-
Jeshi Algeria launga mkono kuanza mazungumzo ya kitaifa
Jul 11, 2019 06:47Kamanda wa jeshi la Algeria ametangaza kuwa anaunga mkono kuanza mazungumzo jumuishi ya kitaifa yatakayosimamiwa na shakhia wanaojitegemea.
-
Wapinzani Algeria waafiki kwa mara ya kwanza mpango wa serikali ya muda
Jul 07, 2019 02:49Wapinzani nchini Algeria wamekubali katika mkutano wa mazungumzo yao ya kitaifa kuhusu mpango wa serikali na kuweka masharti katika uwanja huo.
-
Maandamano ya wananchi wa Algeria yaendelea chini ya ulinzi mkali
Jul 06, 2019 06:26Maelfu ya wananchi wa Algeria wanaendelea na maandamano yao ya nchi nzima chini ya ulinzi mkali kushinikiza kufukuzwa serikalini mabaki yote ya utawala wa Abdulaziz Bouteflika, rais wa nchi hiyo aliyelazimika kujiuzulu kutokana na maandamano makubwa ya wananchi.
-
Maandamano ya wananchi yailazimisha serikali ya Algeria kuunda tume ya mazungumzo ya kitaifa
Jul 04, 2019 05:29Baada ya kushadidi maandamano makubwa ya wananchi, rais wa muda wa Algeria amesema kuwa, kumeshaandaliwa mazingira ya kuanza mazungumzo ya kitaifa nchini humo.
-
Waziri mkuu wa zamani Algeria afikishwa kizimbani kwa tuhuma za ufisadi
Jun 16, 2019 23:57Waziri mkuu wa zamani wa Algeria Ahmed Ouyahia amefikishwa mahakamani mjini Algiers Jumapili kusailiwa kuhusu tuhuma za ufisadi unaohusu mshirika mmoja wa Algeria na shirika la Volkswagen la Ujerumani.
-
Wanafunzi Algeria wakataa kufanya mazungumzo na utawala ulioko madarakani
Jun 12, 2019 03:04Wananfunzi nchini Algeria jana walifanya maandamano katika mitaa mbalimbali ya Algiers mji mkuu wa nchi hiyo na kutangaza kuwa hawatafanya mazungumzo na utawala ulioko madarakani.
-
Maelfu waandamana Algeria wasema ,'Nyote Ondokeni'
Jun 08, 2019 03:11Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Algeria, Algiers wakitaka rais wa mpito Abdlekader Bensalah aondoke baada ya sisitizo lake kuwa atabakia madarakani hadi rais mpya achaguliwe.
-
Wananchi Algeria waendelea na maandamano; wataka kukabidhiwa madaraka kwa amani
May 24, 2019 23:40Maelfu ya wananchi wa Algeria jana Ijumaa waliendelea kuandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Algiers na katika miji mingine ya nchi hiyo wakitaka kukabidhiwa kwa amani madaraka nchini.
-
Mkuu wa Majeshi Algeria: Uchaguzi ni njia bora ya kujinasua na mgogoro
May 21, 2019 00:15Mkuu wa Majeshi wa Algeria alisema jana Jumatatu katika taarifa aliyotoa kupitia televisheni ya nchi hiyo kuwa kufanyika uchaguzi ni njia bora itakayoiwezesha Algeria kuondoka na mgogoro wa kisiasa na kuepuka ombwe la kikatiba.
-
Algeria yawakamata wahamiaji haramu 95
May 13, 2019 23:46Vikosi vya usalama Algeria vimewakamata wahamiaji haramu 95 kwenye operesheni mbalimbali.