-
Jarida la Marekani, Foreign Affairs: Hamas itabakia hai
Oct 22, 2024 22:56Jarida la Marekani la "Foreign Affairs" limeandika katika ripoti yake kwamba, kuuawa shahidi Yahya al-Sinwar, sio tu kwamba hakutaiangamiza Hamas, bali Harakati hiyo ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina itaendelea kufanya kazi zake za mapambano ya ukombozi.
-
Makumi ya Wapalestina wauawa shahidi katika shambulio la kikatili la utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya Jabalia
Oct 22, 2024 04:36Jeshi la Kizayuni limeshambulia kwa makombora raia wanaoishi katika kambi ya Jabalia na kulenga nyumba moja kaskazini mwa Gaza na kuwaua Wapalestina 26, baadhi yao wakiwa ni watoto.
-
Hizbullah ya Lebanon yafanya shambulio kali katika kambi ya kijasusi ya kijeshi huko Tel Aviv
Oct 22, 2024 04:27Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imefanya shambulizi kali la makombora dhidi ya kambi ya kijasusi ya kijeshi ya utawala dhalimu wa Israel katika viunga vya mji wa Tel Aviv katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Jihadul Islami yakanusha madai ya kuuawa Ziyad al-Nakhalah
Oct 22, 2024 03:35Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imekadhibisha madai kwamba, Katibu Mkuu wa kundi hilo la Muqawama ameuawa katika shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel huko Damascus, mji mkuu wa Syria.
-
Kuwait yakanusha uvumi wa kuupelekea silaha utawala wa Kizayuni
Oct 21, 2024 23:52Makao Makuu ya jeshi la Kuwait yamekanusha uvumi kwamba yanahamisha silaha kutoka kambi za kijeshi ndani ya nchi hiyo na kuupelekea utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mtazamo wa Hamas wa kuendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni na ukombozi wa Palestina
Oct 21, 2024 22:55Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) na makundi mengine ya Muqawama ya Palestina yanaendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa shabaha ya kuikomboa Palestina.
-
Khalid Mash'al: Kuuawa shahidi Yahya al-Sinwar hakutasimamisha muqawama
Oct 21, 2024 22:54Khalid Mash'al, afisa mwandamizi na Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS nje ya Gaza amesema kuwa, kuuawa shahidi Yahya al-Sinwar, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo hakutasimamisha muqawama na mapambano ya Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa
Oct 21, 2024 22:53Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena msikiti mtakatifu wa wa Al-Aqsa kwa siku ya pili mtawalia na kufanya vitendo vya kichochezi dhidi ya kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.
-
Wanajeshi 15 wa Kizayuni wajeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya Hizbullah
Oct 21, 2024 07:54Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imeyashambulia kwa makombra maeneo mbalimbali ya utawala wa Kizayuni na kuwajeruhi wanajeshi 15 wa utawala huo.
-
Muqawama wa Iraq wafanya mashambulio ya ndege zisizo na rubani katika vituo vya Kijeshi vya utawala wa Kizayuni
Oct 21, 2024 04:15Katika taarifa, Muqawama wa Kiislamu wa Iraq umetangaza kufanya mashambulio ya ndege zisizo na rubani katika maeneo ya utawala wa Kizayuni katika milima ya Golan ya Syria inayokaliwa kwa mabavu na Israel.