-
UN: Uhuru wa maoni na kujieleza umekandamizwa vikali katika vita vya Israel dhidi ya Ghaza
Oct 19, 2024 23:14Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa kuchunguza haki ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza amesema, uhuru wa maoni na kujieleza umehatarishwa vibaya zaidi huko Ghaza kuliko ilivyotokea katika mzozo wowote ule wa hivi karibuni, huku waandishi wa habari wakilengwa katika eneo hilo lenye vita na waungaji mkono wa Palestina wakikandamizwa katika nchi nyingi duniani.
-
Hizbullah yazindua mtambo mpya wa makombora
Oct 19, 2024 23:13Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imezindua mtambo wake wa maroketi wa M80 maalumu kwa kurushia maroketi ya kushambulia adui kutoka ardhini hadi ardhini.
-
Wakili wa mgombea urais wa Msumbiji auawa kwa kupigwa risasi
Oct 19, 2024 09:37Bwana Elvino Dias, wakili wa mgombea wa uchaguzi wa rais uliopita nchini Msumbiji ameuawa leo asubuhi kwa kupigwa risasi akiwa pamoja na ajenti wa chama kimoja cha siasa nchini humo. Polisi wanasema sababu ya mauaji hayo bado haijajulikana.
-
Ndege ya kivita isiyo na rubani ya Hizbullah yalenga makazi ya Netanyahu + Video
Oct 19, 2024 08:07Ndege ya kivita isiyo na rubani ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelenga makazi ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu huko Caesarea, kaskazini mwa Tel Aviv, baada ya kikosi cha anga za utawala huo kushindwa kuitungua.
-
Kuuawa shahidi Yahya Sinwar; kufedheheka Wazayuni na kubakia hai jina la Sinwar
Oct 19, 2024 07:27Yayha Sinwar, Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameuawa shahidi na Wazayuni katika hali ambayo amepigana vita dhidi ya utawala huo hadi dakika ya mwisho ya uhai wake na hivyo kubakisha jina lake katika mioyo ya Wapalestina.
-
Vijana wa Iraq wachoma moto ofisi ya kituo cha MBC cha Saudi Arabia
Oct 19, 2024 04:17Vijana wa Iraq waliokuwa na hasira wamechoma moto ofisi ya MBC ya Saudi Arabia mjini Baghdad baada ya kituo hicho cha televisheni kuwatusi makamanda wa muqawama waliouawa shahidi kuwa ni magaidi.
-
Hamas yasema, harakati hiyo haiwezi kuangamizwa kwa 'kuuawa viongozi wake'
Oct 18, 2024 23:35Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema harakati hiyo inayopigania ukombozi wa Palestina kutoka kwenye makucha ya utawala ghasibu wa Israel haiwezi kuangamizwa kwa "kuuawa viongozi wake".
-
Jumuiya ya Shanghai na upinzani dhidi ya vikwazo vya upande mmoja
Oct 18, 2024 23:03Katika taarifa ya mwisho ya mkutano wa 23 huko Islamabad, mji mkuu wa Pakistan, viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai sambamba na kupinga vikwazo vya upande mmoja vya Magharibi dhidi ya nchi hizo, wamesema vikwazo hivyo vinaenda kinyume na sheria za kimataifa na kusisitiza kuwa kuwekwa vizuizi vya kibiashara kunavuruga maendeleo endelevu kimataifa.
-
Hamas yathibitisha kuwa kiongozi wake, Yahya Sinwar, ameuawa shahidi katika shambulio la Israel
Oct 18, 2024 09:31Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amethibitisha kuwa kiongozi wa harakati hiyo, Yahya Sinwar, ameuawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel katika mji wa Rafah huko Gaza.
-
Kushindwa mara mbili Israeli katika vita vya Lebanon
Oct 18, 2024 08:26Juhudi za jeshi la utawala wa Kizayuni za kujaribu kuingia katika ardhi ya Lebanon zimeshindwa na kuusababishia hasara na maafa makubwa, na kwa upande mwingine mashambulizi yake katika makazi ya raia na vituo vya vikosi vya UNIFIL nchini Lebanon yameongeza wigo wa jinai zake na hivyo kuibua hitilafu na migawanyiko kati ya waungaji mkono wake wa Magharibi.