-
Vipi Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limefikia natija ya kufanyika mauaji ya kimbari huko Gaza?
Sep 28, 2025 22:46Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetangaza hatua za Israel huko Gaza kuwa ni mfano wa kisheria wa "mauaji ya halaiki."
-
Kwa nini Iran inaona utaratibu wa snapback kuwa hauna uhalali wa kisheria?
Sep 28, 2025 07:43Seyyed Abbas Araghchi Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika barua yake kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwamba: Hatua ya Marekani na Troika ya Ulaya ya kurejesha maazimio ya awali ya Baraza la Usalama dhidi ya Iran haina msingi wa kisheria wala kisiasa na haikubaliwi na Tehran.
-
Kwa nini kuadhibiwa katika uga wa michezo ni hatua muhimu ya kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni?
Sep 27, 2025 22:57Kufuatia kuongezeka mashinikizo ya kimataifa kwa serikali na taasisi za Ulaya ili kutoa jibu kali kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza, Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA) wiki ijayo litakuwa na kikao kujadili suala la kuziweka kando timu zote za kandanda za Israel katika mashindano ya kimataifa na vilabu ya UEFA.
-
Kwa nini Trump anaishupalia jamii ya kimataifa iamini uwongo wake kuhusu Iran?
Sep 27, 2025 07:40Rais wa Marekani kwa mara nyingine tena amekariri katika houba aliyoitoa katika Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa madai yake ya uwongo na yasiyo na msingi dhidi ya Iran.
-
Kwa nini nchi tatu za Kiafrika zimejitoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ?
Sep 26, 2025 22:44Nchi tatu za Kiafrika zimetangaza kuwa zimehitimisha unachama wao katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Kwa nini Israel inahofia maneva ya pamoja ya baharini kati ya Misri na Uturuki?
Sep 26, 2025 05:53Kuanza tena meneva ya kijeshi kati ya Uturuki na Misri, sambamba na kupelekewa idadi kubwa ya wanajeshi wa Misri katika Peninsula ya Sinai, kumeutia wasiwasi utawala wa Kizayuni.
-
Sababu zilizoifanya Colombia itoe wito wa aina yake wa kuundwa jeshi la kimataifa la kuikomboa Palestina
Sep 25, 2025 22:56Colombia imetoa wito wa kuundwa jeshi la kimataifa la kukabiliana na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Kwa nini mazungumzo na Marekani hayana maana?
Sep 25, 2025 07:12Viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametoa sababu mbalimbali kwa nini mazungumzo na Marekani hayana natija.
-
Vita vya Ukraine na faida nono kwa mashirika ya silaha ya Marekani
Sep 25, 2025 03:40Vita vya Ukraine, vilivyoanza mwishoni mwa mwezi Februari 2022, vimeleta mabadiliko makubwa ya kijiografia na kisiasa ulimwenguni.
-
Kwa nini Waziri Mkuu wa India amewataka wananchi kutumia bidhaa za ndani?
Sep 24, 2025 07:38Waziri Mkuu wa India amewataka wananchi wa nchi hiyo kuacha kutumia bidhaa kutoka nje na badala yake watumie bidhaa za ndani kufuatia kushtadi mivutano katika uhusiano wa nchi hiyo na Marekani.