-
ICC yakiri kuwa Marekani ilitenda jinai za kivita Afghanistan
Nov 15, 2016 04:28Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imesema wanajeshi wa Marekani na maafisa wa shirika la ujasusi la nchi hiyo CIA yumkini wana hatia ya kufanya jinai dhidi ya binadamu nchini Afghanistan.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya ubalozi wa Ujerumani
Nov 12, 2016 04:49Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga ubalozi mdogo wa Ujerumani nchini Afghanistan.
-
Hujuma ya ndege za Marekani yaua makumi ya watu Afghanistan
Nov 03, 2016 12:52Makumi ya watu wameuawa katika shambulio la anga lililofanywa na ndege za Marekani, kaskazini mwa Afghanistan.
-
Wasiwasi wa taathira hasi za kuasisiwa na Saudi Arabia Chuo Kikuu huko Afghanistan
Oct 17, 2016 04:30Mpango wa serikali ya Saudi Arabia wa kujenga Chuo Kikuu cha Kiislamu katika mkoa wa Nangarhar huko Afghanistan umezua wasiwasi kuhusiana na jambo hilo.
-
Iran yalaani mauaji ya Waislamu siku ya Ashura Nigeria, Afghanistan
Oct 13, 2016 01:10Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wamejumuika kwa ajili ya maombolezo ya Ashura, katika miji ya Kaduna na Funtua nchini Nigeria hapo jana.
-
Mripuko wa bomu katika maombolezo ya Ashura waua makumi ya watu Afghanistan
Oct 12, 2016 23:17Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea kwenye mkusanyiko wa maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein (as) katika jimbo la Balkh kaskazini mwa Afghanistan.
-
Jeshi la Afghanistan: Tumemuua kamanda mkubwa wa kundi la Taleban
Sep 21, 2016 04:13Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Afghanistan imetangaza kuuawa mmoja wa makamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Taleban.
-
Taarifa ya pamoja ya Iran na Afghanistan kwa ajili ya kufikia stratejia ya pamoja
Aug 07, 2016 08:40Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afghanistan zitaimarisha ushirikiano kati yao katika nyanja tofauti ili kufikia stratejia ya pamoja.
-
Shamkhani asisitiza ushirikiano wa kistratejia kati ya Iran na Afghanistan
Aug 06, 2016 08:53Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza udharura wa kuendelezwa mazungumzo ya kiusalama kati ya Tehran na Kabul ili kupata njia ya kudumu ya kurejesha amani katika mipaka ya pamoja na kupambana na ugaidi.
-
Magaidi 120 wa Daesh wauawa Afghanistan
Jul 26, 2016 23:30Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameuawa katika operesheni kali ya jeshi la Afghanistan, katika mkoa wa Nangarhar, kaskzini mwa nchi.