-
Mamia ya raia wa Nigeria warejea nyumbani kutoka Afrika Kusini, Xenophobia yaendela kuchoche ghasia
Sep 12, 2019 02:31Mamia ya raia wa Nigeria waondoka nchini Afrika Kusini na kureje nchini kwao wiki moja baada ya kushadidi ghasia na mauaji yanayowalenga raia wa kigeni hususan Waafrika wanaoishi nchini humo.
-
Mamia ya raia wa Nigeria wanaoishi Afrika Kusini kurejeshwa nyumbani
Sep 10, 2019 03:11Serikali ya Nigeria inatazamiwa kuanza kuwarejesha nyumbani mamia ya raia wake wanaoishi nchini Afrika Kusini, kufuatia wimbi la ghasia na mashambulizi yaliowalenga wageni katika nchi hizo mbili.
-
Nigeria kumrudisha nyumbani balozi wake baada ya Afrika Kusini kufunga balozi zake nchini Nigeria
Sep 05, 2019 21:58Mgogoro wa kidiplomasia umezuka baina ya Afrika Kusini na Nigeria baada ya magenge ya watu kushambulia wageni huko Afrika Kusini, na matokeo yake wananchi wa Nigeria nao kushambulia vituo vya biashara vinavyomilikiwa na raia wa Afrika Kusini nchini mwao.
-
Afrika Kusini yakiri: "Afrophobia" inahusika katika hujuma zinazowalenga raia wa kigeni
Sep 05, 2019 08:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa tabia ya kujichukulia sheria mkononi dhdi ya raia wa nchi nyingine za Afrika wanaoishi nchini humo ni moja kati ya sababu za mashambulizi na hujuma zinazowalenga wafanyabiashara wa nchi za kigeni katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.
-
Wanigeria wenye hasira walipiza kisasi, wapora maduka ya Waafrika Kusini
Sep 05, 2019 00:09Mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni huko Johannesburg, Afrika Kusini yameibua hasira kote barani Afrika ambapo maduka yanayomilikiwa na mashirika ya Afrika Kusini yameporwa nchini Nigeria.
-
Watanzania waandamana mbele ya ubalozi wa A. Kusini, wataka ndege ya ATCL irejeshwe
Aug 28, 2019 07:52Umati wa watu umeandamana leo nje ya ofisi za ubalozi wa Afrika Kusini jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, wakishinikiza mahakama ya nchi hiyo iachie huru ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) inayoshikiliwa nchini Afrika Kusini kufuatia kesi ya fidia inayomhusu mtu ajulikanaye kama Hermanus Steyn wa nchi hiyo na Serikali ya Tanzania.
-
Afrika Kusini yapiga marufuku bendera ya zama za utawala wa ubaguzi wa rangi
Aug 21, 2019 20:42Mahakama moja nchini Afrika Kusini imetoa hukumu ya kupiga marufuku kuonyeshwa hadharani bendera ya utawala uliopinduliwa wa ubaguzi wa rangi (apartheid) nchini humo.
-
Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande zote na Afrika Kusini
Aug 15, 2019 02:46Akizungumza na Balozi iwa Afrika Kusini mjini Tehran, Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande zote na nchi za bara la Afrika na khususan Afrika Kusini.
-
Chama tawala nchini Afrika Kusini chalaani mashambulio dhidi ya polisi mjini Johannesburg
Aug 04, 2019 03:19Viongozi wa chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC wamelaani mashambulio ya wafanyabiashara ndogo ndogo wa kigeni dhidi ya polisi katika mji wa Johannesburg.
-
Jacob Zuma: Tuhuma za ufisadi wa fedha ni njama iliiyopangwa dhidi yangu
Jul 15, 2019 23:11Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma amesema kuwa vikao vya kuchunguza tuhuma za ufisadi dhidi yake, ni njama iliyopangwa dhidi yake.