-
Kudumishwa ustawi katika sekta ya ulinzi ya Iran
Aug 05, 2023 22:57Mifumo na zana mpya za kistratijia za Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC katika nyanya za makombora, ndege zisizo na rubani na vita vya kielektroniki zimezinduliwa.
-
Mgogoro wa Mapinduzi ya Kijeshi nchini Niger
Aug 05, 2023 04:53Mgogoro wa kisiasa uliosababishwa na mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini Niger umeendelea kutawala habari za eneo la Magharibi mwa Afrika.
-
Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa
Aug 05, 2023 00:26Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil ametaka kupigwa teke na kuwekwa pembeni matumizi ya sarafu ya dola katika biashara za kimataifa na kutafutwa sarafu nyingine za kuziba nafasi ya sarafu hiyo ya Marekani.
-
Umuhimu wa Mazoezi ya Jeshi la Majini la SEPAH katika visiwa vitatu vya Iran
Aug 04, 2023 08:37Mazoezi ya Kijeshi ya kuonesha nguvu za kiulinzi za Kikosi cha Majini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) yalifanyika Jumatano wiki hii kwa kushirikiana na Kikosi cha Anga cha jeshi hilo katika visiwa vitatu vya Iran vya Bu Musa, Tomb Kubwa na Tomb Ndogo vya kusini mwa Iran.
-
Kuendelea mashambulio ya kijeshi ya Uturuki dhidi ya Syria na Iraq
Aug 03, 2023 23:02Licha ya kufanyika mazungumzo ya amani kati ya Ankara na Damascus, mashambulizi ya kijeshi ya Uturuki dhidi ya Syria na Iraq yangali ni ajenda inayofanyiwa kazi na serikali ya Ankara.
-
Utulivu tete katika kambi ya Ain Al-Hilweh kufuatia matamshi ya Sayyid Hassan Nasrullah
Aug 03, 2023 07:38Utulivu wa kiwango fulani umerejea katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Ain Al-Hilweh nchini Lebanon kufuatia matamshi ya Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrallah, ya kusisitizia ulazima wa kusitishwa mapigano katika kambi hiyo.
-
Malengo mawili ya ziara ya Mahmoud Abbas nchini Misri
Aug 02, 2023 22:57Mahmoud Abbas, mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA), ambaye alisafiri kwenda Misri kushiriki katika kikao cha makatibu wakuu wa makundi ya Palestina, alikutana na Rais Abdel Fattae el Sisi wa nchi hiyo na pia mkuu wa idara ya kijasusi wa nchi hiyo.
-
Kuendelea kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya
Aug 01, 2023 22:48Vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu vinaendelea kushuhudiwa barani Ulaya chini ya kivuli cha uhuru wa kusema au wa kutoa maoni.
-
Uingiliaji wa kigeni katika mapinduzi ya Niger
Aug 01, 2023 11:36Baada ya kupita takribani wiki moja tangu kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini Niger, mgogoro wa kisiasa umeenea katika nchi hiyo na nchi na taasisi za kieneo na kimataifa zimechukua misimamo tofauti katika uwanja huu.
-
Wanafiki wa MKO kufikishwa katika Mahakama ya Jinai ya Tehran
Aug 01, 2023 01:04Mahakama Kuu ya Jinai ya Mkoa wa Tehran inatazamiwa kuanza kusikiliza kesi za wanachama watoro zaidi ya 100 wa kundi la kigaidi la Munafikin (MKO) ambalo limefanya mauaji ya makumi ya maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu.