Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Walioambukizwa COVID-19 barani Afrika wapindukia milioni 2.1

    Walioambukizwa COVID-19 barani Afrika wapindukia milioni 2.1

    Nov 29, 2020 08:53

    Kituo cha Kukinga na Kudhibiti Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimesema, hadi kufikia jana Jumamosi idadi ya maambukizi ya virusi vya COVID-19 au corona barani humo imefikia 2,137,871, na watu 51,248 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.

  • Uchaguzi wa Burkina Faso unafanyika leo chini ya wingu zito la ukosefu wa amani

    Uchaguzi wa Burkina Faso unafanyika leo chini ya wingu zito la ukosefu wa amani

    Nov 22, 2020 03:10

    Uchaguzi wa rais nchini Burkina Faso unafanyika leo Jumapili, Novemba 22, 2020 huku ukosefu wa amani na usalama ukiigubika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Ripoti: Nchi za Kiafrika hazipigi hatua kuelekea utawala bora

    Ripoti: Nchi za Kiafrika hazipigi hatua kuelekea utawala bora

    Nov 17, 2020 04:37

    Ripoti kuu iliyotolewa jana Jumatatu inaeleza kuwa, mchakato wa utawala bora umedorora barani Afrika kwa mara ya kwanza katika kipindi cha muongo mmoja hata kabla ya maambukizi ya corona kuiathri dunia huku masuala ya kuheshimu demokrasia na haki za binadamu yakidorora.

  • Libya: Sera za Umoja wa Ulaya zinawasukuma Waafrika upande wa kifo

    Libya: Sera za Umoja wa Ulaya zinawasukuma Waafrika upande wa kifo

    Nov 14, 2020 08:42

    Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu nchini Libya imekosoa vikali sera za uhajiri za Umoja wa Ulaya na kueleza kwamba, sera hizo zimekuwa zikiwasukuma Waafrika upande wa kifo.

  • Surua yaua watu 200,000 duniani, DRC, CAR, Madagascar zaongoza Afrika

    Surua yaua watu 200,000 duniani, DRC, CAR, Madagascar zaongoza Afrika

    Nov 13, 2020 08:03

    Ugonjwa wa surua ulisababisha vifo vya watu wapatao 207,000 mwaka jana pekee baada ya muongo mzima wa mkwamo wa kupanua wigo wa utoaji chanjo, limesema shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO.

  • Ndege za kivita za Ethiopia zashambulia maghala ya silaha huko Tigray

    Ndege za kivita za Ethiopia zashambulia maghala ya silaha huko Tigray

    Nov 12, 2020 22:07

    Jeshi la Ethiopia limetangaza kuwa limetekeleza mashambulizi katika maghala ya silaha na kambi za kuhifadhia nishati za Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (The Tigray People's Liberation Front (TPLF)) kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Watoto wasiopungua 6 wauawa katika shambulio la  waasi nchini Cameroon

    Watoto wasiopungua 6 wauawa katika shambulio la waasi nchini Cameroon

    Oct 25, 2020 04:50

    Watoto wasiopungua 6 wameuawa katika shambulio la watu wenye silaha lililolenga shule ya Fransisca International Bi-lingual Academy. Shambulio hilo lilifanyika jana katika eneo la Koumba kusini magharibi mwa Cameroon.

  • Ripoti ya matukio ya Kiislamu juma hili nchini Tanzania + SAUTI

    Ripoti ya matukio ya Kiislamu juma hili nchini Tanzania + SAUTI

    Oct 16, 2020 12:46

    Viongozi wa dini Tanzania wakemewa na Baraza la Maulamaa la BAKWATA kwa kujihusisha na kuwapigia kampeni wagombea wa vyama vya siasa katika uchaguzi mkuu

  • Sudan yakanusha kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

    Sudan yakanusha kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

    Oct 15, 2020 23:09

    Duru moja ya kuaminika ndani ya Baraza la Uongozi la Sudan imekanusha taarifa zinazodai kuwa kumefikiwa makubaliano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya baraza hilo na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mamia wapambana na polisi Tunisia baada ya muuza sigara kuuawa kwa buldoza

    Mamia wapambana na polisi Tunisia baada ya muuza sigara kuuawa kwa buldoza

    Oct 13, 2020 22:53

    Mamia ya waandamanaji waliokuwa wakirusha mawe walipambana na polisi katika mji wa Sbeitla nchini Tunisia jana Jumanne baada ya mamlaka kushambulia kibanda cha sigara ambacho hakina leseni, na kumuua mmiliki wake aliyekuwa amelala ndani yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS