-
Kuthibitishwa ukweli wa utawala wa Kizayuni kutoweza kujilinda; matokeo muhimu ya vita vya Gaza
May 09, 2024 03:35Wachambuzi wa masuala ya uhusiano wa kimataifa wanaamini kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel hauwezi kujilinda bila ya msaada wa Marekani, na udhaifu wake katika uwanja huo umefichuka na kuanikwa peupe.
-
Mashambulizi ya Israel dhidi ya Rafah: Sababu na matokeo yake
May 08, 2024 22:54Katika hali ambayo Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kukubaliana na mpango wa usitishaji vita wa Misri na Qatar, utawala wa Kizayuni wa Israel umezidisha mashambulizi makali dhidi ya mji wa Rafah huko Ukanda wa Gaza.
-
Kujiweka tayari Wayemen kwa ajili ya kuuzingira utawala wa Kizayuni baharini
May 08, 2024 04:43Tovuti ya habari ya Ansarullah ya Yemen imeripoti kuwa, jeshi la nchi hiyo limeanza kuratibu operesheni ya pili ya awamu ya nne ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni sambamba na kuanza mashambulizi ya utawala ghasibu wa Kizayuni katika mji wa Rafah.
-
Hija ya kujibari na mushrikina
May 07, 2024 22:52Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangazwa kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake wa nchi za Marekani, Uingereza na Wamagharibi kwa ujumla.
-
Safari ya Grossi nchini Iran na kuwekwa wazi maendeleo ya amani ya nishati ya nyuklia ya Iran
May 07, 2024 04:47Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA aliwasili mjini Tehran Jumatatu akiongoza ujumbe alioandamana nao kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa kimataifa wa nyuklia na vilevile kufanya mazungumzo na viongozi wakuu wa nyuklia na kisiasa wa nchini.
-
Utayari wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran wa kuendesha duru ya pili ya Uchaguzi wa Bunge
May 06, 2024 22:44Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran ametangaza utayarifu wa wizara hiyo wa kuendesha duru ya pili ya uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) siku ya Ijumaa ya tarehe 10 Mei.
-
Kambi ya Muqawama, ngao kuu ya kuzuia hujuma za utawala wa Kizayuni katika eneo
May 06, 2024 03:58Vikosi vya mapambano na Muqawama vya Bahrain vimefanikiwa kuvilenga vituo muhimu sana vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel; na kwa kuungana na makundi mengine ya kambi ya Muqawama, kuwa sehemu ya ngao kuu ya kuzuia hujuma na uchokozi wa utawala huo ghasibu katika eneo.
-
Kuanza awamu ya nne ya operesheni ya jeshi la Yemen dhidi ya meli zinazokwenda Israel
May 05, 2024 23:04Sambamba na maandamano ya wananchi wa Yemen katika miji tofauti ya nchi hiyo ya kuwaunga mkono watu wa Gaza, msemaji wa jeshi la Yemen ametangaza habari ya kuanza awamu ya nne ya operesheni za nchi hiyo kwa ajili ya kuwatetea wananchi wa Palestina na kusisitiza kuwa: Wigo wa mashambulizi ya Yemen yutapanuka kuanzia Bahari ya Mediterania hadi sehemu yoyote ambayo nchi hii inaweza kuzifikia meli zinazoelekea Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Safari ya Abdollahian Gambia kushiriki mkutano wa OIC wa kujadili changamoto za Waislamu hasa Palestina
May 05, 2024 03:26Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yupo Banjul, mji mkuu wa Gambia kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 15 wa Wakuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC.
-
Sisitizo la Iran kuhusu Palestina kupewa uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa
May 04, 2024 23:37Amir Saeid Iravani, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza umuhimu wa Palestina kuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa.