Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Uchaguzi; changamoto kubwa katika matukio ya Algeria

    Uchaguzi; changamoto kubwa katika matukio ya Algeria

    May 07, 2019 20:56

    Mgogoro wa kisiasa nchini Algeria unaendelea kushuhudiwa huku suala la kufanyika uchaguzi wa Rais limegeuka na kuwa changamoto kubwa kabisa nchini humo.

  • Rais wa muda wa Algeria ataka kuweko mazungumzo ya kitaifa

    Rais wa muda wa Algeria ataka kuweko mazungumzo ya kitaifa

    May 06, 2019 23:41

    Abdelkader Bensalah, Rais wa Muda wa Algeria ametoa wito wa kuweko mazungumzo ya kitaifa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kwa shabaha ya kufikia mwafaka katika masuala ambayo yamezusha hitilafu nchini humo.

  • Maandamano ya wananchi yaendelea Algeria kupinga serikali ya mpito

    Maandamano ya wananchi yaendelea Algeria kupinga serikali ya mpito

    May 04, 2019 03:43

    Wananchi wa Algeria wameendelea na maandamano yao ya kupinga serikali ya mpito ya nchi hiyo na kuishutumu kuwa inapoteza muda.

  • Waandamanaji Algeria wataka kupandishwa kizimbani ndugu ya Bouteflika

    Waandamanaji Algeria wataka kupandishwa kizimbani ndugu ya Bouteflika

    Apr 26, 2019 22:11

    Wananchi wa Algeria jana waliandamana tena ikiwa ni Ijumaa ya 10 mtawalia ya maandamano yao ambapo mbali na kusisitiza juu ya kuachia ngazi viongozi na maafisa wote wa serikali waliokuwa katika kipindi cha utawala wa Abdelaziz Bouteflika, Rais wa nchi hiyo aliyelazimika kujiuzulu, wametoa mwito wa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria Said Bouteflika, ndugu ya rais huyo mkongwe aliyejiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi.

  • Mwenyekiti wa Baraza la Katiba Algeria ajiuzulu huku maandamano yakiendelea

    Mwenyekiti wa Baraza la Katiba Algeria ajiuzulu huku maandamano yakiendelea

    Apr 16, 2019 21:56

    Mwenyekiti wa Baraza la Katiba nchini Algeria amejiuzulu huku maandamano ya wananchi yakiendelea katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Majaji wa Algeria kususia uchaguzi mkuu ujao wa Julai

    Majaji wa Algeria kususia uchaguzi mkuu ujao wa Julai

    Apr 14, 2019 03:14

    Majaji wa Algeria wametangaza kuwa watasusia uchaguzi mkuu ujao ulioratibiwa kufanyika mwezi Julai mwaka huu.

  • Uchaguzi wa rais wa Algeria kufanyika tarehe 4 Julai

    Uchaguzi wa rais wa Algeria kufanyika tarehe 4 Julai

    Apr 10, 2019 22:45

    Ofisi ya rais wa Algeria imetangaza kuwa, uchaguzi wa rais wa nchi hiyo utafanyika tarehe 4 Julai mwaka huu.

  • Maandamano yanaendelea Algeria licha ya ahadi za kufanyika uchaguzi huru

    Maandamano yanaendelea Algeria licha ya ahadi za kufanyika uchaguzi huru

    Apr 10, 2019 11:40

    Polisi katika mji mkuu wa Algeria, Algiers wamewafyatulia mabomu ya kutoa machozi maelfu ya wanafunzi waliokuwa wanaandamana kumpinga Spika wa Bunge Abdelkader Bensalah anayekaimu nafasi ya Abdulaziz Bouteflika, rais wa Algeria aliyelazimishwa kujiuzulu na maandamano makubwa ya wananchi.

  • Waalgeria washadidisha maandamano baada ya kuteuliwa rais wa mpito

    Waalgeria washadidisha maandamano baada ya kuteuliwa rais wa mpito

    Apr 09, 2019 10:11

    Maelfu ya wananchi wa Algeria wakiwemo wanafunzi wa Vyuo Vikuu wamemiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga kuteuliwa rais wa mpito wa nchi hiyo.

  • Bunge la Algeria kumteua rais wa mpito baada ya Bouteflika kujiuzulu

    Bunge la Algeria kumteua rais wa mpito baada ya Bouteflika kujiuzulu

    Apr 07, 2019 02:24

    Bunge la Algeria linatazamiwa kumteua rais wa mpito atakayeiongoza nchi hiyo baada ya Abdelaziz Bouteflika kujiuzulu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS