-
Takwa la Al-Azhar la kususiwa bidhaa za utawala wa Kizayuni
Sep 03, 2024 05:17Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha Misri kimelaani jinai zinazofanywa na Wazayuni dhidi ya wananchi wa Palestina na kutoa wito kwa Waislamu kususia bidhaa zinazotengenezwa na utawala wa Kizayuni.
-
Mgogoro wa kisiasa nchini Ufaransa na hali ngumu inayomkabili Macron
Sep 02, 2024 22:52Mamia ya watu wa Ufaransa wameandamana katika mitaa ya Paris na kukusanyika katika uwanja wa Danfer-Rochereau, wakipiga nara dhidi ya Rais Emmanuel Macron na kumtaka ajiuzulu mora moja.
-
Pezeshkian afafanua mipango ya serikali yake katika mazungumzo na wananchi
Sep 02, 2024 09:02Katika mazungumzo yake ya kwanza ya televisheni na wanachi, Rais Masoud Pezeshkian amefafanua mipango ya serikali yake katika nyanja za ndani na nje ya nchi, na kusema kuwa vipaumbele vya serikali ya 14 ni kuwaridhisha wananchi, kuzingatia masuala ya kiuchumi na kuimarisha uhusiano na nchi mbalimbali.
-
Netanyahu katika kinamasi cha mivutano na mizozo ya ndani
Sep 01, 2024 23:35Hali ya wasiwasi na mgogoro wa ndani ya Tel Aviv vimezidi kupamba moto kutokana na ongezeko la maandamano katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel) na kuongezeka hitilafu kati ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu, na wapinzani wake.
-
Silaha za Magharibi huko Ukraine zinavuruga usalama barani Afrika
Sep 01, 2024 03:35Mwakilishi wa Kudumu wa Mali katika Umoja wa Mataifa, Issa Konfourou, ametangaza kwamba silaha nyingi za nchi za Magharibi ambazo hutolewa kwa Ukraine zinapelekwa katika eneo la Sahel barani Afrika na kuchochea uhalifu na ugaidi.
-
Kushindwa utawala wa Kizayuni kukabiliana na makundi ya muqawama ya Palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Aug 31, 2024 22:51Jeshi la utawala wa Kizayuni limeshindwa kukabiliana na makundi ya muqawama ya Palestina wakati huu ambapo Israel inaendeleza vita na hujuma zake huko Gaza na katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Uingereza inataka kuboresha uhusiano wake na Umoja wa Ulaya
Aug 31, 2024 08:26Keir Starmer Waziri Mkuu wa Uingereza amefanya safari katika miji ya Berlin na Paris kwa lengo la kuboresha uhusiano na Umoja wa Ulaya.
-
Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kuungana ikwa ajili kukabiliana na mauaji ya kimbari huko Gaza
Aug 31, 2024 04:30Mjumbe wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ametoa wito wa kuwepo umoja miongoni mwa nchi za Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na jinai na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Jinamizi kwa Wazayuni katika medani ya vita ya kaskazini mwa Palestina
Aug 31, 2024 00:46Ingawa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni alikusudia kupanua wigo wa vita vya utawala huo kusini mwa Lebanon ili kudhamini maslahi yake binafsi, lakini nguvu ya Hizbullah ya kuzuia mashambulizi na hasa kufanikiwa operesheni yake ya karibuni ya Arbaeen, ambayo imelenga vituo 11 vya kijeshi na kijasusi vya utawala wa Kizayuni, imempelekea kutafakari upya na kuhamishia uchokozi wake katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kwa sasa.
-
Wito wa Umoja wa Mataifa wa kusimamishwa operesheni za kijeshi za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Aug 30, 2024 09:07Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawaa ghasibu wa Israel kusitisha mara moja operesheni zake za kijeshi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.