-
Kukosoa Mbunge wa Kiislamu kuhusu kuenea chuki dhidi ya Uislamu katika Kongresi ya Marekani
Jan 31, 2023 22:55Ilhan Omar, Mbunge Mwislamu wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani anayewakilisha jimbo la Minnesota amesema kuwa, baadhi ya wajumbe wa chama cha Republican hawataki kuona kunakuweko na Wabunge Waislamu katika Kongresi ya nchi hiyo.
-
Ubunifu wa Iran kwa ajili ya mshikamano, amani na ustawi wa kudumu katika ulimwengu wa Kiislamu
Jan 31, 2023 06:32Muhammad Baqir Qalibaf, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Jumatatu ya jana tarehe 30 Januari alisema katika mkutano wa 17 wa Muungano wa Mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) uliofanyika nchini Algeria kwamba, ulimwengu wa Kiislamu haujawa na mchango na nafasi inayotakiwa ikilinganishwa na suhula ulizonazo.
-
Indhari ya UN kuhusu baa la njaa ambalo halijawahi kushuhudiwa lililoikumba Syria
Jan 30, 2023 22:50Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa, njaa nchini Syria imefikia kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.
-
Shambulio 'butu' lililogonga mwamba dhidi ya kituo cha kijeshi cha Esfahan
Jan 30, 2023 04:53Wizara ya Ulinzi ya Iran ilitangaza usiku wa kuamkia jana Jumapili kuwa, jengo moja la karakana za Wizara ya Ulinzi mjini Esfahan lililengwa na shambulio lililofeli la ndege tatu ndogo zisizo na rubani aina ya Micro Air Vehicle (MAV), ambapo moja ya droni hizo ilitunguliwa, nyingine ilinaswa kwenye mtego wa mitambo ya ulinzi wa anga na droni tatu iliangukia kwenye paa la karakana hiyo na kuripuka.
-
Pigo kali la Wapalestina kwa baraza lenye misimamo mikali la Israel
Jan 29, 2023 23:16Siku moja tu baada ya kutekelezwa jinai ya Wazayuni dhidi ya Wapalestina huko Jenin, kijana mmoja wa Kipalestina ametekeleza oparesheni ya kishujaa katika mji mtakatifu wa Quds inayokaliwa kwa mabavu na kusababisha vifo vya Wazayuni 10.
-
Mauaji ya kikatili ya raia mwingine mweusi; ukatili usio na mwisho wa polisi wa Marekani
Jan 29, 2023 04:48Siku ya Ijumaa na baada ya kuchapishwa picha za kutisha za kupigwa kinyama Tyre Nichols, Mmarekani mweusi mwenye umri wa miaka 29 na polisi huko Memphis, katika jimbo la Tennessee, wimbi jipya la maandamano limeanza nchini humo na hasa katika miji ya Memphis, Boston, Chicago, Detroit, New York City, Portland, Oregon na Washington dhidi ya ukatili unaofanywa na polisi dhidi ya watu weusi.
-
Kuendelea ukandamizaji wa Aal Khalifa dhidi ya wafungwa wa kisiasa katika kukaribia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi
Jan 28, 2023 23:05Katika kukaribia maadhimisho ya kutimia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi wa Bahrain, utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain unawazuia wafungwa wa kisiasa nchini humo kuwasiliana na kuoana na familia zao katika fremu ya sera zake za ukandamizaji na kuwawekea mbinyo na vizingiti mbalimbali wafungwa wa kisiasa na wapinzani nchini humo.
-
Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika
Jan 28, 2023 08:50Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Jumatatu tarehe 23 mwezi huu alianza safari ya kiduru kwa kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika na hadi sasa amefanya safari huko Afrika Kusini, Eswatini, Angola na Eritrea.
-
Jibu la Iran kwa vikwazo vya Umoja wa Ulaya
Jan 27, 2023 23:02Katika kukabiliana na vikwazo vya hivi karibuni vya Umoja wa Ulaya, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imechapisha orodha mpya ya shakhsia na taasisi za Ulaya ambazo zimewekewa vikwazo na serikali ya Tehran.
-
Siku ya umwagaji damu katika kambi ya Jenin; kilele cha misimamo mikali ya baraza la mawaziri la Netanyahu
Jan 27, 2023 03:29Ikiwa ni katika kuendeleza ugaidi na jinai dhidi ya Wapalestina wasio na hatia, Alkhamisi asubuhi, baraza la mawaziri lenye misimamo mikali ya kupindukia mipaka la utawala wa Kizayuni lilitekeleza jinai nyingine ya kutisha dhidi ya Wapalestina wanaoishi katika kambi ya wakimbizi huko Jenin.