-
Tanzania yatangaza kumalizika mlipuko wa Marburg
Mar 14, 2025 02:29Tanzania jana Alkhamisi ilitangaza mwisho wa mlipuko wa virusi vya Marburg, kwani hakuna kesi yoyote mpya iliyoripotiwa nchini humo katika kipindi cha siku 42.
-
WHO: Uganda imeripoti kifo kingine cha Ebola
Mar 02, 2025 12:26Shirika la Afya Duniani WHO likinukuu Wizara ya Afya ya Uganda limesema mgonjwa wa pili wa Ebola amefariki dunia katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Rwanda yazindua kampeni ya chanjo ya Marburg
Oct 07, 2024 02:20Rwanda imeanza kutoa dozi za chanjo ya virusi vya Marburg ili kujaribu kudhibiti mripuko wa ugonjwa huo unaofanana na Ebola katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Maambukizo ya ugonjwa wa Mpox yaongezeka nchini Uganda
Sep 15, 2024 07:27Idadi ya wagonjwa nchini Uganda walioambukizwa aina mpya ya virusi vya Mpox imeongezeka hadi 11, huku afisa mkuu wa afya akiripoti kuwa hakuna vifo vilivyosababishwa na maradhi hayo kufikia jana Jumamosi nchini humo.
-
Mripuko wa kipindupindu waua makumi ya watu nchini Nigeria
Jun 21, 2024 02:45Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa kipindupindu katika jimbo la Lagos, kusini magharibi mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 21.
-
Zimbabwe yatangaza 'hali ya dharura' Harare kutokana na kipindupindu
Nov 18, 2023 03:48Zimbabwe imetangaza hali ya dharura katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare, kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambo umeua makumi ya watu, mbali na maelfu ya wengine kupata maambukizi.
-
WHO: Dunia iisaidie Tanzania kukabili Marburg; kesi mpya zaripotiwa E.Guinea
Mar 24, 2023 07:15Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na kuiunga mkono Tanzania katika kupambana na mripuko wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Marburg.
-
WHO: Nchi 37 za Afrika zinakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya
Mar 15, 2023 12:11Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema nchi 37 za bara Afrika zinakabiliwa na hatari kutokana na uhaba wa wahudumu wa afya.
-
WHO: Nchi nyingi hazina sera za kudhibiti matumizi makubwa ya chumvi
Mar 10, 2023 07:05Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuwa, karibu robo tatu ya nchi wanachama wa taasisi hiyo hazina sera za kupunguza kwa lazima matumizi ya juu ya chumvi.
-
UN yashtushwa na ongezeko la utapiamlo miongoni mwa wajawazito Afrika
Mar 08, 2023 09:47Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuhusu ongezeko la kutisha la kesi za utapiamlo mkali miongoni mwa wanawake wajawazito hususan katika nchi za Afrika.