Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Mlipuko wa 'bacteria' waua makumi ya watu nchini Afrika Kusini

    Mlipuko wa 'bacteria' waua makumi ya watu nchini Afrika Kusini

    Dec 06, 2017 04:31

    Kwa akali watu 36 wamepoteza maisha kutoka na mlipuko wa vijidudumaradhi (bacteria) vinavyoathiri chakula nchini Afrika Kusini.

  • Afrika Kusini na Morocco kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia

    Afrika Kusini na Morocco kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia

    Dec 03, 2017 11:03

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema nchi hiyo itafufua uhusiano wa kidiplomasia na Morocco, baada ya kupita zaidi ya muongo mmoja tangu nchi hiyo ya Kiarabu imuondoe balozi wake mjini Pretoria.

  • Mnangagwa arejea Zimbabwe, kuapishwa Ijumaa kumrithi Mugabe

    Mnangagwa arejea Zimbabwe, kuapishwa Ijumaa kumrithi Mugabe

    Nov 22, 2017 13:02

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyepigwa kalamu nyekundu hivi karibuni na Rais Robert Mugabe aliyetangaza kujiuzulu hapo jana amerejea nchini akitokea Afrika Kusini.

  • Dakta Zarif: Wairani wanaoishi nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya Iran

    Dakta Zarif: Wairani wanaoishi nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya Iran

    Oct 25, 2017 01:07

    Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wairani walioko nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya taifa hili.

  • Zarif akutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini, wajadili uhusiano wa pande mbili

    Zarif akutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini, wajadili uhusiano wa pande mbili

    Oct 24, 2017 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini mjini Pretoria.

  • Iran na Afrika Kusini zaafikiana kuendelea kuimarisha uhusiano

    Iran na Afrika Kusini zaafikiana kuendelea kuimarisha uhusiano

    Oct 23, 2017 10:28

    Afrika Kusini na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeafikiana kuhusu kuimarisha uhusiano wa nchi mbili katika sekta mbali mbali.

  • Safari ya Zarif barani Afrika, hatua nyingine ya kustawisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi

    Safari ya Zarif barani Afrika, hatua nyingine ya kustawisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi

    Oct 23, 2017 04:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Muhammad Javad Zarif jana Jumapili aliwasili nchini Afrika Kusini akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi kwa shabaha ya kufanya mazungumzo na viongozi wa serikali ya Pretoria.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran yuko safarini Afrika Kusini

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran yuko safarini Afrika Kusini

    Oct 22, 2017 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif leo amewasili Afrika Kusini katika safari yake ya kuzitimbelea nchi kadhaa za bara Afrika.

  • Mahakama ya Juu Afrika Kusini yaidhinisha kufunguliwa tena mashtaka 783 ya ufisadi dhidi ya Rais Zuma

    Mahakama ya Juu Afrika Kusini yaidhinisha kufunguliwa tena mashtaka 783 ya ufisadi dhidi ya Rais Zuma

    Oct 14, 2017 11:58

    Mahakama ya Juu ya Rufaa nchini Afrika Kusini imeidhinisha kufunguliwa tena mashtaka yapatayo 800 ya ufisadi yaliyokuwa yakimkabili rais wa nchi hiyo Jacob Zuma kabla ya kuwa rais. Mashtaka hayo ya ufisadi yanahusu mkataba wenye thamani ya randi bilion 30, sawa na dola bilioni mbili wa mauzo ya silaha yaliyoihusisha serikali ambayo yalifanyika mwishoni mwa miaka ya 90.

  • Iran na Afrika Kusini zaafikiana kuongeza ushirikiano wa mawasiliano na teknolojia ya habari

    Iran na Afrika Kusini zaafikiana kuongeza ushirikiano wa mawasiliano na teknolojia ya habari

    Sep 27, 2017 10:48

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zimekubaliana kuongeza kiwango cha ushirikiano wao katika uga wa mawasiliano na teknolojia ya habari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS