-
Belarusi: Tuna azma thabiti ya kupanua ushirikiano wetu na Iran
Oct 30, 2025 02:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus amefanya mazungumzo na Naibu Waziri na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kisiasa na Kimataifa cha Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran na kusisitiza nia na azma thabiti ya nchi yake ya kupanua ushirikiano na Iran.
-
Iran yalaani kuendelea mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wasio na ulinzi wa Gaza
Oct 30, 2025 01:54Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali mashambulizi makubwa ya anga ya utawala wa Israel katika maeneo mbalimbali ya kusini, katikati na kaskazini mwa Gaza.
-
Ripota wa UN amfumba mdomo vibaya Mzayuni
Oct 30, 2025 01:26Baada ya mwakilishi wa Israel katika Umoja wa Mataifa kumwita Francesca Albanese, ripota maalumu wa umoja huo katika masuala ya Palestina kuwa ni mchawi, Albanese ametoa majibu makali yaliyomziba mdomo Mzayuni huyo na kumfedhehesha mbele ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
-
Qalibaf: Iran Kamwe Haitasalimu Amri
Oct 29, 2025 23:34Katika hafla ya kuwaenzi mashahidi wa Iran huko Khorasan Kaskazini, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad-Baqer Qalibaf, ametamka kwa msisitizo kwamba, “Iran kamwe haitasalimu amri.”
-
Iran yaanza majaribio ya safari za ndege za mizigo zilizotengenezwa nyumbani
Oct 29, 2025 22:56Ndege ya Simorgh iliyotengenezwa Iran imeanza rasmi safari zake za majaribio huku ikijiandaa kujiunga na sekta ya usafirishaji mizigo hapa nchini.
-
Picha ya mwanajeshi wa Israel yafichua jinsi Wapalestina wanavyotumiwa kama ngao ya binadamu vitani
Oct 29, 2025 22:55Picha, inayoripotiwa kuchukuliwa na kuchapishwa na mwanajeshi wa Israel, imesababisha mshtuko mkubwa katika mitandao ya kijamii, ikithibitisha ripoti za jinsi utawala huo vamizi unavyowatumia wazee wa Palestina kama ngao za binadamu katika vita vya muda mrefu vya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.
-
Mpango wa siri ulioshindwa: Marekani imejaribu kuajiri rubani wa Maduro ili kumkamata kiongozi wa Venezuela
Oct 29, 2025 22:55Ajenti wa Shirikisho la Marekani alijaribu kumsajili rubani binafsi wa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, Jenerali Bitner Villegas, katika mpango wa siri, ili kuipeleka ndege ya rais huyo huko Marekani. Hayo yamefichuliwa na shirika la habari la Associated Press.
-
Mkutano wa ECO mjini Tehran; Ishara ya Utulivu, Uaminifu na Fursa Mpya za Uchumi
Oct 29, 2025 22:48Mkutano wa nne wa mawaziri wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi (ECO) umefanyika mjini Tehran, ukiwahusisha mawaziri na manaibu mawaziri wa mambo ya ndani wa nchi wanachama.
-
Uchaguzi Mkuu Tanzania waendelea kwa amani licha ya machafuko ya hapa na pale
Oct 29, 2025 12:01Shughuli za upigaji kura katika Uchaguzi Mkuu wa Tanaznia zimeendelea vizuri na kwa amani kwa kikasi kikubwa licha ya ghasia na machafuko madogo yanayoripotiwa huku na kule.
-
Israel yafanya mauaji ya kutisha Gaza; Zaidi ya Wapalestina 100, wakiwemo watoto 35, wauawa licha ya makubaliano ya amani
Oct 29, 2025 10:03Mashambulizi yaliyofanywa leo na Israel katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza yameua Wapalestina wasiopungua 100, wakiwemo watoto 35, ukiwa ni ukiukaji wa hivi karibuni wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Hamas na utawala huo ghasibu.