Uchambuzi
  • Kusambaratika kwa Baraza la Mawaziri la Vita la Kizayuni

    Kusambaratika kwa Baraza la Mawaziri la Vita la Kizayuni

    Jun 18, 2024 03:39

    Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amevunja Baraza la Mawaziri la Vita la utawala huo.

  • Oxfam yaikosoa serikali ya London kwa kuendelea kutuma silaha Israel

    Oxfam yaikosoa serikali ya London kwa kuendelea kutuma silaha Israel

    Jun 18, 2024 02:10

    Shirika la kimataifa la misaada la Oxfam limelaani siasa za serikali ya Uingereza za kuuzia silaha utawala haramu wa Israel, ilihali inajua fika kwamba silaha hizo zinatumika katika kuwaua maelfu ya watoto wasio na hatia wa Kipalestina huko Ghaza.

  • Ombi la Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa la utawala wa Israel kuwekewa vikwazo vya kisiasa na kiuchumi

    Ombi la Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa la utawala wa Israel kuwekewa vikwazo vya kisiasa na kiuchumi

    Jun 17, 2024 04:37

    Akiashiria kwamba njaa ya hivi sasa huko Gaza ni moja ya njaa kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya mwanadamu amesema Israeli ilianzisha kampeni kubwa mnamo Oktoba mwaka uliopita kwa ajili ya kuwaweka njaa watu wa Palestina ambapo wengi wao hasa watoto wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na baa hilo la njaa ya kulazimishwa. Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki ya Chakula amesema wataalamu huru wa kimataifa wanayachukulia matukio ya sasa huko Gaza kuwa ni mauaji ya halaiki, n

  • Saudi Arabia inatishia na kuchochea chuki dhidi ya mahujaji wanaotetea Palestina

    Saudi Arabia inatishia na kuchochea chuki dhidi ya mahujaji wanaotetea Palestina

    Jun 16, 2024 22:57

    Katika msimu huu wa ibada tukufu ya Hija, watawala wa Saudi Arabia wamejaribu kutisha, kuchochea chuki na kuwachafulia jina mahujaji wanaoonyesha mshikamano na watu wa Palestina huku kukiwa na malalamiko ya kimataifa kuhusu vita vya kikatili vinavyoendeshwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya watu Ukanda wa Gaza.

  • Je, utawala wa Israel utaangukia kwenye mtego wa Hizbullah ya Lebanon au la?

    Je, utawala wa Israel utaangukia kwenye mtego wa Hizbullah ya Lebanon au la?

    Jun 16, 2024 03:56

    Kufuatia kuongezeka minong'ono ya vyombo vya habari na kisiasa kuhusu uwezekano wa jeshi la utawala haramu wa Israel kuanzisha mashambulizi ya pande zote kusini mwa Lebanon, uvumi umeenea kuwa Hizbullah imejiandaa vilivyo kutoa pigo kali la kulipiza kisasi dhidi ya utawala huo wa kigaidi iwapo utafanya mashambilizi hayo.

  • Jibu erevu la Hamas kwa mpango wa Biden na kutupwa mpira kwenye uwanja wa Netanyahu

    Jibu erevu la Hamas kwa mpango wa Biden na kutupwa mpira kwenye uwanja wa Netanyahu

    Jun 14, 2024 03:20

    Ismail Haniyeh, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas, na Ziad al-Nakhaleh, katibu mkuu wa harakati ya Jihad Islami, wameongoza makundi mawili hayo ya mapambano ya ukombozi wa Palestina, katika kujibu mpango wa kusitisha mapigano na kubadilishana mateka katika kikao na Waziri Mkuu wa Qatar na vile vile wakatuma jibu hilo kwa viongozi wa Misri.

  • Uhusiano wa Iran na Qatar unaendelea kuimarika katika nyanja zote

    Uhusiano wa Iran na Qatar unaendelea kuimarika katika nyanja zote

    Jun 13, 2024 22:43

    Safari ya Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Qatar na kukutana kwake na Amir wa nchi hiyo kumefanyika katika mazingira ya kirafiki jambo linaloonyesha kuwa uhusiano wa Doha na Tehran unazidi kukua na kuimarika katika nyanja zote.

  • Mashambulio makubwa zaidi ya kulipiza kisasi ya Hizbullah dhidi ya Israel

    Mashambulio makubwa zaidi ya kulipiza kisasi ya Hizbullah dhidi ya Israel

    Jun 13, 2024 03:50

    Shambulio kubwa zaidi kuwahi kufanywa na Hizbullah ya Lebanon tangu tarehe 7 Oktoba iliyopita hadi sasa limepelekea kengele ya hatari kupigwa katika vitongoji zaidi ya 60 vya walowezi wa Kizayuni kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).

  • Yaliyoifanya Marekani ipendekeze katika Baraza la Usalama la UN azimio la kusitishwa vita Ghaza

    Yaliyoifanya Marekani ipendekeze katika Baraza la Usalama la UN azimio la kusitishwa vita Ghaza

    Jun 12, 2024 22:40

    Marekani ambayo huko nyuma ilionyesha waziwazi kuwa ndiye muungaji mkono mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuyapigia kura ya turufu mara kadhaa maazimio tofauti ya Umoja wa Mataifa ya kusitisha vita katika Ukanda wa Ghaza, hatimaye siku ya Jumatatu Juni 10 iliwasilisha azimio jipya la usitishaji vita ambalo lilipitishwa na Baraza la Usalama kwa kura 14 kati ya 15 zilizounga mkono, ukiondoa Russia tu iliyoamua kutopiga kura.