Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Iran yasafirisha kwa wingi matrekta katika nchi za Afrika, Asia

    Iran yasafirisha kwa wingi matrekta katika nchi za Afrika, Asia

    Feb 07, 2021 04:10

    Afisa Mkuu Mtendaji wa Shirika la Kuzalisha Matrekta la Iran amesema nchi hii imeanza kuuza kwa wingi tingatinga katika nchi za Afrika, Asia na Amerika ya Latini.

  • Viongozi wa Afrika leo wanakutana kujadili corona, usalama

    Viongozi wa Afrika leo wanakutana kujadili corona, usalama

    Feb 06, 2021 01:19

    Viongozi wa bara la Afrika leo wanashiriki katika Mkutano wa 34 wa Kilele wa Umoja wa Afrika kujadili masuala ya usalama na janga la corona au COVID-19.

  • Afrika yaagiza dozi milioni 400 zaidi za Covid-19

    Afrika yaagiza dozi milioni 400 zaidi za Covid-19

    Jan 29, 2021 04:08

    Kituo cha Umoja wa Afrika cha kudhibiti na kuzuia magonjwa (Africa-CDC) kimesema bara hilo limefanikiwa kuagiza dozi milioni 400 za chanjo za Covid-19 zaidi, baada ya kuagiza dozi milioni 270 za chanjo hizo hapo awali.

  • Mamia ya mamilioni ya Waafrika wanangojea kupatiwa chanjo ya corona

    Mamia ya mamilioni ya Waafrika wanangojea kupatiwa chanjo ya corona

    Jan 24, 2021 10:26

    Kuzuka kirusi kinachosambaa kwa kasi zaidi cha corona barani Afrika kumesababisha kuongezeka kwa kasi idadi ya watu wanaoambukizwa maradhi ya Covid-19 barani humo; na kutokana na hali hiyo, kupatiwa chanjo ya kinga ndiyo matumaini pekee waliyonayo sasa watu wa bara hilo kwa ajili ya kukabiliana na maradhi hayo.

  • Corona imeua wanahabari 28 barani Afrika tokea Machi 2020

    Corona imeua wanahabari 28 barani Afrika tokea Machi 2020

    Jan 06, 2021 23:07

    Shirika moja la kufuatilia maslahi ya waandishi wa habari la Uswisi limesema jumla ya waandishi wa habari 600 wameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19 kote duniani tokea mwezi Machi mwaka uliomalizika 2020 hadi sasa, ambapo 28 miongoni mwao ni wa nchi za Afrika.

  • Matokeo ya kuendelea kuwepo kijeshi Ufaransa barani Afrika

    Matokeo ya kuendelea kuwepo kijeshi Ufaransa barani Afrika

    Jan 03, 2021 08:53

    Uwepo wa kijeshi wa Ufaransa katika maeneo mbalimbali barani Afrika ungali unaendelea.

  • Zimbabwe yaanza tena kutekeleza karantini nchi nzima

    Zimbabwe yaanza tena kutekeleza karantini nchi nzima

    Jan 03, 2021 04:29

    Serikali ya Zimbabwe imetangaza kuwa sheria ya karantini ya nchi nzuma imeanza kutekelezwa nchini humo kwa mara nyingine tena kuanza jana usiku kutokana na kuongezeka maambukizi mapya ya corona.

  • Eneo la Biashara Huru la Afrika, AfCFTA, laanza rasmi kazi

    Eneo la Biashara Huru la Afrika, AfCFTA, laanza rasmi kazi

    Jan 01, 2021 23:15

    Eneo la Biashara Huru la Afrika, AfCFTA, limezinduliwa rasmi Januari Mosi 2021 ikiwa ni hatua kubwa katika kujumuisha soko la pamoja la nchi za Afrika.

  • CDC yaonya dhidi ya hatari ya kuicheleweshea Afrika chanjo ya Covid-19

    CDC yaonya dhidi ya hatari ya kuicheleweshea Afrika chanjo ya Covid-19

    Jan 01, 2021 00:45

    Taasisi kuu ya kudhibiti magonjwa barani Afrika imetahadharisha kuwa, dunia itajiingiza katika matatizo ya kimaadili iwapo nchi za Afrika zitachelewa kupokea chanjo za ugonjwa wa Covid-19, wakati huu ambapo aghalabu ya nchi tajiri duniani zimeanza kuwachanja wananchi wao.

  • Afrika Kusini yaweka sheria kali baada ya kesi za corona kupindukia milioni 1

    Afrika Kusini yaweka sheria kali baada ya kesi za corona kupindukia milioni 1

    Dec 29, 2020 00:15

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza sheria kali za kudhibiti msambao wa virusi vya corona, baada ya nchi hiyo kusajili kesi zaidi ya milioni moja ya ugonjwa wa Covid-19 kufikia sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS