-
Walioambukizwa COVID-19 barani Afrika wapindukia milioni 2.1
Nov 29, 2020 08:53Kituo cha Kukinga na Kudhibiti Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimesema, hadi kufikia jana Jumamosi idadi ya maambukizi ya virusi vya COVID-19 au corona barani humo imefikia 2,137,871, na watu 51,248 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.
-
Uchaguzi wa Burkina Faso unafanyika leo chini ya wingu zito la ukosefu wa amani
Nov 22, 2020 03:10Uchaguzi wa rais nchini Burkina Faso unafanyika leo Jumapili, Novemba 22, 2020 huku ukosefu wa amani na usalama ukiigubika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Ripoti: Nchi za Kiafrika hazipigi hatua kuelekea utawala bora
Nov 17, 2020 04:37Ripoti kuu iliyotolewa jana Jumatatu inaeleza kuwa, mchakato wa utawala bora umedorora barani Afrika kwa mara ya kwanza katika kipindi cha muongo mmoja hata kabla ya maambukizi ya corona kuiathri dunia huku masuala ya kuheshimu demokrasia na haki za binadamu yakidorora.
-
Libya: Sera za Umoja wa Ulaya zinawasukuma Waafrika upande wa kifo
Nov 14, 2020 08:42Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu nchini Libya imekosoa vikali sera za uhajiri za Umoja wa Ulaya na kueleza kwamba, sera hizo zimekuwa zikiwasukuma Waafrika upande wa kifo.
-
Surua yaua watu 200,000 duniani, DRC, CAR, Madagascar zaongoza Afrika
Nov 13, 2020 08:03Ugonjwa wa surua ulisababisha vifo vya watu wapatao 207,000 mwaka jana pekee baada ya muongo mzima wa mkwamo wa kupanua wigo wa utoaji chanjo, limesema shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO.
-
Ndege za kivita za Ethiopia zashambulia maghala ya silaha huko Tigray
Nov 12, 2020 22:07Jeshi la Ethiopia limetangaza kuwa limetekeleza mashambulizi katika maghala ya silaha na kambi za kuhifadhia nishati za Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (The Tigray People's Liberation Front (TPLF)) kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Watoto wasiopungua 6 wauawa katika shambulio la waasi nchini Cameroon
Oct 25, 2020 04:50Watoto wasiopungua 6 wameuawa katika shambulio la watu wenye silaha lililolenga shule ya Fransisca International Bi-lingual Academy. Shambulio hilo lilifanyika jana katika eneo la Koumba kusini magharibi mwa Cameroon.
-
Ripoti ya matukio ya Kiislamu juma hili nchini Tanzania + SAUTI
Oct 16, 2020 12:46Viongozi wa dini Tanzania wakemewa na Baraza la Maulamaa la BAKWATA kwa kujihusisha na kuwapigia kampeni wagombea wa vyama vya siasa katika uchaguzi mkuu
-
Sudan yakanusha kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni
Oct 15, 2020 23:09Duru moja ya kuaminika ndani ya Baraza la Uongozi la Sudan imekanusha taarifa zinazodai kuwa kumefikiwa makubaliano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya baraza hilo na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mamia wapambana na polisi Tunisia baada ya muuza sigara kuuawa kwa buldoza
Oct 13, 2020 22:53Mamia ya waandamanaji waliokuwa wakirusha mawe walipambana na polisi katika mji wa Sbeitla nchini Tunisia jana Jumanne baada ya mamlaka kushambulia kibanda cha sigara ambacho hakina leseni, na kumuua mmiliki wake aliyekuwa amelala ndani yake.