-
Umuhimu wa safari za kampeni za wagombea wa uchaguzi wa rais wa Iran
Jun 24, 2024 03:19Siku ya Jumamosi, mikutano ya kampeni za uchaguzi za wagombea wa muhula wa 14 wa uchaguzi wa rais wa Iran ilifanyika katika miji tofauti humu nchini na kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wananchi.
-
Kushadidi mivutano ya kijeshi baina ya Russia na Marekani
Jun 23, 2024 23:59Mvutano wa kijeshi na kiusalama kati ya Russia na Marekani umeongezeka kutokana na hatua za kiuhasama za Washington dhidi ya Moscow, hasa baada ya Washington kuiruhusu Ukraine kushambulia ardhi ya Russia kwa kutumia silaha za Marekani.
-
Matarajio ya kimkakati ya Kiongozi Muadhamu kwa Vyombo vya Mahakama nchini
Jun 23, 2024 08:05Akizungumza jana Jumamosi katika hadhara ya viongozi wa Vyombo vya Mahakama nchini, Ayatullah Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza matarajio yake kutoka kwa muhimili huo wa dola.
-
Sababu na matokeo ya kufunguliwa ofisi ya kisiasa ya Hamas nchini Iraq
Jun 22, 2024 23:14Ofisi ya masuala ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas hivi karibuni imefunguliwa kwa njia isiyo rasmi huko Baghdad na imepangwa kufunguliwa rasmi katika siku chache zijazo.
-
Masuala ya kiutamaduni na wanawake; ajenda kuu ya mdahalo wa wagombea wa uchaguzi wa rais wa Iran
Jun 22, 2024 07:24Mdahalo wa tatu wa kisiasa kwa njia ya televisheni wa wagombea wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umefanyika huku wagombea wakibainisha mipango yao ya sera za serikali kuhusu wanawake na uzalishaji wa kiutamaduni nchini.
-
Jibu la Iran kwa shutuma zisizo na msingi za Marekani kuhusu Yemen
Jun 21, 2024 22:56Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amezitaja tuhuma za Marekani dhidi ya Iran kuhusu Yemen kuwa, hazina msingi wowote na kusema kwamba, Jamhuri ya Kiislamu daima imekuwa ikitilia mkazo utatuzi wa amani wa mgogoro wa Yemen kupitia njia za kidiplomasia.
-
Radiamali ya Iran kwa hatua ya kihasama ya Canada dhidi ya SEPAH
Jun 21, 2024 07:24Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani vikali hatua ya kihasama na kiuadui ya serikali ya Canada dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH).
-
Umoja wa Mataifa watoa onyo kali kuhusu kuongezeka majanga katika Ukanda wa Gaza
Jun 20, 2024 22:44Francesca Albanese, Ripota wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina, amesema katika taarifa kwamba hali ya maafa huko Ukanda wa Gaza imezidi kuwa mbaya. Kwa kauli yake, utawala haramu wa Israel unalenga misafara ya misaada ya kibinadamu inayotumwa Gaza na kuzuia ufikaji wa misaada katika ukanda huo.
-
Wasiwasi unaozidi kuongezeka wa Biden kuhusu chokochoko za Netanyahu kusini mwa Lebanon
Jun 20, 2024 04:53Amos Hochstein, mjumbe wa Biden, amelitembelea tena eneo la Asia Magharibi ikiwa ni katika juhudi zake za kutuliza hali ya mambo katika eneo la kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Wasiwasi wa nchi za Magharibi kuhusu safari ya Rais Vladimir Putin nchini Korea Kaskazini
Jun 19, 2024 23:20Katika mkesha wa safari yake nchini Korea Kaskazini, Rais Vladimir Putin wa Russia aliandika katika makala kwamba nchi mbili hizo zinaelekea kwenye ushirikiano wa karibu na umoja licha ya kuwepo mashinikizo ya nchi za Magharibi.