Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika ya Kati

  • Iran na Afrika ya Kati kuimarisha ushirikiano wa sekta ya madini

    Iran na Afrika ya Kati kuimarisha ushirikiano wa sekta ya madini

    May 02, 2024 02:37

    Waziri wa Biashara Ndogo na za Kati wa Afrika ya Kati ametangaza utayarifu wa nchi yake wa kushirikiana kikamilifu na Iran katika uchimbaji madini.

  • UN yaunga mkono usitishaji vita kati ya Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati na waasi

    UN yaunga mkono usitishaji vita kati ya Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati na waasi

    Oct 17, 2021 07:55

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa jana alitangaza kuwa anakaribisha usitishaji vita uliofikiwa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati na Rais wa nchi hiyo Faustin-Archange Touadera na makundi ya waasi.

  • Makundi ya waasi yateka mji wa  Bakouma, Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Makundi ya waasi yateka mji wa Bakouma, Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jan 02, 2019 02:49

    Makundi ya waasi yameteka na kudhibiti mji wa Bakouma huko kusini mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Watu 9 wauawa katika machafuko mapya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Watu 9 wauawa katika machafuko mapya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Sep 08, 2018 15:17

    Msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati kinachojulikana kwa jina la MINUSCA ametangaza habari ya kuuawa watu 9 katika shambulio la kulipiza kisasi lililotokea mjini Bria, katikati mwa nchi hiyo.

  • Pande hasimu CAR zatia saini makubaliano ya amani Khartoum, Sudan

    Pande hasimu CAR zatia saini makubaliano ya amani Khartoum, Sudan

    Aug 31, 2018 13:56

    Makundi ya kisiasa na wanamgambo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wamesaini makubaliano ya amani katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum.

  • Baraza la Usalama la UN lataka kusitishwa mapigano CAR

    Baraza la Usalama la UN lataka kusitishwa mapigano CAR

    Jul 14, 2018 07:47

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine limetoa wito wa kusitishwa mapigano ya ndani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Mapigano yaendelea Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mapigano yaendelea Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 23, 2018 07:51

    Mapigano ya ndani ya hivi karibuni katika Jamhuri ya Afrika ya Kati yamepelekea kuuawa na kujeruhiwa watu wengi nchini humo.

  • Rais wa CAR: Hujuma dhidi ya kanisa ni njama za kuzusha vita vya kidini nchini

    Rais wa CAR: Hujuma dhidi ya kanisa ni njama za kuzusha vita vya kidini nchini

    May 03, 2018 14:57

    Rais Faustin-Archange Touadéra wa Jamhuri ya Afrika ya Kati sambamba na kulaani mapigano ya hivi karibuni mjini Bangui, ametangaza pia maombolezo ya siku tatu nchini.

  • Watu 24 wauawa katika machafuko mapya Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Watu 24 wauawa katika machafuko mapya Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 03, 2018 04:37

    Watu wasiopungua 24 wanaripotiwa kuuawa katika mapigano mapya yaliyozuka katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui na makumi ya wengine kujeruhiwa.

  • Watu 15 wauawa katika shambulio dhidi ya kanisa Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Watu 15 wauawa katika shambulio dhidi ya kanisa Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 02, 2018 03:44

    Watu wasiopungua 15 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio lililofanywa na watu wasiojulikana katika kanisa moja huko Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS