-
Wafaransa walitumia mifupa ya wapigania uhuru wa Algeria kutengenezea sabuni
Oct 31, 2020 00:30Mshauri wa masuala ya historia wa Rais wa Algeria amefichua jinai ambazo Ufaransa ilitenda nchini humo katika enzi za ukoloni.
-
Waalgeria wahimizwa kuipigia kura katiba mpya ya nchi hiyo
Oct 24, 2020 00:51Wananchi wa Algeria wamehimizwa kuipigia kura ya ndio katiba mpya katika zoezi la kura ya maoni lililopangwa kufanyika Novemba Mosi mwaka huu. Serikali imeitaja kura hiyo ya maoni kuwa msingi wa nchi mpya.
-
Kiongozi wa chama cha Kiislamu Algeria: Ukoloni wa Ufaransa umeyafukarisha mataifa ya Afrika
Oct 18, 2020 11:32Kiongozi wa chama kikubwa zaidi cha Kiislamu nchini Algeria amesema, ukoloni wa Ufaransa umeyafukarisha mataifa ya bara la Afrika.
-
Waalgeria warejea tena mitaani, wataka utawala wa kiraia
Oct 06, 2020 04:41Wananchi wa Algeria walifanya maandamano jana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Algiers na maeneo mengine ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wakiadhimisha miaka 32 ya harakati ya kupigania demokrasia nchini humo na kutoa wito wa mabadiliko ya kisiasa.
-
Rais wa Algeria asisitizia udharura wa kuundwa taifa huru la Palestina
Sep 24, 2020 03:41Kwa mara nyingine tena, Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesisitiza kuwa, nchi yake iko pamoja na wananchi madhulumu wa Palestina na kwamba itaendelea kusimama nao hadi pale watakapofanikiwa katika malengo yao matukufu.
-
Jeshi la Algeria laruhusiwa kuhudumu nje ya mipaka ya nchi hiyo
Sep 08, 2020 21:58Jeshi la Algeria limeruhusiwa kuhudumu nje ya mipaka ya nchi hiyo kufuatia marakebisho yaliyofanyika katika katiba ya nchi hiyo.
-
Algeria: Kuitetea na kuiunga mkono Palestina ni katika sera zetu za nje
Aug 24, 2020 23:01Msemaji wa serikali ya Algeria amesema kusimama na wananchi wa Palestina, kuwatetea na kuwaunga mkono nio katika sera za nje zilizopewa kipaumbele na taifa hilo la Kiarabu la kaskazini mwa Afrika.
-
Jumuiya ya Maulamaa Algeria: Kuanzisha uhusiano na Israel ni haramu
Aug 17, 2020 08:49Jumuiya ya Maulamaa wa Algeria imesema, ni haramu kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Kizayuni wa Israel.
-
Algeria yakosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria
Jul 12, 2020 23:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amekosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria.
-
Rais wa Ageria: Libya itakuwa Somalia mpya barani Afrika
Jul 05, 2020 04:49Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, hali inayoshuhudiwa sasa nchini Libya inafanana na ile ya Syria kutokana na nchi kadhaa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.