-
Iran na Afrika ya Kati kuimarisha ushirikiano wa sekta ya madini
May 02, 2024 02:37Waziri wa Biashara Ndogo na za Kati wa Afrika ya Kati ametangaza utayarifu wa nchi yake wa kushirikiana kikamilifu na Iran katika uchimbaji madini.
-
UN yaunga mkono usitishaji vita kati ya Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati na waasi
Oct 17, 2021 07:55Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa jana alitangaza kuwa anakaribisha usitishaji vita uliofikiwa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati na Rais wa nchi hiyo Faustin-Archange Touadera na makundi ya waasi.
-
Makundi ya waasi yateka mji wa Bakouma, Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jan 02, 2019 02:49Makundi ya waasi yameteka na kudhibiti mji wa Bakouma huko kusini mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Watu 9 wauawa katika machafuko mapya Jamhuri ya Afrika ya Kati
Sep 08, 2018 15:17Msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati kinachojulikana kwa jina la MINUSCA ametangaza habari ya kuuawa watu 9 katika shambulio la kulipiza kisasi lililotokea mjini Bria, katikati mwa nchi hiyo.
-
Pande hasimu CAR zatia saini makubaliano ya amani Khartoum, Sudan
Aug 31, 2018 13:56Makundi ya kisiasa na wanamgambo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wamesaini makubaliano ya amani katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum.
-
Baraza la Usalama la UN lataka kusitishwa mapigano CAR
Jul 14, 2018 07:47Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine limetoa wito wa kusitishwa mapigano ya ndani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Mapigano yaendelea Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jun 23, 2018 07:51Mapigano ya ndani ya hivi karibuni katika Jamhuri ya Afrika ya Kati yamepelekea kuuawa na kujeruhiwa watu wengi nchini humo.
-
Rais wa CAR: Hujuma dhidi ya kanisa ni njama za kuzusha vita vya kidini nchini
May 03, 2018 14:57Rais Faustin-Archange Touadéra wa Jamhuri ya Afrika ya Kati sambamba na kulaani mapigano ya hivi karibuni mjini Bangui, ametangaza pia maombolezo ya siku tatu nchini.
-
Watu 24 wauawa katika machafuko mapya Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati
May 03, 2018 04:37Watu wasiopungua 24 wanaripotiwa kuuawa katika mapigano mapya yaliyozuka katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
Watu 15 wauawa katika shambulio dhidi ya kanisa Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati
May 02, 2018 03:44Watu wasiopungua 15 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio lililofanywa na watu wasiojulikana katika kanisa moja huko Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.