Ripoti
  • Mateso ya Waislamu wa Kashmiri ya upande wa India

    Mateso ya Waislamu wa Kashmiri ya upande wa India

    Jul 22, 2016 05:57

    Waislamu wa eneo la Kashmiri lililoko chini ya India wamefanya maandamano makubwa ya kulaani serikali ya India baada ya jeshi la nchi hiyo kuwaua baadhi ya wanaharakati wanaopigania uhuru wa eneo hilo.

  • Goli la mapema zaidi kuwahi kufungwa katika historia ya kandanda

    Goli la mapema zaidi kuwahi kufungwa katika historia ya kandanda

    Jul 22, 2016 05:52

    Mchezo wa mpira wa miguu siku zote huwa na maanajabu. Hili hapa goli la haraka zaidi kuwahi kufungwa katika hitoria ya soka. Hilo limetokea nchini Mexico.

  • Video: Ukatili wa magaidi wa Syria hata kwa watoto wa Kipalestina

    Video: Ukatili wa magaidi wa Syria hata kwa watoto wa Kipalestina

    Jul 21, 2016 03:35

    Magaidi wa Syria wa kundi la Nuruddin al Zanki wanaoungwa mkono na madola ya kieneo na ya Magharibi hasa Marekani, yamezidi kudhihirisha ukatili wao kwa kumchinja kama kuku mtoto mdogo wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 12.

  • Askari mwerevu wa barabarani

    Askari mwerevu wa barabarani

    Jul 21, 2016 02:10

    Asakari mwerevu wa barabarani nchini China, alichukua hatua ya haraka na inayofaa na kufanikiwa kuokoa roho na makumi ya magari kama inavyoonesha video hii...

  • Ajali haina kinga

    Ajali haina kinga

    Jul 19, 2016 03:59

    Hawakukosea waliosema, ajali haina kinga. Kipande hiki kifupi cha video kinathibitisha hilo

  • Uvurundo wa karne katika soka

    Uvurundo wa karne katika soka

    Jul 12, 2016 03:38

    Hata makosa nayo yanazidiana. Kuna baadhi ya makosa ni "blanda" na uvurundo ambao hufanyika kiutaalamu kiasi kwamba hata aliyefanya uvurundo huo akiambiwa aurudie hawezi kama vinavyoonesha baadhi ya vipande hivi vya sekundi za hatari katika soka...

  • Mtu hafi ila kwa siku yake kufika

    Mtu hafi ila kwa siku yake kufika

    Jul 12, 2016 03:35

    Kuna matukio mbalimbali hutokezea katika maisha ya wanadamu na kuthibitisha kuwa mtu hufa kwa ahadi yake kufika. Moja ya matukio hayo ni la dereva huyu aliyenusurika kifo kwa sekunde chache tu.

  • Viogozi wa Waislamu Kenya walalamikia safari ya Netanyahu

    Viogozi wa Waislamu Kenya walalamikia safari ya Netanyahu

    Jul 10, 2016 02:17

    Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamekosoa vikali uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na ziara ya hivi karibuni ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo dhalimu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Waislamu Tanzania watakiwa kusherehekea Idul Fitr kwa namna inayokubalika

    Waislamu Tanzania watakiwa kusherehekea Idul Fitr kwa namna inayokubalika

    Jul 05, 2016 02:48

    Huku Waislamu wakijiandaa kwa ajili ya sherehe za Iddil-Fitri kutokana na kuelekea kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani, Waislamu nchini Tanzania wametakiwa kuadhimisha sherehe hizo kwa Amani na utulivu. Hayo yamesemwa na Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, ambapo pia amewataka Waislamu hao kujiepusha kumuasi Mwenyezi Mungu katika sherehe hizo….