Sep 08, 2018 15:17
Msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati kinachojulikana kwa jina la MINUSCA ametangaza habari ya kuuawa watu 9 katika shambulio la kulipiza kisasi lililotokea mjini Bria, katikati mwa nchi hiyo.