Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • ANC yapigwa mweleka katika mji mkuu Pretoria

    ANC yapigwa mweleka katika mji mkuu Pretoria

    Aug 06, 2016 09:38

    Chama tawala nchini Afrika Kusini cha Congresi ya Taifa (ANC) kimepigwa mweleka wa kihistoria na chama cha upinzani cha Muungano wa Demokrasia (DA) katika uchaguzi wa mabaraza ya miji huko Tshwane ambayo yanahesabika kuwa makao makuu ya Pretoria mji mkuu wa uendeshaji.

  • Afrika Kusini yatangaza utayari wa kusimamia mazungumzo ya maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Afrika Kusini yatangaza utayari wa kusimamia mazungumzo ya maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Jul 31, 2016 03:09

    Afrika Kusini imetangaza kuwa iko tayari kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya kufikia maridhiano ya kitaifa baina ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) na harakati ya Fat-h.

  • 25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Jul 28, 2016 11:00

    Watu wasiopungua 25 wameuawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.

  • Mtandao wa magidi wasambaratishwa A. Kusini

    Mtandao wa magidi wasambaratishwa A. Kusini

    Jul 11, 2016 23:15

    Vyombo vya usalama nchini Afrika Kusini vimetangaza kuwa vimefanikiwa kuwatia nguvuni washukiwa wanne wa ugaidi katika operesheni maalumu iliyofanywa nchini humo.

  • Rufaa ya Zuma kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake yakataliwa

    Rufaa ya Zuma kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake yakataliwa

    Jun 24, 2016 10:14

    Mahakama Kuu mjini Pretoria nchini Afrika Kusini imetupilia mbali rufaa ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ya kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi wa kifedha dhidi yake, hatua ambayo ni pigo kwa rais huyo ambaye anakabiliwa na mashinikizo ya kujiuzulu kutoka viongozi wa upinzani.

  • Machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Jun 23, 2016 03:00

    Machafuko na ghasia zimeripotiwa kupamba moto katika kipindi hiki cha kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.

  • Machafuko yaongezeka Afrika Kusini kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji

    Machafuko yaongezeka Afrika Kusini kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji

    Jun 23, 2016 00:16

    Machafuko yameongezeka nchini Afrika Kusini sanjari na kukaribia uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini humo.

  • Zuma akata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake

    Zuma akata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake

    Jun 10, 2016 09:36

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amekata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuagiza kufufuliwa kesi zaidi ya 700 za ufisadi wa kifedha dhidi yake.

  • Baada ya Marekani, UK nayo yatahadharisha shambulio la kigaidi Afrika Kusini

    Baada ya Marekani, UK nayo yatahadharisha shambulio la kigaidi Afrika Kusini

    Jun 07, 2016 09:57

    Serikali ya Uingereza imeitahadharisha Afrika Kusini juu ya uwezekano wa kujiri shambulio la kigaidi dhidi ya watalii wa kigeni nchini humo.

  • Afrika Kusini: Tahadhari ya Marekani haina msingi wowote

    Afrika Kusini: Tahadhari ya Marekani haina msingi wowote

    Jun 06, 2016 22:59

    Waziri wa Usalama nchini Afrika Kusini, David Mahlobo amesema kuwa, tahadhari ya kuwepo uwezekano wa kujiri hujuma ya kigaidi nchini humo ambayo imetolewa na serikali ya Marekani, haina msingi wowote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS