Uchambuzi
  • Kuongezeka ukatili dhidi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Marekani wanaounga mkono Palestina

    Kuongezeka ukatili dhidi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Marekani wanaounga mkono Palestina

    May 03, 2024 07:14

    Huku maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya Marekani yakiendelea kufanyika kwa lengo la kupinga jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza na vilevile kwa ajili ya kuwaunga mkono Wapalestina, polisi wa nchi hiyo wameongeza hatua zao za ukandamizaji dhidi ya wanafunzi hao.

  • Kukatwa kikamilifu uhusiano wa Colombia na utawala wa Kizayuni; kuendelea kutengwa Tel Aviv kimataifa

    Kukatwa kikamilifu uhusiano wa Colombia na utawala wa Kizayuni; kuendelea kutengwa Tel Aviv kimataifa

    May 02, 2024 23:13

    Rais Gustavo Petro wa Colombia alisema siku ya Jumatano tarehe Mosi Mei katika hotuba yake kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kuwa kuanzia Alhamisi amekata kikamilifu uhusiano wa nchi hiyo na utawala wa Kizayuni kwa sababu ya jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo huko Ukanda wa Gaza.

  • Maoni ya Kiongozi Muadhamu: Gaza ndilo suala la kwanza kwa Ulimwengu

    Maoni ya Kiongozi Muadhamu: Gaza ndilo suala la kwanza kwa Ulimwengu

    May 02, 2024 07:44

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Gaza ndilo suala la kwanza kwa mfumo wa Ulimwengu.

  • Jitihada za China za kuleta maridhiano ya kitaifa Palestina

    Jitihada za China za kuleta maridhiano ya kitaifa Palestina

    May 01, 2024 23:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ametangaza kuwa kufuatia mkutano wa wawakilishi wa harakati za Palestina za Hamas na Fat'h mjini Beijing, pande mbili zimefikia makubaliano ya kujadili maridhiano ya kitaifa huko Palestina.

  • Congress ya Marekani inatumika kama ngao ya kumlinda Netanyahu

    Congress ya Marekani inatumika kama ngao ya kumlinda Netanyahu

    May 01, 2024 08:10

    Katika hali ambayo Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni lina wasiwasi mkubwa kuhusiana na uwezekano wa kutolewa waranti wa kukamatwa Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu na maafisa wengine wa utawala wa Kizayuni, tovuti ya habari ya Axios imeripoti kwamba wajumbe wa Congress wameionya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC na kuitaka isitoe vibali vya kutiwa nguvuni maafisa wa utawala wa Israel.

  • Kukaribia muda wa kutolewa hukumu ya mahakama mbili za kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Kukaribia muda wa kutolewa hukumu ya mahakama mbili za kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Apr 30, 2024 22:53

    Sambamba na kuongezeka uwezekano wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ kutoa hukumu ya kukamatwa maafisa kadhaa wa utawala wa Kizayuni kwa tuhuma za kufanya jinai za kivita huko Gaza, gazeti la Times lilimeandika kuwa, kuna uwezekano pia kwamba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC inajiandaa kutoa hati ya kukamatwa Netanyahu na maafisa wengine wa ngazi za juu wa Israel akiwemo Waziri wa Vita, Mkuu wa Majeshi na baadhi ya maafisa wa usalama wa utawala huo kwa kuhusika na vita hivyo.

  • Ghuba ya Uajemi ni nyumba yetu

    Ghuba ya Uajemi ni nyumba yetu

    Apr 30, 2024 07:30

    Jumatatu ya jana tarehe 10 Ordibehesht, 1403 Hijria, sawa na Aprili 29, 2024 ilisadifiana na kumbukumbu ya kutimuliwa wakoloni wa Kireno katika maji ya kusini mwa Iran mwaka 1622 Miladia.

  • Kuharibiwa Gaza; Jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya kizazi cha sasa na kijacho

    Kuharibiwa Gaza; Jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya kizazi cha sasa na kijacho

    Apr 29, 2024 23:14

    Mwezi wa saba wa vita unamalizika tangu utawala wa Kizayuni uanzishe vita na mauaji ya kimbari dhidi ya Ukanda wa Gaza, huku mashambulizi ya kila siku ya utawala huo yakisababisha maafa na uharibifu mkubwa wa miundombinu ya mji na afya katika ukanda huo.

  • Kuongezeka mauzo ya nje ya bidhaa zisizokuwa za mafuta za Iran

    Kuongezeka mauzo ya nje ya bidhaa zisizokuwa za mafuta za Iran

    Apr 29, 2024 03:13

    Maonesho ya 6 ya uwezo wa kuuza nje bidhaa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yalianza Jumamosi hapa mjini Tehran kwa hotuba ya Rais Ebrahim Raisi.