-
Marekani yapinga tena azimio la kusitisha mapigano Gaza
Nov 21, 2024 07:27Ikiwa ni katika muendelezo wa uungaji mkono wake mkubwa kwa utawala ghasibu wa Israel, mapema siku ya Jumatano Novemba, Marekani ilipinga tena rasimu ya azimio la wanachama 10 wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, lililotaka usitishaji vita wa mara moja, usio na masharti na wa kudumu huko Gaza na kuachiliwa huru mateka wote.
-
Mpasuko na mgogoro mkubwa katika baraza la mawaziri la Netanyahu kutokana na baraza hilo kushindwa kukabiliana na makundi ya muqawama
Nov 21, 2024 00:57Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel linakabiliwa na mgogoro mkubwa usio na mfano wake kufuatia kuendelea vita vya Gaza na Lebanon na kushindwa jeshi la utawala huo kukabiliana na makundi ya muqawama ya Palestina na Lebanon.
-
Amri mpya ya Putin na kuongezeka uwezekano wa kutumiwa silaha za nyuklia
Nov 20, 2024 07:53Rais Vladimir Putin wa Russia Jumanne, Novemba 19, alitia saini amri ambayo inaipa Moscow ruhusa ya kutumia silaha za nyuklia dhidi ya "nchi isiyo na silaha za nyuklia" ilimradi nchi hiyo iwe inaungwa mkono na nguvu za nyuklia.
-
Siku 1000 za vita vya Ukraine na mustakabali wake usiojulikana
Nov 19, 2024 23:06Jumatatu ya juzi 18 Novemba, 2024, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifanya mkutano mjini New York, kwa mnasaba wa siku elfu 1000 za Vita vya Ukraine.
-
Kuendelea vitendo vya uhasama vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran
Nov 19, 2024 10:07Katika kuendeleza hatua zake za kiuadui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu ya jana tarehe 18 Novemba Umoja wa Ulaya ulitoa taarifa na kuliwekea vikwazo Shirika la Meli la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni hiyo kwa kisingizio na madai yasiyo na msingi ya eti Iran kuingilia mzozo wa Ukraine.
-
Onyo la duru za kiusalama za Israel kwa Netanyahu
Nov 19, 2024 04:13Duru za usalama za utawala wa Kizayuni zimemtumia ripoti waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netnyahu, na kumuonya kuhusu nguvu za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na wajibu wa kutodharau nguvu hizo.
-
Hatua mpya ya Wamagharibi ya kuchochea moto wa vita vya Ukraine
Nov 18, 2024 07:43Rais wa Marekani, Joe Biden ameripotiwa kuidhinisha Ukraine kutumia makombora ya masafa marefu ya Kimarekani kulenga shabaha ndani ya mipaka ya Russia ya kabla ya 2014. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya jana Jumapili iliyotolewa na gazeti la New York Times likiwanukuu maafisa wa Marekani ambao hawakutaka kutajwa majina yao.
-
Human Rights Watch yakiri kuhusika utawala wa Kizayuni wa Israel na jinai za kivita
Nov 17, 2024 23:04Katika ripoti yake ya hivi karibuni zaidi, shirika la kuteteta haki za binadamu la Human Rights Watch kwa mara nyingine tena limetangaza kuwa utawala haramu wa Israel umefanya jinai za kivita dhidi ya binadamu na mauaji ya kikabila huko Gaza, kuharibu vyanzo vya maisha na kuwafanya kuwa wakimbizi mara kadhaa asilimia 90 ya wakaazi wa Gaza.
-
Kuongezeka kwa maandamano barani Ulaya dhidi ya jinai za Wazayuni
Nov 17, 2024 08:51Kuendelea kwa jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon kumepelekea kupanuka uungaji mkono kwa Palestina na chuki dhidi ya Wazayuni barani Ulaya.
-
Indhari ya Iran kuhusu mchezo wa kisiasa wa Troika ya Ulaya
Nov 16, 2024 22:56Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na Rafael Grossi Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa KImataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) hapa Tehran kuwa: "Kile ambacho Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inakitaka katika teknolojia ya nyuklia kinakwenda sambamba kikamilifu na mifumo na vibali vya kisheria vya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki."