Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Rouhani: Iran inafadhilisha kuwa na uhusiano mzuri na nchi za Afrika

    Rouhani: Iran inafadhilisha kuwa na uhusiano mzuri na nchi za Afrika

    May 03, 2016 23:36

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili linafadhilisha kuwa na mahusiano mazuri na nchi za Afrika ikiwemo Togo.

  • Tahadhari kuhusu kutoweka utajiri wa Afrika

    Tahadhari kuhusu kutoweka utajiri wa Afrika

    May 03, 2016 02:28

    Rais wa zamani wa Afrika Kusini ameonya kuhusu bara la Afrika kupata hasara ya mabilioni ya dola kutokana na utajiri wa Afrika kuondolewa kinyume cha sheria barani humo.

  • Wito wa kuwepo azma ya kupambana na makundi ya kigaidi Afrika

    Wito wa kuwepo azma ya kupambana na makundi ya kigaidi Afrika

    Apr 28, 2016 10:44

    Mkuu wa kikosi cha Kiafrika cha kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram amezitaka nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya kundi hilo kuzidisha azma ya kukabiliana na ugaidi.

  • WHO: Malaria itaangamizwa kabisa Afrika hadi mwaka 2020

    WHO: Malaria itaangamizwa kabisa Afrika hadi mwaka 2020

    Apr 25, 2016 10:36

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kuna uwezekano ugonjwa wa malaria utaangamizwa kabisa ifikapo mwaka 2020.

  • Kulaaniwa na Umoja wa Afrika mashambulizi ya watu wenye silaha nchini Ethiopia

    Kulaaniwa na Umoja wa Afrika mashambulizi ya watu wenye silaha nchini Ethiopia

    Apr 19, 2016 22:14

    Umoja wa Afrika AU umelaani vikali mashambulizi ya watu wenye silaha katika mpaka wa Ethiopia na Sudan Kusini.

  • Makubaliano ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Makubaliano ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Mar 26, 2016 08:45

    Mawaziri wa Ulinzi na viongozi wa ngazi ya juu wa nchi 27 za Kiarabu na Kiafrika jana Ijumaa walifikia makubaliano katika mkutano uliofanyika Sharam-Sheikh nchini Misri kuhusu kuimarisha ushirikiano baina yao katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Waasi Sudan wakataa makubaliano ya amani

    Waasi Sudan wakataa makubaliano ya amani

    Mar 25, 2016 11:21

    Makundi ya wanamgambo wenye silaha Sudan bado hayataki kukubali makubaliano ya amani yaliyosimamiwa na Umoja wa Afrika huku serikali ya Sudan ikisisitiza makubaliano hayo ni ya mwisho na hayawezi kubadilishwa.

  • Chaguzi sita zafanyika Afrika leo

    Chaguzi sita zafanyika Afrika leo

    Mar 20, 2016 12:39

    Leo kumekuwa na upigaji kurakatika nchi sita za Afrika yaani nchini Kongo Brazzaville, Benin, Niger, Cape Verde, Visiwani Zanzibar nchini Tanzania na kura ya maoni nchini Senegal.

  • Mkutano wa kwanza wa Qur'ani wafunguliwa Senegal

    Mkutano wa kwanza wa Qur'ani wafunguliwa Senegal

    Mar 17, 2016 04:41

    Mkutano wa kwanza wa Qur'ani huko magharibi mwa Afrika umefunguliwa nchini Senegal.

  • Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Mar 16, 2016 23:25

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine imesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS