-
Rais wa Iran na Spika wa Bunge walaani vikali hujuma ya kigaidi ya Israel dhidi ya Yemen
Aug 31, 2025 08:44Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Bunge, Mohammad Baqer Qalibaf, wamelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya kijeshi iliyofanywa na Israel dhidi ya Yemen, ambayo imesababisha kuuawa kwa shahidi Waziri Mkuu wa Yemen na mawaziri kadhaa wa serikali ya mapinduzi ya nchi hiyo.
-
Pezeshkian: Mkutano wa Shanghai unatoa fursa ya kukabiliana na hatua za upande mmoja za Marekani na Ulaya
Aug 31, 2025 04:02Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa mkutano ujao wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) unatoa fursa ya kukabiliana na hatua za upande mmoja za Marekani na Ulaya katika masuala ya kimataifa.
-
Qalibaf alaani chokochoko za Marekani dhidi ya Venezuela
Aug 31, 2025 04:00Mohammad Qalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amelaani chokochoko za Marekani katika eneo la Caribbean dhidi ya Venezuela.
-
Pezeshkian:Uhusiano wa Iran na Armenia haupaswi kuvurugwa na dola la kigeni
Aug 31, 2025 01:06Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa Iran na Armenia hazipaswi kuruhusu nguvu yoyote ya kigeni kuvuruga uhusiano wao wa kirafiki na wa kimkakati.
-
Larijani: Iran inapinga mabadiliko ya kijiografia katika ukanda wa Kavkazia
Aug 31, 2025 01:06Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani, ameeleza kuwa Tehran inapinga vikali hatua yoyote inayoweza kuathiri muundo wa kisiasa na kijiografia wa eneo la Kavkazi (Caucasus)
-
Iran yawakamata majasusi wa Mossad waliohusika katika vita
Aug 31, 2025 01:05Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) kimetangaza kukamatwa kwa mtandao wa kigaidi unaohusishwa na shirika la ujasusi la Israel, Mossad, katika mkoa wa Khorasan Razavi. Majasusi hao walihusika katika shughuli za ujasusi na hujuma ndani ya Iran wakati wa mashambulizi ya siku 12 yaliyofanywa na Israel dhidi ya taifa hilo.
-
Iravani: Iran haitafanya mazungumzo kwa vitisho au kwa kushurutishwa
Aug 30, 2025 09:33Amir-Saeid Iravani, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, ameitaja hatua ya nchi tatu za Ulaya yaani Ufaransa, Ujerumani na Uingereza ya kuanzisha kuanzisha mchakato wa kuanzisha utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran (snapback) hatua 'isiyo ya kisheria', na kuongeza kuwa hatua hiyo inapuuza Utaratibu wa Utatuzi wa Mizozo (DRM) wa makubaliano9 ya nyuklia ya JCPOA.
-
Pezeshkian: Iran iko tayari kutumia misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa mafuriko Pakistan
Aug 30, 2025 08:56Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi na kutoa mkono wa pole kwa serikali ya wananchi wa Pakistan kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo na kusababisha vifo vya watu wengi na kuharibiwa mali. Amesema Iran iko tayari kuwasaidia waathiriwa wa mafuriko nchini Pakistan.
-
Sababu za Iran kuitambua hatua ya Troika ya Ulaya ya kutekeleza snapback kuwa kinyume cha sheria
Aug 30, 2025 07:16Kikao cha faragha cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kushughulikia uzinduzi wa mchakato wa kuanzisha utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran (snapback) wa Troika ya Ulaya kilifanyika jana Ijumaa, Agosti 29.
-
Iran: Ulaya haina mamlaka ya kisheria ya kuanzisha vikwazo upya
Aug 29, 2025 07:39Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, amepinga vikali juhudi za Uingereza, Ufaransa na Ujerumani (E3) za kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa vilivyofutwa chini ya Azimio 2231 la mwaka 2015, akitaja hatua hiyo kuwa “batili na isiyo na athari.”