Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

afya

  • Togo yathibitisha kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Mpox

    Togo yathibitisha kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Mpox

    May 17, 2025 11:00

    Togo imethibitisha kesi ya kwanza ya Mpox nchini humo, Wizara ya Afya na Usafi wa Umma ya nchi hiyo imetangaza katika taarifa.

  • Tanzania yatangaza kumalizika mlipuko wa Marburg

    Tanzania yatangaza kumalizika mlipuko wa Marburg

    Mar 14, 2025 02:29

    Tanzania jana Alkhamisi ilitangaza mwisho wa mlipuko wa virusi vya Marburg, kwani hakuna kesi yoyote mpya iliyoripotiwa nchini humo katika kipindi cha siku 42.

  • WHO: Uganda imeripoti kifo kingine cha Ebola

    WHO: Uganda imeripoti kifo kingine cha Ebola

    Mar 02, 2025 12:26

    Shirika la Afya Duniani WHO likinukuu Wizara ya Afya ya Uganda limesema mgonjwa wa pili wa Ebola amefariki dunia katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Rwanda yazindua kampeni ya chanjo ya Marburg

    Rwanda yazindua kampeni ya chanjo ya Marburg

    Oct 07, 2024 02:20

    Rwanda imeanza kutoa dozi za chanjo ya virusi vya Marburg ili kujaribu kudhibiti mripuko wa ugonjwa huo unaofanana na Ebola katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Maambukizo ya ugonjwa wa Mpox yaongezeka nchini Uganda

    Maambukizo ya ugonjwa wa Mpox yaongezeka nchini Uganda

    Sep 15, 2024 07:27

    Idadi ya wagonjwa nchini Uganda walioambukizwa aina mpya ya virusi vya Mpox imeongezeka hadi 11, huku afisa mkuu wa afya akiripoti kuwa hakuna vifo vilivyosababishwa na maradhi hayo kufikia jana Jumamosi nchini humo.

  • Mripuko wa kipindupindu waua makumi ya watu nchini Nigeria

    Mripuko wa kipindupindu waua makumi ya watu nchini Nigeria

    Jun 21, 2024 02:45

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa kipindupindu katika jimbo la Lagos, kusini magharibi mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 21.

  • Zimbabwe yatangaza 'hali ya dharura' Harare kutokana na kipindupindu

    Zimbabwe yatangaza 'hali ya dharura' Harare kutokana na kipindupindu

    Nov 18, 2023 03:48

    Zimbabwe imetangaza hali ya dharura katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare, kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambo umeua makumi ya watu, mbali na maelfu ya wengine kupata maambukizi.

  • WHO: Dunia iisaidie Tanzania kukabili Marburg; kesi mpya zaripotiwa E.Guinea

    WHO: Dunia iisaidie Tanzania kukabili Marburg; kesi mpya zaripotiwa E.Guinea

    Mar 24, 2023 07:15

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na kuiunga mkono Tanzania katika kupambana na mripuko wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Marburg.

  • WHO: Nchi 37 za Afrika zinakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya

    WHO: Nchi 37 za Afrika zinakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya

    Mar 15, 2023 12:11

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema nchi 37 za bara Afrika zinakabiliwa na hatari kutokana na uhaba wa wahudumu wa afya.

  • WHO: Nchi nyingi hazina sera za kudhibiti matumizi makubwa ya chumvi

    WHO: Nchi nyingi hazina sera za kudhibiti matumizi makubwa ya chumvi

    Mar 10, 2023 07:05

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuwa, karibu robo tatu ya nchi wanachama wa taasisi hiyo hazina sera za kupunguza kwa lazima matumizi ya juu ya chumvi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS