Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Jeshi Algeria launga mkono kuanza mazungumzo ya kitaifa

    Jeshi Algeria launga mkono kuanza mazungumzo ya kitaifa

    Jul 11, 2019 06:47

    Kamanda wa jeshi la Algeria ametangaza kuwa anaunga mkono kuanza mazungumzo jumuishi ya kitaifa yatakayosimamiwa na shakhia wanaojitegemea.

  • Wapinzani Algeria waafiki kwa mara ya kwanza mpango wa serikali ya muda

    Wapinzani Algeria waafiki kwa mara ya kwanza mpango wa serikali ya muda

    Jul 07, 2019 02:49

    Wapinzani nchini Algeria wamekubali katika mkutano wa mazungumzo yao ya kitaifa kuhusu mpango wa serikali na kuweka masharti katika uwanja huo.

  • Maandamano ya wananchi wa Algeria yaendelea chini ya ulinzi mkali

    Maandamano ya wananchi wa Algeria yaendelea chini ya ulinzi mkali

    Jul 06, 2019 06:26

    Maelfu ya wananchi wa Algeria wanaendelea na maandamano yao ya nchi nzima chini ya ulinzi mkali kushinikiza kufukuzwa serikalini mabaki yote ya utawala wa Abdulaziz Bouteflika, rais wa nchi hiyo aliyelazimika kujiuzulu kutokana na maandamano makubwa ya wananchi.

  • Maandamano ya wananchi yailazimisha serikali ya Algeria kuunda tume ya mazungumzo ya kitaifa

    Maandamano ya wananchi yailazimisha serikali ya Algeria kuunda tume ya mazungumzo ya kitaifa

    Jul 04, 2019 05:29

    Baada ya kushadidi maandamano makubwa ya wananchi, rais wa muda wa Algeria amesema kuwa, kumeshaandaliwa mazingira ya kuanza mazungumzo ya kitaifa nchini humo.

  • Waziri mkuu wa zamani Algeria afikishwa kizimbani kwa tuhuma za ufisadi

    Waziri mkuu wa zamani Algeria afikishwa kizimbani kwa tuhuma za ufisadi

    Jun 16, 2019 23:57

    Waziri mkuu wa zamani wa Algeria Ahmed Ouyahia amefikishwa mahakamani mjini Algiers Jumapili kusailiwa kuhusu tuhuma za ufisadi unaohusu mshirika mmoja wa Algeria na shirika la Volkswagen la Ujerumani.

  • Wanafunzi Algeria wakataa kufanya mazungumzo na utawala ulioko  madarakani

    Wanafunzi Algeria wakataa kufanya mazungumzo na utawala ulioko madarakani

    Jun 12, 2019 03:04

    Wananfunzi nchini Algeria jana walifanya maandamano katika mitaa mbalimbali ya Algiers mji mkuu wa nchi hiyo na kutangaza kuwa hawatafanya mazungumzo na utawala ulioko madarakani.

  • Maelfu waandamana Algeria wasema ,'Nyote Ondokeni'

    Maelfu waandamana Algeria wasema ,'Nyote Ondokeni'

    Jun 08, 2019 03:11

    Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Algeria, Algiers wakitaka rais wa mpito Abdlekader Bensalah aondoke baada ya sisitizo lake kuwa atabakia madarakani hadi rais mpya achaguliwe.

  • Wananchi Algeria waendelea na maandamano; wataka kukabidhiwa madaraka kwa amani

    Wananchi Algeria waendelea na maandamano; wataka kukabidhiwa madaraka kwa amani

    May 24, 2019 23:40

    Maelfu ya wananchi wa Algeria jana Ijumaa waliendelea kuandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Algiers na katika miji mingine ya nchi hiyo wakitaka kukabidhiwa kwa amani madaraka nchini.

  • Mkuu wa Majeshi Algeria: Uchaguzi ni njia bora ya kujinasua na mgogoro

    Mkuu wa Majeshi Algeria: Uchaguzi ni njia bora ya kujinasua na mgogoro

    May 21, 2019 00:15

    Mkuu wa Majeshi wa Algeria alisema jana Jumatatu katika taarifa aliyotoa kupitia televisheni ya nchi hiyo kuwa kufanyika uchaguzi ni njia bora itakayoiwezesha Algeria kuondoka na mgogoro wa kisiasa na kuepuka ombwe la kikatiba.

  • Algeria yawakamata wahamiaji haramu 95

    Algeria yawakamata wahamiaji haramu 95

    May 13, 2019 23:46

    Vikosi vya usalama Algeria vimewakamata wahamiaji haramu 95 kwenye operesheni mbalimbali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS