Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ajali

  • Jeshi la Iran latoa ripoti ya awali kuhusu ajali ya helikopta iliyopelekea kufa shahidi Raisi

    Jeshi la Iran latoa ripoti ya awali kuhusu ajali ya helikopta iliyopelekea kufa shahidi Raisi

    May 24, 2024 07:48

    Kamandi Kuu ya Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema uchunguzi wao wa awali umebaini kuwa, hakuna kitu chochote kisichokuwa cha kawaida kinachoweza kuhusishwa na ajali ya helikopta iliyotokea Jumapili iliyopita katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa nchi.

  • Ajali mbaya ya barabarani yaua watu 40 nchini  Pakistan

    Ajali mbaya ya barabarani yaua watu 40 nchini Pakistan

    Jan 29, 2023 13:19

    Kwa akali watu 40 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya basi iliyotokea huko kusini magharibi mwa Pakistan.

  • Ajali zaua watu 145 nchini Kenya ndani ya wiki moja

    Ajali zaua watu 145 nchini Kenya ndani ya wiki moja

    Oct 01, 2022 06:08

    Watu wasiopungua 145 wamepoteza maisha katika matukio tofauti ya ajali za barabarani nchini Kenya ndani ya siku saba zilizopita.

  • Ajali za barabarani zaua watu 25 Tanzania ndani ya saa 24

    Ajali za barabarani zaua watu 25 Tanzania ndani ya saa 24

    Jun 11, 2022 11:18

    Watu watano wamepoteza maisha na wengine tisa wamejeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Coaster waliyokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka nchini Tanzania.

  • Watu 60 waaga dunia katika ajali ya treni Kongo DR

    Watu 60 waaga dunia katika ajali ya treni Kongo DR

    Mar 13, 2022 03:25

    Kwa akali watu 60 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya treni iliyotokea katika mkoa wa Lualaba, kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Treni hiyo ilikuwa ikitokea mji wa Mueneditu ikielekea Lubumbashi.

  • Ajali mbaya ya barabarani yaua watu 45 nchini Bulgaria

    Ajali mbaya ya barabarani yaua watu 45 nchini Bulgaria

    Nov 23, 2021 07:30

    Makumi ya watu wameuawa katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea kusini mwa mji mkuu wa Bulgaria, Sofia.

  • Makumi wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kongo DR

    Makumi wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kongo DR

    Aug 03, 2021 03:16

    Makumi ya watu wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea huko magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Ajali ya tatu ya treni Misri katika chini ya mwezi mmoja, mkuu wa Shirika la Reli ajiuzulu

    Ajali ya tatu ya treni Misri katika chini ya mwezi mmoja, mkuu wa Shirika la Reli ajiuzulu

    Apr 19, 2021 10:41

    Mkuu wa Shirika la Reli la Misri amejiuzulu baada ya kutokea ajali ya tatu ya treni nchini humo katika kipindi cha chini ya mwezi mmoja.

  • Indonesia yathibitisha kuanguka baharini ndege iliyokuwa imebeba abiria 62

    Indonesia yathibitisha kuanguka baharini ndege iliyokuwa imebeba abiria 62

    Jan 10, 2021 08:18

    Wizara ya Uchukuzi ya Indonesia imethibitisha kuwa, ndege ya abiria ya nchi hiyo ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Jakarta, imeanguka baharini ikiwa na abiria 62 wakiwemo watoto 10.

  • Iran yatoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Pakistan iliyoua 97

    Iran yatoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Pakistan iliyoua 97

    May 23, 2020 07:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Pakistan kufuatia ajali ya ndege ya abiria ya nchi hiyo iliyoua makumi ya watu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS