Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Binti wa Desmond Tutu avuliwa Ukasisi kwa kuoa mwanamke mwenzake

    Binti wa Desmond Tutu avuliwa Ukasisi kwa kuoa mwanamke mwenzake

    May 24, 2016 23:36

    Binti wa Desmond Tutu, kiongozi mashuhuri wa Kikristo wa Afrika Kusini amevuliwa joho la Ukasisi baada ya kuoa mwanamke mwenzake.

  • Rais wa Afrika Kusini akata rufaa juu ya kesi za ufisadi dhidi yake

    Rais wa Afrika Kusini akata rufaa juu ya kesi za ufisadi dhidi yake

    May 24, 2016 11:50

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ametangaza kuwa atakata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi wa kifedha dhidi yake.

  • Tanzania, Kenya na Afrika Kusini zaanza kununua gesi asilia ya Iran

    Tanzania, Kenya na Afrika Kusini zaanza kununua gesi asilia ya Iran

    May 22, 2016 23:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza kuziuzia nchi za Afrika Kusini, Kenya na Tanzania gesi asilia oevu (LNG).

  • Wabunge wa upinzani Afrika Kusini waburutwa nje ya Bunge kwa kuzuia hotuba ya Zuma

    Wabunge wa upinzani Afrika Kusini waburutwa nje ya Bunge kwa kuzuia hotuba ya Zuma

    May 17, 2016 10:07

    Kwa mara nyingine tena, Bunge la Afrika Kusini limegeuka na kuwa ukumbi wa mieleka na malumbano kufuatia hatua ya wabunge wa upinzani kuzusha fujo kwa lengo la kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • CIA ilitoa taarifa zilizopelekea kukamatwa Shujaa Mandela mwaka 1962 huko Durban

    CIA ilitoa taarifa zilizopelekea kukamatwa Shujaa Mandela mwaka 1962 huko Durban

    May 15, 2016 23:27

    Hayati Shujaa Nelson Mandela wa Afrika Kusini alikamatwa na utawala wa makaburu mwaka 1962 kufuatia taarifa za siri zilizotolewa na shirika kuu la kijasusi la Marekani, CIA.

  • Mkuu wa zamani wa polisi Afrika Kusini asailiwa

    Mkuu wa zamani wa polisi Afrika Kusini asailiwa

    May 08, 2016 03:03

    Tume ya uchunguzi wa mauaji ya mwaka 2012 katika kijiji cha Marikana nchini Afrika Kusini imemsaili mkuu wa zamani wa polisi wa nchi hiyo.

  • Wapinzani wa Afrika Kusini wasusia kikao cha bunge

    Wapinzani wa Afrika Kusini wasusia kikao cha bunge

    May 06, 2016 08:33

    Wabunge wa vyama vya upinzani jana Alkhamisi walikataa kuhudhuria kikao cha bunge. Siku ya Jumatano wabunge wa chama cha Economic Freedom Fighters walifukuzwa bungeni kutokana na kuvuruga shughuli za bunge.

  • Waandamanaji wenye hasira nchini Afrika Kusini wachoma shule 13

    Waandamanaji wenye hasira nchini Afrika Kusini wachoma shule 13

    May 05, 2016 09:42

    Waandamanaji wenye hasira wameteketeza shule 13 katika mkoa wa kaskazini mwa Afrika Kusini.

  • Wabunge wa Afrika Kusini watandikana juu ya hotuba ya Zuma

    Wabunge wa Afrika Kusini watandikana juu ya hotuba ya Zuma

    May 04, 2016 22:16

    Bunge la Afrika Kusini jana Jumatano liligeuka na kuwa ukumbi wa mieleka huku wabunge wa upinzani wakizusha fujo kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma juu ya bajeti.

  • Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji

    Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji

    May 03, 2016 23:53

    Afrika Kusini na Zimbabwe zimewarejesha nyumbani raia 197 wa Msumbiji. Hayo yamesemwa na Idhaa ya Taifa ya Msumbuji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS