Ripoti: Maelfu ya wasichana wa Burundi wapotezwa Saudi Arabia + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i49484-ripoti_maelfu_ya_wasichana_wa_burundi_wapotezwa_saudi_arabia_sauti
Kuna ripoti zinazosema kuwa wanawake na wasichana 4,500 raia wa Burundi wamepelekwa Saudi Arabia na Oman tangu mwaka 2015 katika kile kinachodaiwa na watetezi wa haki za binadamu kuwa ni biashara ya binadamu. Serikali ya Burundi imeitisha mkutano maalumu kujadili suala hilo. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura...
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Nov 13, 2018 05:53 UTC

Kuna ripoti zinazosema kuwa wanawake na wasichana 4,500 raia wa Burundi wamepelekwa Saudi Arabia na Oman tangu mwaka 2015 katika kile kinachodaiwa na watetezi wa haki za binadamu kuwa ni biashara ya binadamu. Serikali ya Burundi imeitisha mkutano maalumu kujadili suala hilo. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura...