-
Rouhani: Iran inafadhilisha kuwa na uhusiano mzuri na nchi za Afrika
May 03, 2016 23:36Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili linafadhilisha kuwa na mahusiano mazuri na nchi za Afrika ikiwemo Togo.
-
Tahadhari kuhusu kutoweka utajiri wa Afrika
May 03, 2016 02:28Rais wa zamani wa Afrika Kusini ameonya kuhusu bara la Afrika kupata hasara ya mabilioni ya dola kutokana na utajiri wa Afrika kuondolewa kinyume cha sheria barani humo.
-
Wito wa kuwepo azma ya kupambana na makundi ya kigaidi Afrika
Apr 28, 2016 10:44Mkuu wa kikosi cha Kiafrika cha kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram amezitaka nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya kundi hilo kuzidisha azma ya kukabiliana na ugaidi.
-
WHO: Malaria itaangamizwa kabisa Afrika hadi mwaka 2020
Apr 25, 2016 10:36Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kuna uwezekano ugonjwa wa malaria utaangamizwa kabisa ifikapo mwaka 2020.
-
Kulaaniwa na Umoja wa Afrika mashambulizi ya watu wenye silaha nchini Ethiopia
Apr 19, 2016 22:14Umoja wa Afrika AU umelaani vikali mashambulizi ya watu wenye silaha katika mpaka wa Ethiopia na Sudan Kusini.
-
Makubaliano ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika
Mar 26, 2016 08:45Mawaziri wa Ulinzi na viongozi wa ngazi ya juu wa nchi 27 za Kiarabu na Kiafrika jana Ijumaa walifikia makubaliano katika mkutano uliofanyika Sharam-Sheikh nchini Misri kuhusu kuimarisha ushirikiano baina yao katika vita dhidi ya ugaidi.
-
Waasi Sudan wakataa makubaliano ya amani
Mar 25, 2016 11:21Makundi ya wanamgambo wenye silaha Sudan bado hayataki kukubali makubaliano ya amani yaliyosimamiwa na Umoja wa Afrika huku serikali ya Sudan ikisisitiza makubaliano hayo ni ya mwisho na hayawezi kubadilishwa.
-
Chaguzi sita zafanyika Afrika leo
Mar 20, 2016 12:39Leo kumekuwa na upigaji kurakatika nchi sita za Afrika yaani nchini Kongo Brazzaville, Benin, Niger, Cape Verde, Visiwani Zanzibar nchini Tanzania na kura ya maoni nchini Senegal.
-
Mkutano wa kwanza wa Qur'ani wafunguliwa Senegal
Mar 17, 2016 04:41Mkutano wa kwanza wa Qur'ani huko magharibi mwa Afrika umefunguliwa nchini Senegal.
-
Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika
Mar 16, 2016 23:25Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine imesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika.