-
Ukomo wa uwepo wa wanajeshi wa Ufaransa nchini Mali
Aug 16, 2022 07:43Sambamba na kuendelea mvutano kati ya Ufaransa na Mali, hatimaye Paris imetangaza ukomo wa uwepo wa wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Juhudi za kuiondoa Sudan kwenye mkwamo wa kisiasa
Aug 15, 2022 23:38Juhudi za kutatua mzozo wa kisiasa nchini Sudan zinaendelea. Kuhusiana na hilo, Abd al-Fattah Al-Burhan, mtawala wa kijeshi wa Sudan, ametoa wito wa "kufikiwa makubaliano ya kitaifa" ili kuondokana na mgogoro wa sasa wa kisiasa nchini humo.
-
Balozi mpya wa Kuwait aaanza kufanya kazi nchini Iran baada ya miaka 7
Aug 15, 2022 05:47Badr Abdullah Al-Manikh, balozi mpya wa Kuwait katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Jumamosi, mwanzoni mwa kazi yake, alikutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir Abdullahian, na kumkabidhi nakala ya vitambulisho vyake.
-
Kukiri Mkuu wa Sera za Nje wa EU kwamba Magharibi imeonyesha undumakuwili katika kadhia za Ukraine na Gaza
Aug 14, 2022 21:52Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amekiri kuwa nchi za Magharibi zinatumia vipimo vya nyuso mbili na za undumilakuwili kuhusiana na masuala ya kimataifa.
-
Onyo la Russia kuhusu uwezekano wa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Marekani
Aug 14, 2022 04:14Kutokana na Marekani kuendeleza sera za uhasama dhidi ya Russia na vitisho ilivyotoa vya kuitangaza Russia nchi inayofadhili na kuunga mkono ugaidi, Moscow imeonya kuwa, kuchukuliwa uamuzi huo kutaufikisha uhusiano wa pande mbili kwenye nukta isiyorudishika nyuma na kuna uwezekano hata wa kuvunjika uhusiano wa kidiplomasia baina ya Russia na Marekani.
-
Nyayo za mafia Waisraeli katika madai ya Wizara ya Sheria ya Marekani dhidi ya IRGC
Aug 13, 2022 21:57Wizara ya Sheria ya Marekani imechapisha taarifa inayodai kuwa mtu mmoja kwa jina Shahram Poursafi, ambaye wizara hiyo ilimtaja kuwa mwanachama wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), alipanga kumtumia Mmarekani mmoja kumuua John Bolton na afisa mwingine wa utawala wa Donald Trump.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu kuinuliwa hadhi ya Harakati ya Jihad Islami
Aug 13, 2022 04:06Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu barua ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusema, "mapambano (muqawama) ya kishujaa ya Jihad Islami yatapelekea kupanda hadhi ya harakati hiyo katika mapambano sambamba na kusambaratisha hadaa za utawala wa Kizayuni na kuufedhehesha utawala huo."
-
Mapigano kati ya mamluki wa Saudia na UAE kusini mwa Yemen; kuendelea mzozo wa kijiografia na kisiasa
Aug 12, 2022 21:00Wanamgambo wenye mfungamano na Umoja wa Falme za Kiarabu na Saudi Arabia wamepigana tena katika maeneo ya kusini mwa Yemen, hali ambayo imesababisha vifo na majeruhi kadhaa.
-
Onyo la jeshi la China kwa chokochoko za Taiwan
Aug 12, 2022 02:06Jeshi la China limekionya kisiwa cha Taiwan dhidi ya kuendeleza chokochoko katika eneo hilo la kistratijia.
-
Juhudi za Marekani za kueneza ushawishi wake barani Afrika
Aug 11, 2022 21:59Akiwa katika safari yake ya kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika, Anthony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, amezungumza na kushauriana na viongozi wa nchi alizozitembelea kuhusu masuala ya usalama, mgogoro wa chakula na jinsi ya kuzishirikisha nchi za Kiafrika katika vita vya Ukraine.