-
Namna vipimo vya undumilakuwili vya Magharibi vinavyochangia kuendelea jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ghaza
Jan 13, 2025 03:58Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema, Israel inavitumia vipimo vya undumilakuwili vya nchi za Magharibi kuendeleza jinai na uhalifu wake katika Ukanda wa Ghaza.
-
Awamu mpya ya mashambulizi ya jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Jan 12, 2025 23:56Jeshi la Myanmar limekiangamiza kijiji cha Waislamu katika jimbo la Rakhine katika duru mpya ya jinai na uhalifu unaofanywa na Mabudha dhidi ya Waislamu.
-
Nini madhumuni ya kuzidisha mashambulizi dhidi ya Yemen?
Jan 12, 2025 09:09Marekani, Uingereza na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mara nyingine tena zimeanzisha mashambulizi ya pamoja na makali dhidi ya Yemen.
-
Watoto wa Gaza; shabaha ya mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel
Jan 11, 2025 23:09Sambamba na kuendelea mashambulizi ya jeshi la Israel dhidi ya watu wa Gaza, baridi kali pia imezidisha idadi ya watoto wanaoaga dunia hasa watoto wachanga katika ukanda huo.
-
Moto wa Los Angeles; Ishara ya uzembe wa serikali ya Marekani
Jan 11, 2025 07:14Mji wa Los Angeles katika jimbo la California, Marekani, umekuwa ukiteketea kwa moto usiozuilika kwa siku kadhaa sasa katika msimu wa baridi kali na kuwaacha maelfu ya watu bila ya makazi. Moto huo pia umesababisha hasara na uharibifu mkubwa unaotajwa kuwa ni wa aina yake katika historia ya majanga nchini Marekani.
-
Bajeti ya NATO; changamoto nyingine kwa waitifaki wa pande mbili za Antlantiki
Jan 10, 2025 23:26Baada ya Donald Trump kutaka kuunganishwa Canada, Mfereji wa Panama na eneo la Greenland na ardhi ya Marekani, sasa suala la kuongeza bajeti ya nchi wanachama wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) ni changamoto kuu zaidi inayowatatiza washirika wa pande zote mbili za Bahari ya Atlantiki.
-
Maana ya ushirikiano mpya wa Iran na Russia kwa ulimwengu
Jan 10, 2025 09:14Chombo kimoja cha habari cha Russia kimetathmini ushirikiano wa Iran na Russia na kuandika: Makubaliano ya pamoja ya kistratejia ni hatua muhimu katika kuimarika muungano kati ya mataifa haya mawili.
-
Mafanikio ya kiusalama ya al Hashdul Shaabi katika mapambano dhidi ya ISIS
Jan 09, 2025 22:57Wakati Marekani ikijaribu kuzidisha mashinikizo kwa serikali ya Iraq ili kusitisha shughuli za vikosi vya wapiganaji wa kujitolea vya wananchi maarufu kama al Hashdul Shaabi, vyanzo vya usalama katika jimbo la Anbar nchini humo vimeripoti kwamba, vikosi vya wapiganaji hao vimefanikiwa kuizima harakati mpya ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).
-
Majibu ya nchi mbalimbali kwa madai yasiyo na msingi ya Trump kuhusu kuinyakua Greenland
Jan 09, 2025 09:23Baada ya Rais mteule wa Marekani, Donald Trump kusisitiza madai yake ya kutaka kunyakua maeneo Canada, Panama na Greenland, na hatua zake, ikiwa ni pamoja na kumtuma mtoto wake wa kiume huko Greenland kuandaa mazingira ya unyakuzi huo, nchi hizo zimetoa majibu makali dhidi ya hatua ya Trump.
-
Ni upi msimamo wa Iran kuhusu mfumo wa kisiasa na usalama nchini Syria?
Jan 08, 2025 23:06Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza tena umuhimu wa kuheshimiwa chaguo la wananchi wa Syria na kupinga uingiliaji wa pande za kimataifa katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.