalama na utulivu katika eneo la Asia ya Magharibi.