-
Mripuko wa homa ya Bonde la Ufa waua watu 33 Senegal, Mauritania
Oct 17, 2025 07:17Watu wasiopungua 33 wamefariki dunia kutokana na homa ya Bonde la Ufa nchini Senegal na Mauritania tangu kuzuka kwa mripuko wa homa hiyo nadra mwishoni mwa Septemba, afisa wa Vituo vya Afrika vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) alisema hayo jana Alkhamisi.
-
Ripoti: Mripuko wa kipindupindu umeua watu 113 nchini Chad
Sep 06, 2025 11:36Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mripuko wa kipindupindu nchini Chad tangu mwezi Julai mwaka huu mpaka sasa imefikia 113.
-
Togo yathibitisha kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Mpox
May 17, 2025 11:00Togo imethibitisha kesi ya kwanza ya Mpox nchini humo, Wizara ya Afya na Usafi wa Umma ya nchi hiyo imetangaza katika taarifa.
-
Tanzania yatangaza kumalizika mlipuko wa Marburg
Mar 14, 2025 02:29Tanzania jana Alkhamisi ilitangaza mwisho wa mlipuko wa virusi vya Marburg, kwani hakuna kesi yoyote mpya iliyoripotiwa nchini humo katika kipindi cha siku 42.
-
WHO: Uganda imeripoti kifo kingine cha Ebola
Mar 02, 2025 12:26Shirika la Afya Duniani WHO likinukuu Wizara ya Afya ya Uganda limesema mgonjwa wa pili wa Ebola amefariki dunia katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Rwanda yazindua kampeni ya chanjo ya Marburg
Oct 07, 2024 02:20Rwanda imeanza kutoa dozi za chanjo ya virusi vya Marburg ili kujaribu kudhibiti mripuko wa ugonjwa huo unaofanana na Ebola katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Maambukizo ya ugonjwa wa Mpox yaongezeka nchini Uganda
Sep 15, 2024 07:27Idadi ya wagonjwa nchini Uganda walioambukizwa aina mpya ya virusi vya Mpox imeongezeka hadi 11, huku afisa mkuu wa afya akiripoti kuwa hakuna vifo vilivyosababishwa na maradhi hayo kufikia jana Jumamosi nchini humo.
-
Mripuko wa kipindupindu waua makumi ya watu nchini Nigeria
Jun 21, 2024 02:45Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa kipindupindu katika jimbo la Lagos, kusini magharibi mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 21.
-
Zimbabwe yatangaza 'hali ya dharura' Harare kutokana na kipindupindu
Nov 18, 2023 03:48Zimbabwe imetangaza hali ya dharura katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare, kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambo umeua makumi ya watu, mbali na maelfu ya wengine kupata maambukizi.
-
WHO: Dunia iisaidie Tanzania kukabili Marburg; kesi mpya zaripotiwa E.Guinea
Mar 24, 2023 07:15Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na kuiunga mkono Tanzania katika kupambana na mripuko wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Marburg.