-
Kwa nini jamii ya kimataifa imeshindwa kuzuia mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
Apr 08, 2024 01:05Kutokuwa na uwezo jamii ya kimataifa wa kusimamisha mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza kumekosolewa vikali kimataifa.
-
Kuongezeka mashinikizo dhidi ya serikali ya Biden kwa ajili ya kupungaza uungaji mkono wake kwa utawala wa Kizayuni
Apr 07, 2024 03:37Kuendelea vita vya Ghaza na jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wasiokuwa na hatia wa eneo hilo na hasa mauaji ya kimbari na utumiaji njaa kama silaha, kumezidisha mashinikizo ya ndani kwa serikali ya Biden ya kumtaka apunguze uungaji mkono wake kwa Tel Aviv, na wakati huo huo, kuongeza pia tofauti kati ya Ikulu ya White House na Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni.
-
Kiwewe cha Wazayuni wakisubiri jibu la kijeshi la Iran kutokana na jinai zao
Apr 06, 2024 22:56Utawala wa Kizayuni umesema una wasiwasi na jibu liltakalotolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia jinai za karibuni iliyofanywa na utawala huo ya kuishambulia sehemu ya jengo la ubalozi dogo wa Iran huko Syria. Kwa kuhofia jibu la kijeshi la Iran, utawala wa Kizayuni umetoa amri ya kufungwa balozi zake katika maeneo mbalimbali duniani.
-
Siku ya Quds ya aina yake; Kimbunga cha al Ahrar dhidi ya utawala dhalimu wa Kizayuni
Apr 06, 2024 05:51Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu yamekuwa tofauti sana ikilinganishwa na miaka iliyopita; ambapo wananchi katika nchi mbalimbali duniani wameshiriki kwa wingi katika maadhimisho hayo ikiwemo hapa nchini Iran.
-
Mtazamo wa wachambuzi wa mambo kuhusu mashambulio ya kigaidi kusini mashariki mwa Iran
Apr 06, 2024 03:39Mkoa wa Sistan na Baluchistan wa kusini mashariki mwa Iran, kwa mara nyingine tena umekumbwa na mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa na genge linaloungwa mkono na utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.
-
Shambulizi dhidi ya watoa misaada wa kimataifa, uthibitisho wa Israel kutumia njaa kama silaha chafu
Apr 06, 2024 00:52Jeshi katili na la kigaidi la utawala wa Kizayuni limeendeleza jinai zake kwa kutumia silaha chafu ya kuwatesa kwa njaa watu wa Ghaza kupitia kushambulia hata wafanyakazi wa taasisi na mashirika maarufu ya kibinadamu duniani.
-
Siku ya Quds; ubunifu wa kimataifa na mojawapo ya mifano ya kihistoria ya uungaji mkono wa Iran kwa Palestina
Apr 04, 2024 22:47Siku ya Kimataifa ya Quds ni ubunifu wa kwanza ulioonyeshwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa siasa za nje mara tu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Siku ya Quds na kufichuka sura halisi ya utawala wa mauaji ya kimbari wa Israel
Apr 04, 2024 04:51Siku ya Quds mwaka huu 2024 imewadia huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiwa umekwama kwenye kinamasi cha Gaza licha ya mauaji ya kimbari unayoendelea kufanya katika eneo hilo la Palestina.
-
Kufungwa kituo cha televisheni cha Al Jazeera Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)
Apr 04, 2024 01:15Radimali ya jinai za Israel dhidi ya watu wa Gaza katika vyombo vya habari vya dunia na wimbi la upinzani na lawama za kimataifa kuhusu jinai hizo zimeufanya utawala wa Kizayuni kufunga mara moja kituo cha Televisheni ya Al-Jazeera katika Ukanda wa Gaza kutokana na jinsi inavyoakisi habari za mauaji ya kimbari ya utawala huo katika vita hivyo.
-
Baraza la Usalama UN lalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran, Damascus
Apr 03, 2024 07:19Wawakilishi waliohudhuria kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran huko Damascus (mji mkuu wa Syria) wamelaani kitendo hicho cha kinyama cha Wazayuni.