Sultan Haitham aonana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
https://parstoday.ir/sw/news/iran-i98156-sultan_haitham_aonana_na_kiongozi_muadhamu_wa_mapinduzi_ya_kiislamu
Sultan Haitham bin Tariq Aal Saeed wa Oman na ujumbe alioandamana nao wameonana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei hapa Tehran.
(last modified 2026-03-17T04:36:21+00:00 )
May 29, 2023 03:52 UTC
  • Sultan Haitham aonana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

Sultan Haitham bin Tariq Aal Saeed wa Oman na ujumbe alioandamana nao wameonana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei hapa Tehran.

Katika mazungumzo hayo, Rais Ebrahim Raisi ameandamana na Sultan Haitham ambaye yupo hapa nchini Iran kwa ziara rasmi ya siku mbili. 

Hii ni ziara ya kwanza rasmi ya Sultan Haitham kuitembelea Iran tangu alipochukua cheo hicho.

Maelezo zaidi kuhusu habari hiyo yatakujieni katika matangazo yajayo ya Idhaa ya Kiswahili, Radio Tehran.