-
Machar: Nataka kukutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini
Oct 17, 2016 00:59Makamu wa rais wa zamani na kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini amesema anataka kuonana ana kwa ana na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ili amueleze 'mambo nyeti' juu ya mgogoro wa kisiasa na mapigano yanayoendelea katika nchi yake.
-
Maandamano ya wanachuo Afrika Kusini yashika kasi; polisi yaendelea kukabiliana nayo
Oct 10, 2016 10:49Maandamano ya wanachuo nchini Afrika Kusini yanaripotiwa kuongezeka baada ya baadhi ya vyuo kufunguliwa.
-
Iran na Afrika Kusini zaendeleza mashauriano ili kuimarisha uhusiano
Sep 28, 2016 03:58Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zinaendeleza mashauriano kati yao ili kufuatilia kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyanja mbalimbali, khususan kisiasa na kiuchumi.
-
Rais Jacob Zuma: Afrika Kusini imeazimia kufikia ustawi wa kudumu
Sep 21, 2016 10:42Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema kuwa, nchi yake imeazimia kufikia malengo ya ustawi wa kudumu.
-
Waislamu Afrika Kusini wavunjiwa heshima
Sep 16, 2016 09:56Wananchi wa mji wa Tshwane nchini Afrika Kusini wamebainisha hasira zao baada ya kupatikana maandishi ukutani yenye kuwavunjia heshima Waislamu.
-
Operesheni ya kuwaokoa wachimba mgodi Afrika Kusini yaendelea
Sep 12, 2016 11:42Kikosi cha uokozi nchini Afrika Kusini, kimeendelea na shughuli za kuwaokoa wachimba madini waliokwama katika mgodi wa Langlaagte kwa siku kadhaa sasa.
-
Maandamano dhidi ya Zuma mbele ya makao makuu ya ANC
Sep 05, 2016 09:42Wanachama wa chama tawala nchini Afrika Kusini (ANC) leo Jumatatu wamepiga nara na shaari nje ya makao makuu ya chama hicho wakimtaka Rais Jacob Zuma ajiuzulu.
-
Afrika Kusini yasisitiza mapambano dhidi ya ugaidi
Aug 23, 2016 03:13Rais wa Afrika Kusini amesisitiza kuunga mkono juhudi za mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Kupungua ushawishi wa chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini
Aug 13, 2016 03:18Matokeo ya kura za uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini zilizohesabiwa hadi sasa yanaonesha kupungua ushawishi wa chama tawala cha ANC nchini humo.
-
Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Afrika Kusini waitisha mgomo
Aug 12, 2016 00:19Wafanyakazi wa Shirika la Umeme nchini Afrika Kusini wametoa wito wa kuendeleza mgomo wa wafanyakazi wote wa shirika hilo kwa lengo la kushinikiza kuongezewa mshahara wao.