-
Kwa nini Marekani inashinikiza kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya Iraq?
Oct 23, 2025 04:23Tommy Piggott, Naibu Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani alisema siku ya Jumanne kwamba Marco Rubio Waziri wa Mambo ya Nje, katika mazungumzo yake na Mohammad Shia Al-Sudani, Waziri Mkuu wa Iraq, ametoa wito wa kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya nchi hiyo akidai kuwa ni tishio kwa maslahi ya Washington na Baghdad.
-
Unafiki wa Ulaya mkabala wa Gaza: Biashara na Israel au kuheshimu haki za binadamu?
Oct 22, 2025 22:59Umoja wa Ulaya utarejesha uhusiano wake wa kibiashara wa upendeleo na Israel hatua kwa hatua kwa kisingizio cha kutekelezwa usitishaji unaolegalega wa mapigano huko Gaza.
-
Utaratibu Mpya wa Kiuchumi wa Kikanda; Nafasi ya kimkakati ya Iran katika Ushirikiano na Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia
Oct 22, 2025 09:11Mkutano wa Nne wa Kistratijia wa "Iran na Eurasia; Biashara, Diplomasia na Utaratibu Mpya wa Kikanda," umefanyika leo katika Kituo cha Mikutano cha Shirika la Utangazaji la Sauti na Televisheni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Tehran.
-
Kwa nini Afrika ni fursa kubwa ya kiuchumi kwa Iran?
Oct 21, 2025 23:01Mkuu wa Jumuiya ya Biashara ya Pamoja ya Iran na Afrika amesema: "bara la Afrika ni hazina iliyofichika ya uchumi wa dunia na fursa kubwa kwa Iran."
-
Qur'ani inasema nini kuhusu watu wenye kiburi kama Donald Trump
Oct 21, 2025 06:51Uchambuzi wa Qur'ani kuhusu tabia ya Donald Trump, rais mtata wa Marekani, unamuonyesha kuwa ni mfano wa wazi wa mtu muovu na mwenye kutakabari.
-
Kusimama shughuli za serikali ya Marekani kutakwenda hadi lini?
Oct 20, 2025 22:52Serikali ya Donald Trump huko Marekani imevunja rekodi kwa kusimamisha shughuli zake kwa muda wa siku 20. Janga hilo lilianza Oktoba 1, 2025, na kulemaza shughuli muhimu za Marekani na pia kupiga kengele ya hatari ya kuzuka mdororo wa kiuchumi na mgogoro wa kijamii nchini Marekani. Hadi hivi sasa hakuna ishara za kufikia mwisho mgogoro huo wa kisiasa huku mamilioni ya Wamarekani wakiwa chini ya mashinikizo kutokana na maafa ya mgogoro huo kwenye maisha yao.
-
Afrika katika makucha ya ukoloni mamboleo, ushindani wa kimataifa kwa ajili ya rasilimali muhimu na vitisho vipya
Oct 20, 2025 12:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amekutana na mwenzake wa Liberia, Sara Beysolow Nyanti kujadili njia za kupanua ushiriki wa Marekani katika sekta muhimu ya madini nchini Liberia.
-
Maaandamano dhidi ya Trump nchini Marekani yanafanyika kwa malengo gani
Oct 19, 2025 23:07Mamilioni ya Wamarekani waliingia mitaani katika maandamano ya nchi nzima wakiimba "No Kings" kupinga muhula wa pili wa rais Donald Trump na kile wanachokiita "mienendo yake ya kimabavu."
-
Trump abadilisha msimamo wa kutuma makombora ya Tomahawk kwenda Ukraine
Oct 19, 2025 04:39Rais Donald Trump wa Marekani amebadilisha ghafla msimamo wake wa kutuma makombora ya cruise ya Tomahawk kwenda Ukraine.
-
NAM yaonya kuhusu chokochoko za Washington; Je, Marekani iko mbioni kushambulia Venezuela?
Oct 18, 2025 23:10Wakati ripoti zikionyesha kuwa Pentagon inatayarisha machaguo ya kijeshi dhidi ya Venezuela, Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), ambayo inaundwa na zaidi ya nchi 120, imeonya kwamba shambulio lolote dhidi ya nchi hiyo ya Amerika Kusini litakuwa ukiukaji wa wazi wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa.