-
Kamanda Mousavi: Jeshi la Iran liko tayari kutoa jibu chungu kwa uchokozi wowote
Sep 03, 2025 03:08Mkuu wa Majeshi ya Iran, Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi amesisitiza kuwa vikosi vya ulinzi vya taifa hili viko imara na tayari kutoa jibu madhubuti na chungu kwa uchokozi wowote mpya wa maadui.
-
IRIB yalaani mauaji ya mwanahabari wa Al-Alam huko Gaza
Sep 03, 2025 02:57Kitengo cha Kimataifa cha Shirika la Utangazaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran IRIB kimelaani vikali mauaji ya Rasmi Jihad Salem, mpigapicha wa kanali yake ya Kiarabu ya Al-Alam, ambaye aliuawa shahidi katika shambulio la Israel huko Gaza jana Jumanne, Septemba 2 alipokuwa akirejea kutoka kazini.
-
Tehran yakadhibisha madai ya nchi za Kiarabu kuhusu visiwa vya Iran na kisima cha gesi cha Arash
Sep 02, 2025 23:05Iran imesisitiza mamlaka iliyonayo kwa visiwa vitatu vilivyoko katika Ghuba ya Uajemi, haki yake kwa kisima cha gesi cha Arash na kuhusu mpango wake wa nyuklia wenye malengo ya amani katika kujibu madai ya uongo katika taarifa ya hivi karibuni ya Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC).
-
Pendekezo la Iran kwa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai; hatua ya kuelekea kwenye mfumo mpya wa dunia
Sep 02, 2025 07:26Katika hotuba yake katika kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai, Rais Masoud Pezeshkian wa Iran aliwasilisha utatuzi uliopendekezwa na Iran kwa ajili ya kupanua ushirikiano kati ya wanachama wa jumuiya hiyo kwa lengo la kukabiliana na misimamo ya upande mmoja ya Marekani na Magharibi.
-
Iran, Russia kuimarisha uhusiano wao kupitia mikataba ya muda mrefu
Sep 02, 2025 03:34Rais Masoud Pezeshkian wa Iran, na mwenzake wa Russia, Vladimir Putin wamesisitiza umuhimu wa kutekelezwa Mkataba Kamili wa Ushirikiano wa Kistratejia kati ya nchi mbili hizo.
-
Rais wa Iran azitaka US,EU kukomesha makabiliano, zirejee kwenye diplomasia
Sep 02, 2025 03:12Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema Marekani na Ulaya zinapasa kuacha mienendo yao kwa msingi wa makabiliano na vitisho, na badala yake zifungamane na diplomasia ili kupata suluhisho lenye "mlingano na haki" kwa suala la nyuklia la Tehran.
-
Jenerali Mousavi: ‘Kinara wa Magaidi’ Israel inaogopa kupanuka kwa Mhimili wa Muqawama
Sep 01, 2025 23:02Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Iran amelaani vikali mauaji ya hivi karibuni ya maafisa wa juu wa Yemen, yaliyotekelezwa na utawala wa Israel, akiyataja kama ishara ya hofu kubwa ya Tel Aviv kuhusu kuongezeka kwa nguvu za Mhimili wa Muqawama katika eneo la Asia Magharibi.
-
Rais Pezeshkian ataka kuimarishwa amani na ushirikiano wa kiuchumi katika mkutano wa SCO
Sep 01, 2025 04:31Rais Masoud Pezeshkian ametoa wito kwa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) kuchukua hatua madhubuti na za uwazi ili kuimarisha amani na ushirikiano wa kiuchumi duniani.
-
Kiongozi Muadhamu asisitiza utekelezaji wa makubaliano ya kimkakati ya Iran na China
Aug 31, 2025 23:14Sambamba na safari ya Rais Masoud Pezeshkian wa Iran nchini China kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano wa Shanghai, akaunti rasmi za Ofisi ya Kuhifadhi na Kuchapisha Kazi za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei kwenye mitandao ya kijamii imechapisha baadhi ya matamshi ya Imam Khamenei kuhusu umuhimu wa uhusiano wa Iran na China kwa lugha ya Kichina.
-
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Yemen itatoa jibu kali kwa Wazayuni
Aug 31, 2025 23:14Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetoa taarifa likilaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Yemen na kusisitiza kuwa, Muqawama wa Kiislamu katika eneo la Magharibi mwa Asia utatoa jibu chungu kwa wahalifu wa Kizayuni na kuwafanya wajutie.