-
Jeshi la Iran latoa ripoti ya awali kuhusu ajali ya helikopta iliyopelekea kufa shahidi Raisi
May 24, 2024 07:48Kamandi Kuu ya Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema uchunguzi wao wa awali umebaini kuwa, hakuna kitu chochote kisichokuwa cha kawaida kinachoweza kuhusishwa na ajali ya helikopta iliyotokea Jumapili iliyopita katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa nchi.
-
Ajali mbaya ya barabarani yaua watu 40 nchini Pakistan
Jan 29, 2023 13:19Kwa akali watu 40 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya basi iliyotokea huko kusini magharibi mwa Pakistan.
-
Ajali zaua watu 145 nchini Kenya ndani ya wiki moja
Oct 01, 2022 06:08Watu wasiopungua 145 wamepoteza maisha katika matukio tofauti ya ajali za barabarani nchini Kenya ndani ya siku saba zilizopita.
-
Ajali za barabarani zaua watu 25 Tanzania ndani ya saa 24
Jun 11, 2022 11:18Watu watano wamepoteza maisha na wengine tisa wamejeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Coaster waliyokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka nchini Tanzania.
-
Watu 60 waaga dunia katika ajali ya treni Kongo DR
Mar 13, 2022 03:25Kwa akali watu 60 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya treni iliyotokea katika mkoa wa Lualaba, kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Treni hiyo ilikuwa ikitokea mji wa Mueneditu ikielekea Lubumbashi.
-
Ajali mbaya ya barabarani yaua watu 45 nchini Bulgaria
Nov 23, 2021 07:30Makumi ya watu wameuawa katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea kusini mwa mji mkuu wa Bulgaria, Sofia.
-
Makumi wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kongo DR
Aug 03, 2021 03:16Makumi ya watu wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea huko magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Ajali ya tatu ya treni Misri katika chini ya mwezi mmoja, mkuu wa Shirika la Reli ajiuzulu
Apr 19, 2021 10:41Mkuu wa Shirika la Reli la Misri amejiuzulu baada ya kutokea ajali ya tatu ya treni nchini humo katika kipindi cha chini ya mwezi mmoja.
-
Indonesia yathibitisha kuanguka baharini ndege iliyokuwa imebeba abiria 62
Jan 10, 2021 08:18Wizara ya Uchukuzi ya Indonesia imethibitisha kuwa, ndege ya abiria ya nchi hiyo ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Jakarta, imeanguka baharini ikiwa na abiria 62 wakiwemo watoto 10.
-
Iran yatoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Pakistan iliyoua 97
May 23, 2020 07:54Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Pakistan kufuatia ajali ya ndege ya abiria ya nchi hiyo iliyoua makumi ya watu.