-
Mashambulio ya Wayamen dhidi ya Imarati; malengo na umuhimu wake
Jan 18, 2022 07:39Jumatatu ya jana tarehe 17 Januari, ndege 20 zisizo na rubani pamoja na makombora 10 ya balestiki ya Jeshi na Kamati za Kujitolea za Wananchi wa Yemen zilishambulia maeneo muhimu na nyeti ndani ya ardhi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Malalamiko ya Palestina kwa kimya cha ulimwengu kuhusu sera za apartheid za Israel
Jan 17, 2022 22:16Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imetoa taarifa ikilalamikia kimya cha taasisi za kimataifa duniani mkabala wa uvamizi na chokochoko za utawala ghasibu wa Israel hususan ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na utawala huo na kusema kuwa, Tel Aviv inataka kuimarisha ubaguzi wa Apartheid dhidi ya Wapalestina.
-
Iran yasisitiza ulazima wa kuondolewa mzingiro wa kidhalimu wa Yemen
Jan 17, 2022 05:47Ali Asghar Khaji, Mshauri Mwandamizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Hans Grundberg, Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen, wamefanya mazungumzo ya simu wakijadili matukio ya hivi karibuni nchini Yemen.
-
Jeshi la wanamaji la Iran; mlinda usalama katika eneo la maji ya kimataifa
Jan 16, 2022 23:07Kamanda wa kikosi cha wanamaji cha jeshi la Iran amesema, kulinda usalama na kuvipa msaada vyombo vya baharini na pia kuonyesha uwezo wa Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu sambamba na kufikisha ujumbe wa amani na urafiki, ndio malengo ya Iran ya kuwepo kijeshi kwenye eneo la maji ya kimataifa.
-
Baa la njaa nchini Afghanistan
Jan 16, 2022 09:02Zaidi ya watu milioni 22 nchini Afghanistan wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula.
-
Kukosolewa vikali rekodi ya haki za binadamu ya serikali ya Biden
Jan 15, 2022 23:13Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa rekodi ya haki za binadamu ya serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani na kuitaja kuwa inatia wasiwasi. Human Rights Watch imebainisha hayo katika ripoti yake ya hali ya haki za binadamu duniani katika kipindi hiki cha mwanzoni mwa mwaka mpya wa 2021.
-
Maandamano dhidi ya serikali nchini Tunisia katika maadhimisho ya mapinduzi ya Januari 14
Jan 15, 2022 07:11Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa 11 wa harakati ya wananchi wa Tunisia iliyopelekea kupinduliwa serikali ya dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Zine El Abidine Ben Ali, Tunisia jana Ijumaa ilishuhidia maandamano makubwa ya kupinga utendaji wa kiongozi wa sasa wa nchji hiyo, Kais Saied.
-
Sababu za idadi kubwa ya vifo vya wanajeshi wa Israel
Jan 15, 2022 03:55Gazeti la Kiebrania la Israel Hume limeripoti kwamba wanajeshi 31 wa Israeli waliuawa katika mwaka uliomaliza majuzi wa 2021 na kwamba 11 kati yao walijiua wenyewe.
-
Mkutano usio na matunda wa Russia-NATO na kuongezeka kwa mizozo ya pande mbili
Jan 14, 2022 21:14Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Alexander Grushko, ameuambia mkutano wa waandishi wa habari mjini Brussels mwishoni mwa mkutano wa Russia na NATO siku ya Jumatano kwamba, hitilafu za pande mbili zilikuwa wazi na kwamba katika kikao hicho kumejitokeza hitilafu nyingi.
-
Yemen yakosoa utendaji wa Baraza la Usalama katika kurefusha vita vya nchi hiyo
Jan 13, 2022 23:42Muhammad Ali al-Huthi, mwanachama wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amekosoa utendaji wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu vita vya kivamizi dhidi ya nchi hiyo na kusema licha ya kwamba Saudi Arabia imetekeleza na inaendelea kutekeleza jinai za kivita nchini humo, lakini baraza hilo limeshindwa kusimamisha vita hivyo.