-
ANC yapigwa mweleka katika mji mkuu Pretoria
Aug 06, 2016 09:38Chama tawala nchini Afrika Kusini cha Congresi ya Taifa (ANC) kimepigwa mweleka wa kihistoria na chama cha upinzani cha Muungano wa Demokrasia (DA) katika uchaguzi wa mabaraza ya miji huko Tshwane ambayo yanahesabika kuwa makao makuu ya Pretoria mji mkuu wa uendeshaji.
-
Afrika Kusini yatangaza utayari wa kusimamia mazungumzo ya maridhiano ya kitaifa ya Palestina
Jul 31, 2016 03:09Afrika Kusini imetangaza kuwa iko tayari kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya kufikia maridhiano ya kitaifa baina ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) na harakati ya Fat-h.
-
25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini
Jul 28, 2016 11:00Watu wasiopungua 25 wameuawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.
-
Mtandao wa magidi wasambaratishwa A. Kusini
Jul 11, 2016 23:15Vyombo vya usalama nchini Afrika Kusini vimetangaza kuwa vimefanikiwa kuwatia nguvuni washukiwa wanne wa ugaidi katika operesheni maalumu iliyofanywa nchini humo.
-
Rufaa ya Zuma kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake yakataliwa
Jun 24, 2016 10:14Mahakama Kuu mjini Pretoria nchini Afrika Kusini imetupilia mbali rufaa ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ya kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi wa kifedha dhidi yake, hatua ambayo ni pigo kwa rais huyo ambaye anakabiliwa na mashinikizo ya kujiuzulu kutoka viongozi wa upinzani.
-
Machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini
Jun 23, 2016 03:00Machafuko na ghasia zimeripotiwa kupamba moto katika kipindi hiki cha kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.
-
Machafuko yaongezeka Afrika Kusini kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji
Jun 23, 2016 00:16Machafuko yameongezeka nchini Afrika Kusini sanjari na kukaribia uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini humo.
-
Zuma akata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake
Jun 10, 2016 09:36Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amekata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuagiza kufufuliwa kesi zaidi ya 700 za ufisadi wa kifedha dhidi yake.
-
Baada ya Marekani, UK nayo yatahadharisha shambulio la kigaidi Afrika Kusini
Jun 07, 2016 09:57Serikali ya Uingereza imeitahadharisha Afrika Kusini juu ya uwezekano wa kujiri shambulio la kigaidi dhidi ya watalii wa kigeni nchini humo.
-
Afrika Kusini: Tahadhari ya Marekani haina msingi wowote
Jun 06, 2016 22:59Waziri wa Usalama nchini Afrika Kusini, David Mahlobo amesema kuwa, tahadhari ya kuwepo uwezekano wa kujiri hujuma ya kigaidi nchini humo ambayo imetolewa na serikali ya Marekani, haina msingi wowote.