-
Kuendelea jinai za magaidi Parachinar, Pakistan
Nov 26, 2024 22:55Baada ya shambulio la hivi majuzi la kigaidi dhidi ya Mashia wa Parachinar katika Wilaya ya Kurram nchini Pakistani, mamlaka za nchi hiyo zimeripoti uhalifu mwingine wa matakfiri dhidi ya Mashia wa Parachinar.
-
Iran mhanga mkubwa zaidi wa silaha za kemikali
Nov 26, 2024 11:21Katika mkutano wa 29 wa mwaka wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Silaha za Kemikali (CWC) huko The Hague, nchi za Magharibi zimenyamazia kimya orodha ya jinai zao za kutumia silaha za kemikali.
-
Sababu na malengo ya utawala wa Kizayuni ya kutishia kuishambulia Iraq
Nov 25, 2024 22:58Baada ya mauaji ya kimbari huko Gaza na jinai dhidi ya Lebanon na pia mashambulizi ya mara kwa mara dhidi ya Syria, hivi karibuni utawala wa Kizayuni umeitishia kuishambulia kijeshi Iraq.
-
Siku ya Kimataifa ya Marufuku ya Ukatili Dhidi ya Wanawake sambamba na hali ya kusikitisha ya wanawake wa Gaza
Nov 25, 2024 10:40Leo tarehe Novemba 25 ni Siku ya Kimataifa ya Kupiga Marufuku Ukatili dhidi ya Wanawake. Hii ni katika hali ambayo wanawake katika nchi nyingi za dunia bado wako chini ya ukandamizaji, dhulma na unyanyasaji, hali ambayo ni mbaya zaidi katika maeneo ya vita kama Ukanda wa Gaza.
-
Kukata tamaa kwa utawala wa Kizayuni dhidi ya makundi ya muqawama
Nov 25, 2024 01:08Licha ya uungaji mkono wa pande zote wa Ikulu ya White House kwa Tel Aviv, utawala wa Kizayuni hauna uwezo wa kukabiliana na makundi ya muqawama ya Palestina na Hizbullah ya Lebanon katika vita hivyo.
-
Utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), mtihani kwa Wamagharibi
Nov 24, 2024 10:24Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya haki za binadamu huko Palestina amesema kuwa utekelezaji na kushikamana nchi za Magharibi na uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kuwakamata viongozi wa utawala wa Kizayuni ni mtihani wa kupima azma na uwajibikaji wa Wamagharibi kuhusu hukumu hiyo.
-
Kukiri nchi za Ulaya kuhusu mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza
Nov 23, 2024 07:40Hatimaye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) baada ya miezi kadhaa ya utafiti na uchunguzi imetoa hukumu ya kukamatwa Benjamin Netanyahu na Yoav Gallant, Waziri Mkuu na Waziri wa Vita wa zamani wa utawala katili wa Israel kwa kutenda jinai za kivita huko Ukanda wa Gaza.
-
Hasira isiyo na mfano wake dhidi ya Wazayuni barani Ulaya
Nov 22, 2024 23:59Jinai za kutisha zinazofanywa na Wazayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita zimekuwa na natija muhimu duniani hususan katika fikra za raia wa nchi za Magharibi, ambapo zimefichua sura halisi ya jinai na ubaguzi unaofanywa na utawala bandia wa Israel.
-
Radiamali ya Iran kwa azimio la nchi tatu za Ulaya kwa Bodi ya IAEA
Nov 22, 2024 09:11Nchi tatu za Ulaya zimewasilisha mswada wa azimio kwa Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ambapo zimeituhumu Iran kuwa haiweki wazi shughuli zake za nyuklia.
-
Siku ya Kimataifa ya Watoto Duniani na siku za huzuni kwa watoto wa Gaza na Lebanon
Nov 21, 2024 08:59Siku ya Kimataifa ya Watoto imeadhimishwa duniani huku mauaji ya watoto wa Gaza na Lebanon yanayofanywa na utawala wa Kizayuni yakiendelea bila huruma, suala ambalo pia limeibua wasiwasi kwa Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF.